Kama una hizi dalili fahamu tu kuwa umelaaniwa

Kama una hizi dalili fahamu tu kuwa umelaaniwa

God Fearing Person

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2020
Posts
767
Reaction score
2,570
Dalili za mtu mwenye laana hizi hapa.

Una wazazi Ila hauwajali ,wapo wanateseka Ila wewe umebarikiwa uchumi mzuri Ila unakausha this is curse.

Unatumia nguvu kubwa kupata riziki hasa ya kula this is curse .

Ukipata hela haukumbuki kufanya maendeleo this is curse .

Una miaka mingi Ila akili Kama za mtoto this is curse.

Unakuwa mbishi Sana this is curse.

Unaharibu ndoa za watu na kuwa mchipuko this is curse

Una pesa Ila magonjwa ya ajabu hayakatiki this is curse.

Uchoyo , wizi, utapeli na uzinzi hii ni laana pia .


Watu wengi wamelaaniwa na njia rahisi ya kuvunja laana ni kujitakasa kiukweli kweli.

Ukiwa hauna laana hauwezi kupitia changamoto ambazo nimezitaja hapo juu 👆
 
Dalili za mtu mwenye laana hizi hapa.

Una wazazi Ila hauwajali ,wapo wanateseka Ila wewe umebarikiwa uchumi mzuri Ila unakausha this is curse.

Unatumia nguvu kubwa kupata riziki hasa ya kula this is curse .

Ukipata hela haukumbuki kufanya maendeleo this is curse .

Una miaka mingi Ila akili Kama za mtoto this is curse.

Unakuwa mbishi Sana this is curse.

Unaharibu ndoa za watu na kuwa mchipuko this is curse

Una pesa Ila magonjwa ya ajabu hayakatiki this is curse.

Uchoyo , wizi, utapeli na uzinzi hii ni laana pia .


Watu wengi wamelaaniwa na njia rahisi ya kuvunja laana ni kujitakasa kiukweli kweli.

Ukiwa hauna laana hauwezi kupitia changamoto ambazo nimezitaja hapo juu 👆
Basi duniani imelaanika
 
Dalili za mtu mwenye laana hizi hapa.

Una wazazi Ila hauwajali ,wapo wanateseka Ila wewe umebarikiwa uchumi mzuri Ila unakausha this is curse.

Unatumia nguvu kubwa kupata riziki hasa ya kula this is curse .

Ukipata hela haukumbuki kufanya maendeleo this is curse .

Una miaka mingi Ila akili Kama za mtoto this is curse.

Unakuwa mbishi Sana this is curse.

Unaharibu ndoa za watu na kuwa mchipuko this is curse

Una pesa Ila magonjwa ya ajabu hayakatiki this is curse.

Uchoyo , wizi, utapeli na uzinzi hii ni laana pia .


Watu wengi wamelaaniwa na njia rahisi ya kuvunja laana ni kujitakasa kiukweli kweli.

Ukiwa hauna laana hauwezi kupitia changamoto ambazo nimezitaja hapo juu 👆


Nikuongezee tabia za mtu mwenye kiburi na majivuno baada ya kupata fedha?

1. Anaandaa Uzi kama wako.
2. Anashindwa kufofautisha laana ya wazazi.
3. Anashindwa tofautisha laana ya mtoto.
4. Haelewi mapito ya mwanadamu.
 
Dalili za mtu mwenye laana hizi hapa.

Una wazazi Ila hauwajali ,wapo wanateseka Ila wewe umebarikiwa uchumi mzuri Ila unakausha this is curse.

Unatumia nguvu kubwa kupata riziki hasa ya kula this is curse .

Ukipata hela haukumbuki kufanya maendeleo this is curse .

Una miaka mingi Ila akili Kama za mtoto this is curse.

Unakuwa mbishi Sana this is curse.

Unaharibu ndoa za watu na kuwa mchipuko this is curse

Una pesa Ila magonjwa ya ajabu hayakatiki this is curse.

Uchoyo , wizi, utapeli na uzinzi hii ni laana pia .


Watu wengi wamelaaniwa na njia rahisi ya kuvunja laana ni kujitakasa kiukweli kweli.

Ukiwa hauna laana hauwezi kupitia changamoto ambazo nimezitaja hapo juu 👆
IMEANDIKWA
TORA.28;15-68
👇👇
15 Lakini itakuwa usipotaka kuisikiza sauti ya Bwana, Mungu wako, usiyaangalie kufanya maagizo yake yote na amri zake, nikuagizazo hivi leo, ndipo zitakapokujia laana hizi zote na kukupata.

