kahtaan
JF-Expert Member
- Jul 11, 2009
- 18,760
- 11,343
Ndugu wabongo land.
Suala la bandari ni suala la maendeleo ya nchi .
Lkn kuna imani moja hapa imegeuza kuwa suala la dini.
Hio imani kila siku ina mitume wapya wa kila kabila.
Wanadai wanaongea na Mungu.
Jamani msituletee nuksi kwenye nchi yetu.
Nyie endeleeeni kuwapa utume na unabii mnaowataka lkn msituharibie nchi.
Siku kikiwaka nawahakikishia nyie ndio mtakuwa wa kwanza kupanda both kukimbia nchi manake midomo mirefu hali ya kuwa nafsi zenu zinajua kabisa huko kwenu ni usanii mtupu.
Suala la bandari ni suala la maendeleo ya nchi .
Lkn kuna imani moja hapa imegeuza kuwa suala la dini.
Hio imani kila siku ina mitume wapya wa kila kabila.
Wanadai wanaongea na Mungu.
Jamani msituletee nuksi kwenye nchi yetu.
Nyie endeleeeni kuwapa utume na unabii mnaowataka lkn msituharibie nchi.
Siku kikiwaka nawahakikishia nyie ndio mtakuwa wa kwanza kupanda both kukimbia nchi manake midomo mirefu hali ya kuwa nafsi zenu zinajua kabisa huko kwenu ni usanii mtupu.