ChizzoDrama
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 1,317
- 1,229
kuoa / kuolewa siyo lazima Mungu aliagiza kuzaliana siyo kuoanaKama umri wako ni zaidi ya miaka 30,na huna mpenzi anayeeleweka wa kuanzisha na wewe familia,jaribu kujichunguza.
Inawezekana unatabia mbaya, maudhi, kujisikia au una tatizo lingine la kimuundo. Kitaalamu wanasema, kujua tatizo ni nusu ya tiba...haya chukueni hatua.
Mbadilike,ili mambo yaende yanavyotakiwaBaada ya kujichunguza tuchukue hatua gani?[emoji848]
Wazungu walisema lakini ndiyo wanaoongoza kwa kutokuoa wala kuzaa tena wanajibadilsha na jinsia na kujidunga masindano wawe matasa.Yaani mwanaume huwezi kusonga mbele kimaisha kama huna mwanamke wa kudumu.
Wazungu walisema, kila mwanaume mwenyeafanikio, nyuma yake kuna mwanamke.
Ukiwa na mke unakuwa na utulivu wa kiakili na kuweza kupambana vizuri.
Pia, ukiwa na mwanamke pasua kichwa inakuwa kinyume.
Kimsingi, mwanamke anampa mwanaume hamasa sana.
Kumbuka katika jamii, mwanaume aliyeoa anaaminika zaidi kuliko asiyeoa.
Zamani ili uwe kiongozi, ilimpasa mwanaume awe ameoa.
Usipokuwa na mke maana yake huna maisha ya kudumu yenye msimamo yaani ni muhuni tu.
Acha ujinga Basi
Sina hata wa kusingiziwa Pablo, vipi wewe? Na ushaanzisha familia?una mtoto??
[emoji3] [emoji3] [emoji3] ,muundo Wa mwiliii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] muundo upi?
Acha kupotosha UmmaNina brother hajaoa ana mafanikio makubwa katika maisha yake, anasema kuoa ataoa tu.Usitishe watu kwa msukumo wa kijamii.
For sure..nilikua najaribu kuonyesha effect ya muda kwenye maisha kwa kitumia hiyo theoryTheory law of relativity by Einstein Albert
Wazee wetu wanachojua msemo wa Aliyejenga mwanaume asiye na nyumba mwanaume zaidi
Huyu akipata mtoto ndani ya ndoa lazima aitwe babuKuna jamaa ana miaka 40 na hana mpenzi wa kutarajia kufunga naye ndoa,ukimuona utadhani ana miaka 23
Kupanga ni kuchagua
Tatizo gani?[emoji13][emoji13][emoji13]Ni kweli, mfano mimi najua tatizo langu. Msianze kuniuliza ni tatizo gani nalijua mwenyewe
[emoji3] [emoji3] [emoji3] ,muundo Wa mwiliii
Unadanganya, I can tell. Hata hiyo 39 bado sana, usidanganye maana huenda kuna vijana wanaweza kutupia maneno yenye utamu. Narudia, usidanganye tena[emoji23]Sina hata wa kusingiziwa Pablo, vipi wewe? Na ushaanzisha familia?
39 Kweli mkuu jua lishazama hilii, hivi ni kweli naweza poteza bahati ya maneno yenye utamu eeh[emoji3] [emoji3] ,sirudii kudanganya ,and vijanaa mimi ni kabinti kabichi kabisa 18 years, hapo vipi mkuu Eli ,ntatoboa maisha?[emoji3] [emoji3]Unadanganya, I can tell. Hata hiyo 39 bado sana, usidanganye maana huenda kuna vijana wanaweza kutupia maneno yenye utamu. Narudia, usidanganye tena[emoji23]
I have 3 kids,kila mmoja na mama yake!!!Sina hata wa kusingiziwa Pablo, vipi wewe? Na ushaanzisha familia?
Hahaaaa, najiamnini sana tu japo siyo msupu wala mtori, mambo lakini Extrovert![emoji3]Yan wewe, hhhh af utakuta uko msupu sana ila unakosa kujiamini tu. You are sweet!