Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji847][emoji28][emoji16][emoji1][emoji1787]Niligombani demu na kijana mwenzangu anaitwa Abdallah K....A...
Jamaa akaniahidi kuwa NITAMUACHA tu huyo demu....
Ikawa kila nikimnanihii SHORTY anawashwa na kuvimba mwili kwa wiki nzima....
Jamaa akawa anamwambia demu kuwa AMEMTENGENEZA VYA KUTOSHA...
Man...nilimuacha Yule mtoto...
Then lijamaa LIKAMUOA MKE WA PILI....
Watu wachawi jamani looh
Hataaree Mkuu.....[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji847][emoji28][emoji16][emoji1][emoji1787]
Duuh kwani hizi dawa zipo mkuuIvi dawa ya kimasai ya kutongozea ipo? Yaan ukimtaka dem siku hiyo hiyo anakupa mzigo?
HakunaIvi dawa ya kimasai ya kutongozea ipo? Yaan ukimtaka dem siku hiyo hiyo anakupa mzigo?
Ipo dawa ya hvyo na upo uchawi wa hvyo upo piaHakuna
Ipo Kaka. Inaitwa uchawi wa mjini almaarufu pesa.Ivi dawa ya kimasai ya kutongozea ipo? Yaan ukimtaka dem siku hiyo hiyo anakupa mzigo?
Inapatkana wapi?Ipo dawa ya hvyo na upo uchawi wa hvyo upo pia
Hata kisomo cha ruqya nacho ni ugangwa tatzo utumwa wa kiarabu tu unakuchanganyaNenda kasomewe kisomo cha Ruqya vinginevyo utahangaika sana.waganga hawana uwezo wa kutoa majini zaidi ya kuyapoza tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia kuna ila dawa ya kuchanganya majini ya mbaazi na majani kisamvu dume kisha una nawa..! Ila kama mtu hana kinga asijaribuWewe kama huamini kuwa uchawi upo nenda katika Mti wa Mbaazi saa7 usiku ukishafika wakati huo simama chini ya huo mti wa mbaazi kisha vua nguo zako uwe uchi kabisa subiri kama saa 1 ipite basi utawaona wachawi wote wapo uchi kama wewe usije kukimbia unaweza kufa. ukiweza jaribu kisha uje hapa utupe majibu ila Mkononi mwako shika Fimbo ya Mti wa muhogo mchawi hatoweza kukudhuru atakaye jaribu kukusogelea mchape nayo hiyo fimbo ya mti wa muhogo atakwenda kwao kufa.
Hili likitokea ulivyosema, halithibitishi uchawi upo.Wewe kama huamini kuwa uchawi upo nenda katika Mti wa Mbaazi saa7 usiku ukishafika wakati huo simama chini ya huo mti wa mbaazi kisha vua nguo zako uwe uchi kabisa subiri kama saa 1 ipite basi utawaona wachawi wote wapo uchi kama wewe usije kukimbia unaweza kufa. ukiweza jaribu kisha uje hapa utupe majibu ila Mkononi mwako shika Fimbo ya Mti wa muhogo mchawi hatoweza kukudhuru atakaye jaribu kukusogelea mchape nayo hiyo fimbo ya mti wa muhogo atakwenda kwao kufa.
Mkuu kama unataka kurongwa hata ww njoo kigoma sasa hv nkupeleke sehemu ukapigwa radi moja mchana jua linawaka.... kigoma kuna sehemu kuna soko hadi la misukule.. kama unahc vitu vya kufikirika fanya mpango uweUwongo tu na stories,pangine umevuta bangi Kama kweli uchawi unafanya kazi mlogeni Kiranga awe chizi mkiweza nilogeni na Mimi
Hayo ni mawenge tu!
Yule mzee eti kaniambia kakutana na mtu mweusi mwenye mkino mingi ya chuma upuuzi
Hakunaga uchawi shetani Wala mungu
Naami hivyo