Kama umri wako ni zaidi ya miaka 30 na huna mpenzi anayeeleweka wa kuanzisha naye familia jaribu kujichunguza

Kama umri wako ni zaidi ya miaka 30 na huna mpenzi anayeeleweka wa kuanzisha naye familia jaribu kujichunguza

Kama umri wako ni zaidi ya miaka 30,na huna mpenzi anayeeleweka wa kuanzisha na wewe familia,jaribu kujichunguza.

Inawezekana unatabia mbaya, maudhi, kujisikia au una tatizo lingine la kimuundo. Kitaalamu wanasema, kujua tatizo ni nusu ya tiba...haya chukueni hatua.
kuoa / kuolewa siyo lazima Mungu aliagiza kuzaliana siyo kuoana
 
Yaani mwanaume huwezi kusonga mbele kimaisha kama huna mwanamke wa kudumu.

Wazungu walisema, kila mwanaume mwenyeafanikio, nyuma yake kuna mwanamke.

Ukiwa na mke unakuwa na utulivu wa kiakili na kuweza kupambana vizuri.

Pia, ukiwa na mwanamke pasua kichwa inakuwa kinyume.

Kimsingi, mwanamke anampa mwanaume hamasa sana.

Kumbuka katika jamii, mwanaume aliyeoa anaaminika zaidi kuliko asiyeoa.

Zamani ili uwe kiongozi, ilimpasa mwanaume awe ameoa.

Usipokuwa na mke maana yake huna maisha ya kudumu yenye msimamo yaani ni muhuni tu.
Wazungu walisema lakini ndiyo wanaoongoza kwa kutokuoa wala kuzaa tena wanajibadilsha na jinsia na kujidunga masindano wawe matasa.
 
Denvers,
Theory law of relativity by Einstein Albert
Wazee wetu wanachojua msemo wa Aliyejenga mwanaume asiye na nyumba mwanaume zaidi
 
Theory law of relativity by Einstein Albert
Wazee wetu wanachojua msemo wa Aliyejenga mwanaume asiye na nyumba mwanaume zaidi
For sure..nilikua najaribu kuonyesha effect ya muda kwenye maisha kwa kitumia hiyo theory
 
Unadanganya, I can tell. Hata hiyo 39 bado sana, usidanganye maana huenda kuna vijana wanaweza kutupia maneno yenye utamu. Narudia, usidanganye tena[emoji23]
39 Kweli mkuu jua lishazama hilii, hivi ni kweli naweza poteza bahati ya maneno yenye utamu eeh[emoji3] [emoji3] ,sirudii kudanganya ,and vijanaa mimi ni kabinti kabichi kabisa 18 years, hapo vipi mkuu Eli ,ntatoboa maisha?[emoji3] [emoji3]
 
Back
Top Bottom