Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Niligombani demu na kijana mwenzangu anaitwa Abdallah K....A...

Jamaa akaniahidi kuwa NITAMUACHA tu huyo demu....

Ikawa kila nikimnanihii SHORTY anawashwa na kuvimba mwili kwa wiki nzima....

Jamaa akawa anamwambia demu kuwa AMEMTENGENEZA VYA KUTOSHA...

Man...nilimuacha Yule mtoto...

Then lijamaa LIKAMUOA MKE WA PILI....

Watu wachawi jamani looh
[emoji847][emoji28][emoji16][emoji1][emoji1787]
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Hataaree Mkuu.....
 
  • Thanks
Reactions: T11
Mi ilikua mwaka jana nilsafiri kuja mkoani kwa mama home kbis ,kwa kipindi chote nilikua sio mtokaji sana nilikua nashinda home, sa nilivyo anza kutoka nipo na jamaa angu y ndo mwenyej niliwah cheza nae utotoni, akanipeleka ktk vilabu vya pombe mi mnywaji ,basi bana akaagiza nami mbege, wazee tuliowakuta nikawasalimia wanona sura nggen,

Ndo jamaa kunitambulisha maana babu y alikua maarufu na n mtu wa watu na alikua mtu wa pmbe but ni marehemu,so alivyosema ni mjukuu wa flani basi wote wakanijua


Wwalioniomba niliwanunulia,basi kurudi home vizuri usiku kulala na ninalal peke angu hakuna rangi sikuiona, ule mkoa una barid iilaa usiku nilitokwa jasho mnoo,

Nililal macho nahis kama ywepo wwaakitu chumbani,mara gafla kitu mithili ya nyoka kinanitambalia mi tuliii, kikiwa kinanitambalia moyo unaenda kasi mnoooo na joto linapanda sana,

Mi tulii nasali sala zotee,mara kiondoke kinakuja tena after minute kikinisogelea najua moyo unaenda kasi ajabu na joto linapanda,

Nikahis kama nalishwa kitu nipo macho ila nimefumba macho, yani kwa haraka harak walikua wananiwekea kitu tumboni au wafunge tumbo, maana baadae nillipata Shida ya choo

Siku ingine ivo ivo nikawa nasali mpk hali ikapungua,ikabid nipunguze siku za kukaa kule japo ni home nilipozaliwa,

Nilimsimulia .mama bibi hawakuamini but wakanambia ukitaka pombe sema uletewe nyumbani,au Utke na bibi,

Kuna kisa kilitokea zamani babu alitegewa na ndugu yake upande wa baba ake mkubwa watot wake ,babu alikua na mwenzie alielengwa alikua babu ila rafik yake ndo alikufa, ikabid babu aende kwa mtaalam akatuma kimbola kikapita na mmbay wake chap

Hadi leo nishhaambiwa kuwa makini nikienda kijiji maana historia hujirudia.

Babu alifariki kwa kansa ya koo kwasababu ya pombe kali
 
Wewe kama huamini kuwa uchawi upo nenda katika Mti wa Mbaazi saa7 usiku ukishafika wakati huo simama chini ya huo mti wa mbaazi kisha vua nguo zako uwe uchi kabisa subiri kama saa 1 ipite basi utawaona wachawi wote wapo uchi kama wewe usije kukimbia unaweza kufa. ukiweza jaribu kisha uje hapa utupe majibu ila Mkononi mwako shika Fimbo ya Mti wa muhogo mchawi hatoweza kukudhuru atakaye jaribu kukusogelea mchape nayo hiyo fimbo ya mti wa muhogo atakwenda kwao kufa.
Pia kuna ila dawa ya kuchanganya majini ya mbaazi na majani kisamvu dume kisha una nawa..! Ila kama mtu hana kinga asijaribu
 
Wewe kama huamini kuwa uchawi upo nenda katika Mti wa Mbaazi saa7 usiku ukishafika wakati huo simama chini ya huo mti wa mbaazi kisha vua nguo zako uwe uchi kabisa subiri kama saa 1 ipite basi utawaona wachawi wote wapo uchi kama wewe usije kukimbia unaweza kufa. ukiweza jaribu kisha uje hapa utupe majibu ila Mkononi mwako shika Fimbo ya Mti wa muhogo mchawi hatoweza kukudhuru atakaye jaribu kukusogelea mchape nayo hiyo fimbo ya mti wa muhogo atakwenda kwao kufa.
Hili likitokea ulivyosema, halithibitishi uchawi upo.

Litathibitisha kuna watu wanaamini uchawi.

Mjadala mkubwa si kwamba kuna watu wanaamini uchawi au la.

Mjadala mkubwa ni kama uchawi ni kitu cha kweli au cha kufikirika tu.

Tuelewe kutenganisha habari mbili hizi.
 
Uwongo tu na stories,pangine umevuta bangi Kama kweli uchawi unafanya kazi mlogeni Kiranga awe chizi mkiweza nilogeni na Mimi
Hayo ni mawenge tu!
Yule mzee eti kaniambia kakutana na mtu mweusi mwenye mkino mingi ya chuma upuuzi
Hakunaga uchawi shetani Wala mungu
Naami hivyo
Mkuu kama unataka kurongwa hata ww njoo kigoma sasa hv nkupeleke sehemu ukapigwa radi moja mchana jua linawaka.... kigoma kuna sehemu kuna soko hadi la misukule.. kama unahc vitu vya kufikirika fanya mpango uwe
 
Back
Top Bottom