Kama umewahi kutumia hivi vitu, wewe ni legend

Kama umewahi kutumia hivi vitu, wewe ni legend

Hizo Raba zilikuwa zinaitwa Abeid Mziba kwasababu Mziba alikuwa anazitumia wakati akicheza Yanga. Yes nimezivaa sana shule zilisuluhisha mgogoro na wazazi maanake Raba za kawaida nilikuwa nazichanq mpirani.

Kabla ya hizo raba, DH, Maradona...kulikuwa na "chachacha" na "saa sita utanikoma"...maviatu fulani ya mpira "rubber/plastic" ikifika mchana wa jua kali yanaunguza ile mbaya
 
Kama ulishashuhudia DDC MLIMANI PARK wakipiga pale Magomeni kondoa na Baba ya mziki Juwata Jazz pale Ilala, pls njoo huku lingusenguse tufurahiye maisha!
Sema VIBE la MSONDO lilikuwa linaendeleaga pale ILALA mpk pale TX MOSHI alivyofariki
Ila DDC MLIMANI PARK kondoa waliacha kupiga tangu mwishoni mwa miaka ya 2000 hivi
Juwata sijacheza ila msondo na DDC kama kawa

VIJANA JAZZ kinondoni nimetimba sana edhi hizo TWANAPEPETA inaanza anza mana ndio lilikuwa la kiwanaja cha NYUMBAMI
Kama kuna malegend tulicheza VIBE la VIJANA JAZZ ingawa edhi hizo niilikuwa YOUNG sana nawasalimu sanq
 
Mifuko ya unga kuwa mifuko ya kubebea daftari, hio ipo hadi leo anaebisha agonge like wala hatupewi tuzo
 
Kwenye kuchagua shule primary Mtihani starndard 7
Edhi hizo masomo matatu MAARIFA YA JAMII LUGHA na HESABU
Unachagua shule tatu uzipendazo
Forodhani chaguo la kwanza
Kibasira chaguo la pili
Kambangwa kipindi hicho ndo inaanza nikaiweka ya tatu

Asikwambie mtu edhi zetu DAR ES SALAAM nzima shure za SECONDARY ZA hazikuzidi 8
Na wanafunzi tulikuwa wengi balaa
kama kuna mtu humu kasoma JAMUHURI ya edhi hizo nakusalimu sana LEGEND mana ilikuwa shule ya MALEGEND wanasona lkn hawana uhakika kama watafanya paper ya TAIFA ya FORM 4 malegend wa edhi hizo watanielewa

Forodhani ni shule waliosoma BRO zangu wote nikawa naipenda sana hiyo SHULE
Unatumiaje neno EDHI? Una maana ya ENZI? Unatokea mtaa gani?
 
VP KUHUSU PIPI GOLOLI na biskuti ya marie.scania 82H
Mkuu unasema vipipi hivi
Pipi tofee utaki mkuu
FB_IMG_1676540160929.jpg
FB_IMG_1676540293423.jpg
 
Unatumiaje neno EDHI? Una maana ya ENZI? Unatokea mtaa gani?
Ha ha mkuu ni ENZI
hizo swagwaz tu
Tunakumbushana MACHECKBOB wa zamani
Vipaji vyetu vya Kucheza mpila vilipatikana kwenye UMITASHUMTA
Mkuu umecheza UMITASHUMTA wewe
Edhi ya MCHAKAMCHAKA chinja
Edhi hizo tulikuwa WAZARENDO haswa wa nchi yetu kusoma shule pamoja na watoto wa VIGOGO ilikuwa kawaida sana
Bro wangu mkubwa kapiga TAMBAZA na MTOTO WA MKUU WA MAJESHI EDHI HIZO

natoke MBINGU IFAKARA KILOMBERO nalima ndizi huku mkuu
 
Sema VIBE la MSONDO lilikuwa linaendeleaga pale ILALA mpk pale TX MOSHI alivyofariki
Ila DDC MLIMANI PARK kondoa waliacha kupiga tangu mwishoni mwa miaka ya 2000 hivi
Juwata sijacheza ila msondo na DDC kama kawa

VIJANA JAZZ kinondoni nimetimba sana edhi hizo TWANAPEPETA inaanza anza mana ndio lilikuwa la kiwanaja cha NYUMBAMI
Kama kuna malegend tulicheza VIBE la VIJANA JAZZ ingawa edhi hizo niilikuwa YOUNG sana nawasalimu sanq
Vijana jazz-masimango,,ngapulila,mwisho wa mwezi,wifi zangu(kida waziri)
 
Kama umepitia vyote hivyo ila kukusoma shule ambaya kwa siku moja mwanafunzi unaagizwa uje na mbolea, fagio, kuni, kopo la kumwagilia bustani, huku umebeba mfuko wa madaftari aina ya rambo na humo ndani kuna madaftari, bakuli, parachichi, muana na uketo(mahindi ya kukaanga) halafu uko peku na shati zima lina kifungo kimoja BASI kasome bado sio ligend
 
Back
Top Bottom