fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
Apo kwenye vinywaji umesahau kuweka zile juis sjui ice cream za SANVITA 😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo Raba zilikuwa zinaitwa Abeid Mziba kwasababu Mziba alikuwa anazitumia wakati akicheza Yanga. Yes nimezivaa sana shule zilisuluhisha mgogoro na wazazi maanake Raba za kawaida nilikuwa nazichanq mpirani.
Kama ulishawahi kunywa soda inaitwa Fahari unatakiwa uwe na wajukuu sasa
Vyombo vya usafiri
2. Mabasi ya Leyland
Sema VIBE la MSONDO lilikuwa linaendeleaga pale ILALA mpk pale TX MOSHI alivyofarikiKama ulishashuhudia DDC MLIMANI PARK wakipiga pale Magomeni kondoa na Baba ya mziki Juwata Jazz pale Ilala, pls njoo huku lingusenguse tufurahiye maisha!
Unatumiaje neno EDHI? Una maana ya ENZI? Unatokea mtaa gani?Kwenye kuchagua shule primary Mtihani starndard 7
Edhi hizo masomo matatu MAARIFA YA JAMII LUGHA na HESABU
Unachagua shule tatu uzipendazo
Forodhani chaguo la kwanza
Kibasira chaguo la pili
Kambangwa kipindi hicho ndo inaanza nikaiweka ya tatu
Asikwambie mtu edhi zetu DAR ES SALAAM nzima shure za SECONDARY ZA hazikuzidi 8
Na wanafunzi tulikuwa wengi balaa
kama kuna mtu humu kasoma JAMUHURI ya edhi hizo nakusalimu sana LEGEND mana ilikuwa shule ya MALEGEND wanasona lkn hawana uhakika kama watafanya paper ya TAIFA ya FORM 4 malegend wa edhi hizo watanielewa
Forodhani ni shule waliosoma BRO zangu wote nikawa naipenda sana hiyo SHULE
Nitatupia picha chupa ya fahari mpaka leo ninayo😀 also Vimto. .Dah!
Soda ya Fahari na Vimto kitambo sana, ingawa vimto bado zipo zinatoka umangani...
Kipndi hicho hata bisi nilikuwa nachanganya na ice cream nanyonya kwa chini aisee ile mix ilikuwa tamu. Ngoja nijaribu ukubwani 🤣Sikiza LEGEND
kama uliwekewa CHIPSI na tomato ya kwenye CHUPA ya kioo na ukashushia na hii juisi nakusalimu LEGENDView attachment 2519122
Mkuu unasema vipipi hiviVP KUHUSU PIPI GOLOLI na biskuti ya marie.scania 82H
Hizi sandoz ulivaa mkuuKabla ya hizo raba, DH, Maradona...kulikuwa na "chachacha" na "saa sita utanikoma"...maviatu fulani ya mpira "rubber/plastic" ikifika mchana wa jua kali yanaunguza ile mbaya
Ha ha mkuu ni ENZIUnatumiaje neno EDHI? Una maana ya ENZI? Unatokea mtaa gani?
HahahahahaSio Cossovo kweli hizo?
,Mifuko ya unga kuwa mifuko ya kubebea daftari, hio ipo hadi leo anaebisha agonge like wala hatupewi tuzo
Vijana jazz-masimango,,ngapulila,mwisho wa mwezi,wifi zangu(kida waziri)Sema VIBE la MSONDO lilikuwa linaendeleaga pale ILALA mpk pale TX MOSHI alivyofariki
Ila DDC MLIMANI PARK kondoa waliacha kupiga tangu mwishoni mwa miaka ya 2000 hivi
Juwata sijacheza ila msondo na DDC kama kawa
VIJANA JAZZ kinondoni nimetimba sana edhi hizo TWANAPEPETA inaanza anza mana ndio lilikuwa la kiwanaja cha NYUMBAMI
Kama kuna malegend tulicheza VIBE la VIJANA JAZZ ingawa edhi hizo niilikuwa YOUNG sana nawasalimu sanq
Unalikumbuka gazeti la SANIFU[emoji1787]Miaka hiyo nipo primary, wazazi wakiondoka naingia chumbani kwao kusoma hizi. Leo nimeyaona tena mzee kayatunza vizuri.
Kama ulisoma haya wewe ni mhengaView attachment 2519184View attachment 2519185