Kama umewahi kutumia hivi vitu, wewe ni legend

Kuna raba flani za plastiki,ukivaa kuanzia saa 6 mchana,zinalainika na jua linachoma sana miguu...

Zilikua maarufu kwa jina la UTANIKOMA SAA NANE..
πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚Hii ya Nyerere sijawah kuisikia
 

Kuna shoes ziliitwa FILA, nyingine TAHIMA, pia kuna tracksuit ziliitwa OPEL[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Kama umewahi kuvaa chupi za VIP wewe ni legendary. Hapo kwenye Machicha ya nazi dah, umenikumbusha mbali sana. Pia kulikuwa na Michele unaitwa "Pepeta" dah
 
Kuna Land Rover zilikua hazina automatic ignition zinaingizwa chuma kama bpedal ya baiskeli kwenye fan ya rejeta inazungusha kwa nguvu ndio ziwake ...ukiwa mzembe zinaeza vunja mkono... Kama kick ya Honda 110 ilikua na tabia hiyo nayo
Chuma kilikuwa kinaitwa Hendeli (nadhani kutokana na neno la kiingereza handle)
 
Kuna raba flani za plastiki,ukivaa kuanzia saa 6 mchana,zinalainika na jua linachoma sana miguu...

Zilikua maarufu kwa jina la UTANIKOMA SAA NANE..
Kuna raba flani za plastiki,ukivaa kuanzia saa 6 mchana,zinalainika na jua linachoma sana miguu...

Zilikua maarufu kwa jina la UTANIKOMA SAA NANE..
Ziliitwa chachacha🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Kichwa ng'ombe ziliitwa
 
Kwanini unasema EDHI AU NDO TUNAKUMBUSHIA UTOTONI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…