Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AC kiukweli wanaisingiziaa... Mimi ule ubaridi wakw huwa siupendi tu ndo maana situmii mara kwa maraa may b sababu Cc ndogo[emoji28][emoji28]Mimi sijawahi notice huo utofauti wa ulaji mafuta kwa kuwasha au kuzima AC,nadhan linakuwaga wenge tu!
iyo sio gari umechanganya😂😂 mafuta ya aftano!!?👉Ac tutashusha hata dirisha
👉Kuosha ntaosha mwenyewe
👉Mafuta tutaweka hata ya aftano
Magari show off yaani kwa wastani mtu mwenye CC 2000 kama anakwenda na hilo gari kwenye mihangaiko yake ya siku daily uhakika ni kila mwezi lazima Laki 3 hadi nne ikatike kama anaishi nje ya mji hasa kwa hapa Dar. Gari siyo necessity kama wengi wanavyodai humu.Magari yanafilisi Basi tu, mi natamani kuuza nijenge vyumba vya wapangaji Basi, na nimetembea kwa majamaa Maisha yao sio mazuri kisa magari kujaza mifuta n.k kuonekana kwa watu, hata maofisini watu kulalamika Sina Ela mwee, nilichogundua magari show off tu.
Hili mi naona ndo la msingi. Mtu anaogopa hata kununulia watoto nanasi na mapapai kisa anawaza kiwese na service ya kagari ⛽. Maisha ya kuridhisha jamii sio poa.Usiitese Familia yako kwa kuhudumia chuma ambalo huna uwezo wa kulihudumia...aka jini.
Hapana watu vipato ni Chini ya hapo lakini maisha yanasongaa na tunamiguu yetu ya Cc za kinyamaa...[emoji28][emoji28][emoji28] Vamisa brevis lakini kuendesha kwa manatiii mzeeMagari show off yaani kwa wastani mtu mwenye CC 2000 kama anakwenda na hilo gari kwenye mihangaiko yake ya siku daily uhakika ni kila mwezi lazima Laki 3 hadi nne ikatike kama anaishi nje ya mji hasa kwa hapa Dar. Gari siyo necessity kama wengi wanavyodai humu.
Kama pato lako ni chini ya angalau 1.5 kwa mwezi nashauri mtu asinunue gari...fedha za kuhudumia familia zote zitaenda kwenye gari...matokeo yake maendeleo binafsi yatachelewa.
Sahihi hawajaja na mimi sijaenda kwao kuwapa ushauri, nimetumia jukwaa huru JF. Hakuna aliemfuata mwenziwe.As long as hawajaja kukuomba ushauri,msaada wala kukukopa basi achana nao kila mtu apambane kivyake otherwise huo ni wivu wa kike!!
Muhimu families zisiteseke. Zipate haki zao. Sio pesa mtu zinaishia kuhudumia chuma ili watu waseme 'ana gari' akati uweHapana watu vipato ni Chini ya hapo lakini maisha yanasongaa na tunamiguu yetu ya Cc za kinyamaa...![]()
Vamisa brevis lakini kuendesha kwa manatiii mzee![]()
Nakubaliana nawę kwenye eneo la Kipando kukuongezea nguvu ya kuzisaka zaidi kwa sababu kinameza sana pesa...ila kwa wengine ujanja wa kuzisaka zaidi mdogo Kipato kipo vilevile ila kang'ang'ania Escudo lake namba A linakula Kiwese balaa na service inarukwa huku familią ikikosa mahitaji muhimu kisa baba ananunua Petroli apande gari peke yake kwenda kazini Posta Mpya kutoka Mbagala Mbande 😀Kwani lazima ukiwa na kipando uwe nacho kila siku road? Lakini pia unaongeza juhudi ya kutafuta pesa ukiwa na kipando. Ukijumlisha were na to and fro kazini kama vinawezekana wewe tumia tu.
Na kuna yule yeye yuko tigo anakuomba namba unampa ya Airtel anakuuliza huna namba ya Tigo uyo nae kavamia pori
Unakuta mtu kasababisha 4leni na HARRIER kisa mafuta na kamuagiza bodaboda na dumu la Lt5[emoji117]Ac tutashusha hata dirisha
[emoji117]Kuosha ntaosha mwenyewe
[emoji117]Mafuta tutaweka hata ya aftano
Huyo sio kwamba kavamia pori mkuu! Huyo ndio mpori pori mwenyewe[emoji2960]Na kuna yule yeye yuko tigo anakuomba namba unampa ya Airtel anakuuliza huna namba ya Tigo uyo nae kavamia pori
Huyo sio kwamba kavamia pori mkuu! Huyo ndio mpori pori mwenyewe[emoji2960]Na kuna yule yeye yuko tigo anakuomba namba unampa ya Airtel anakuuliza huna namba ya Tigo uyo nae kavamia pori
Mtu huyo anakuwa bado hajafikia kuwa na gari! Na hata ukichunguza utofauti wake sijui hata kama robo lita inafika.Na kuna yule yeye yuko tigo anakuomba namba unampa ya Airtel anakuuliza huna namba ya Tigo uyo nae kavamia pori
Hahaahah,....!! Kuna aina ya maisha gari ni lazima ata kama ni baby walker au utaeka mafuta ya afutanoKama wewe ni mkulima,mfanyakazi au mfanyabiashara, katika mihangaiko yako umedunduliza ukanunua gari...kama huwezi kulifurahia hilo gari bila kupata stress za mafuta, vipuri, uoshaji na services zake nyingine. Basi tambua umevamia pori; hukustahili kumiliki chombo hicho cha usafiri.
Nini ufanye:
- Nunua bodaboda au Bajaj unaweza imudu
- Tumia usafiri wa umma kv mwendo kasi au daladala au taxi.
Ushauri:
Usiitese Familia yako kwa kuhudumia chuma ambalo huna uwezo wa kulihudumia...aka jini.
Matusi yanaruhusiwa, ila ukipigwa bani sihusiki.
Nakubaliana nawe mjumbe. Ila kama shughuli zako sio za mizunguko na kiła siku wewe ni wa Mwenge kwenye duka lako dogo la mitumba Tegeta Nyumbani, Kipato chako cha faida ya mitumba ni Laki 5 kwa mwezi na una watoto Wawili na mke; Passo ya nini sasa!!Hahaahah,....!! Kuna aina ya maisha gari ni lazima ata kama ni baby walker au utaeka mafuta ya afutano
Bora hata hiyo Harrier unakuta ni Vits na kiwese kimekata, tena Lugalo jeshini pale hakuna alternative way, foleni hadi Mwenge laah! KerooUnakuta mtu kasababisha 4leni na HARRIER kisa mafuta na kamuagiza bodaboda na dumu la Lt5View attachment 2697880
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli lakini ukishakuwa na gari utaelewa sio lazima kila siku ulitumie...!! kwa Dar hizi foleni kiukweli mimi gari binafsi kuna muda naona kama kikwazo.Kuna levels ukifika Usafiri ni lazima kuepuka kunuka kikwapa, na mijasho