Kama umri wako ni zaidi ya miaka 30 na huna mpenzi anayeeleweka wa kuanzisha naye familia jaribu kujichunguza

Siwezi kuwa siriazi na mahusiano ya mtu mmoja uku bado sjakamilisha mambo angu 🤣 🤣 🤣
 
Unajuaje hajajichunguza?
 
I think marriage is not for everyone tho there's someone for everyone
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dada haujui kuwa mbongo ukimkataza kitu ndiyo anakifanya,, enhe niambie ni tatizo gani hilo??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani wewe mbongo halisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…