Kama umeweza kupunguza stress zako bila kilevi tusaidie mbinu uliyoitumia

Kama umeweza kupunguza stress zako bila kilevi tusaidie mbinu uliyoitumia

Mkuu hao wanaokushauri hawajawahi kupata depression achana nao mkomboz wa mawazo ni pombe tu na marafiki wa bar
 
Muwe mnawakumbuka wazazi kama wapo hai
Safari za mara kwa mara au kuongea nao na kupata Baraka zao ni tiba tosha
Hapo kama ni stress sio mbaya sana
Ila depression ndio mbaya zaidi na omba isiwapate

Hiyo ndio mbaya sana na kama unaongelea hiyo basi ni kuwa karibu na ndugu au hata holiday na rafiki inasaidia sana
Ila ulevi hautibu msongo wa mawazo bali unaongeza tu
Stress na depression ni vitu tofauti? Naomba nieleze kwa undani nahitaji kufahamu, sorry but.
 
Muwe mnawakumbuka wazazi kama wapo hai
Safari za mara kwa mara au kuongea nao na kupata Baraka zao ni tiba tosha
Hapo kama ni stress sio mbaya sana
Ila depression ndio mbaya zaidi na omba isiwapate

Hiyo ndio mbaya sana na kama unaongelea hiyo basi ni kuwa karibu na ndugu au hata holiday na rafiki inasaidia sana
Ila ulevi hautibu msongo wa mawazo bali unaongeza tu
Je kama hao wazazi ndio chanzo cha matatizo uliyonayo?
Kumbuka, kuna wazazi wachawi, waganga na huenda wanataka kukukabidhi mikoba na ww hauko tayari! Utafanyaje?

Mbinu sahihi ya kushinda msongo wa mawazo ni kuamini tu kwamba kila kinachotokea kina kusudi maalum na ipo siku kitapita tu. Isitoshe duniani tunapita tu na matatizo humpata yeyote! Sisi binadamu ni kama tu viumbe wengine ambao huzaliana, huishi na kufa. Tusipende sana kujipa upekee kama kwamba dunia ni yetu siku zote!
 
Namshukuru Mungu aiseee Stress sina kabisa kwasasa....
Kuna kitu nilifanya Oct 2023, kimenisaidia pakubwa pia financial freedom imechangia kiasi
 
Je kama hao wazazi ndio chanzo cha matatizo uliyonayo?
Kumbuka, kuna wazazi wachawi, waganga na huenda wanataka kukukabidhi mikoba na ww hauko tayari! Utafanyaje?

Mbinu sahihi ya kushinda msongo wa mawazo ni kuamini tu kwamba kila kinachotokea kina kusudi maalum na ipo siku kitapita tu. Isitoshe duniani tunapita tu na matatizo humpata yeyote! Sisi binadamu ni kama tu viumbe wengine ambao huzaliana, huishi na kufa. Tusipende sana kujipa upekee kama kwamba dunia ni yetu siku zote!
Daa kwa kweli tunatofautiana sana
Hayo ya shirk na mikoba sio binadamu wote tunafanya
Lakini sipingi pia

Mfadhaiko na msongo wa mawazo unawapata watu wengi sana sana duniani na kila leo watu wanajidhuru kwa kila namna

Sipingani na wewe ila kama kuna mtu ana wazazi wabaya ni mtihani mkubwa ila bado sijawahi kukutana na kadhia za watu kama hayo unayosema

Na uzee wangu huu nimeishi vizuri na wazazi na pia familia kwa ujumla na mpaka kesho ndio wafariji wangu wakubwa

Binadamu tunatofautiana sana na kila mmoja anapitia mema na machungu
Na kweli Dunia ni mapito na tuishi kwa upendo
 
Stress na depression ni vitu tofauti? Naomba nieleze kwa undani nahitaji kufahamu, sorry but
Stress ina unafuu kidogo ila utapata headache, hasira kuwa mpweke, hutaki kuwa na watu
Ila depression yenyewe ni mbaya zaidi na inaathiri kwa mda mrefu sana

Stress inaweza kuja labda kwa ukosefu wa kazi au bullied lakini yote yanaweza kwisha
Ila depression unakosa amani na kukosa ule uhuru au vitu ulivyokuwa unavipata au kufanya zamani ambavyo huvipati tena, unakuwa Sad, hopeless na una loose interest haraka kwa kila kitu

Kama unakuwa na depression kama kwenye ndoa ndio inawatokea sana watu unakuta mtu anauwa au kujiuwa hiyo ni depression ambayo hakuwa na msaada

Depression ni mbaya zaidi ya stress, depression unakaa bila kuoga masiku na hujijui hata nguo za hubadili
Unatembea bila kujielewa hiyo ndio depression sasa

Unaweza ku Google kwa manufaa yako na hata kusaidia wengine na mimi kusahihishwa pia
 
Unaweza Fanya meditation hii ndo njia nzuri kuliko zote .

Ukifanya meditation utapata mindfulness na mindfulness itakufanya ujikite kwenye kutafuta Majibu ya maswali na utakuwa happy

Dopamine inazalishwa kwa wingi ukiwa ktk meditation


Stress's au tatizo - hutegemea na jinsi umeamua kulitfsiri tatizo unalopitia.

Watu wengi stress zao huwa zimejikita katika kushindwa kutafsiri mambo wanayoyapitia.

Bangi
Pombe
Sigara
Ngono
mambo yote haya huwa hayaondoi stress Ila ni kuipumbaza fikra kwa muda na ni mbaya. Sana.


Matatizo ya uraibu ndo matatizo makubwa kuliko matatizo memgine yote na matibabu yake yanaweza kukugharimu pesa nyingi kwenda sober , au kupata therapist mzuri wa kukukuoa sio rahisi.
 
Nachukua ganja yangu kubwa nanyonga navuta na juice zangu za matunda fresh pembeni huku nikikazia na playstation yangu kichwa inatulia
 
ZINI NDUGU

SOLN YA STRESS N 2
1..POMBE
2.UZINZI
UKIPITA HIZO NA BADO UNA STRESS WE N MFUU KABISA
 
Back
Top Bottom