Jobless_Billionaire
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 3,106
- 8,101
Ilikuwaje mkuu? Eleza kwa kina tupate kufahamuhuyu jamaa wa kuitwa alawido kwa sasa Kiminyio 01 ana kautapeli ndani yake
alinipa namba ya mganga yuko huko mkoa wa Pwani, mganga anaitwa Kimbunga
nikashawishika kwenda huko kumbe ni bure tu nikaishiwa kutapeliwa