16 Utalaaniwa mjini, utalaaniwa na mashambani.

17 Litalaaniwa kapu lako na chombo chako cha kukandia.

18 Utalaaniwa uzao wa tumbo lako, na uzao wa nchi yako, maongeo ya ng'ombe wako, na wadogo wa kondoo zako.

19 Utalaaniwa uingiapo, utalaaniwa na utokapo,

20 Bwana atakuletea laana na mashaka, na kukemewa, katika yote utakayotia mkono wako kuyafanya, hata uangamie na kupotea kwa upesi; kwa ule uovu wa matendo yako, uliyoniacha kwayo.
22 Bwana atakupiga kwa kifua kikuu, na kwa homa, na kwa kuwashwa, na kwa hari ya moto, na kwa upanga, na kwa ukaufu, na kwa koga; navyo vitakufukuza hata uangamie.

23 Na mbingu zako zilizo juu ya kichwa chako zitakuwa shaba, na nchi iliyo chini yako itakuwa chuma.

24 Bwana atafanya mvua ya nchi yako iwe vumbi na mchanga; itakujilia juu yako kutoka mbinguni hata uangamie.

25 Bwana atakufanya upigwe mbele ya adui zako; utawatokea juu yao kwa njia moja, lakini utakimbia mbele yao kwa njia saba; nawe utatupwa huko na huko katika falme zote za duniani.

26 Na mzoga wako utakuwa chakula cha ndege wote wa angani, na wanyama wote wa duniani, pasiwe na mtu wa kuwafukuza.

27 Bwana atakupiga kwa majipu ya Misri, na kwa bawasiri, na kwa pele, na kwa kujikuna, ambayo hupati kupoa.

28 Bwana atakupiga kwa wazimu, na kwa upofu, na kwa bumbuazi la moyoni;

29 utakwenda kwa kupapasa-papasa mchana, kama apapasavyo kipofu gizani, wala hufanikiwi katika njia zako; nawe sikuzote utaonewa na kutekwa nyara, wala hapatakuwa na mtu wa kukuokoa.

30 Utaposa mke na mume mwingine atalala naye; utajenga nyumba usiikae; utapanda mizabibu usitumie matunda yake.

31 Ng'ombe wako atachinjwa mbele ya macho yako, usile nyama yake; utanyang'anywa punda wako mbele ya uso wako kwa jeuri, usirudishiwe; kondoo zako watapewa adui zako, usipate mtu wa kukuokoa.

32 Wanao na binti zako litapewa taifa lingine, na macho yako yataangalia, na kuzimia kwa kuwatamani mchana kutwa; wala hapatakuwa na kitu katika uwezo wa mkono wako.

33 Matunda ya nchi yako, na taabu yako yote, vitaliwa na taifa usilolijua; utaonewa tu, na kupondwa chini daima;

34 hata uwe mwenye wazimu kwa yaonwayo na macho yako, utakayoyaona.

35 Bwana atakupiga magoti na miguu kwa jipu lililo zito, usilopata kupozwa, tokea wayo wa mguu mpaka utosi wa kichwa.

38 Mbegu nyingi utazichukua nje shambani, lakini utavuna haba, kwa kuwa nzige watazila.

39 Utapanda mizabibu na kuitengeza, wala hutakunywa katika divai yake, wala kuichuma kwani italiwa na mabuu.

40 Utakuwa na mizeituni katika mipaka yako yote usijipake mafuta yake; kwa kuwa mzeituni wako utapukutika.

41 Utazaa wana na binti, lakini hawatakuwa wako wewe; kwa sababu watakwenda utumwani.

43 Mgeni aliye kati yako atazidi kupaa juu yako; nawe utazidi kushuka chini.
.....
 
IMEANDIKWA
TORA.28;15-68
👇👇
15 Lakini itakuwa usipotaka kuisikiza sauti ya Bwana, Mungu wako, usiyaangalie kufanya maagizo yake yote na amri zake, nikuagizazo hivi leo, ndipo zitakapokujia laana hizi zote na kukupata.

16 Utalaaniwa mjini, utalaaniwa na mashambani.

17 Litalaaniwa kapu lako na chombo chako cha kukandia.

18 Utalaaniwa uzao wa tumbo lako, na uzao wa nchi yako, maongeo ya ng'ombe wako, na wadogo wa kondoo zako.

19 Utalaaniwa uingiapo, utalaaniwa na utokapo,

20 Bwana atakuletea laana na mashaka, na kukemewa, katika yote utakayotia mkono wako kuyafanya, hata uangamie na kupotea kwa upesi; kwa ule uovu wa matendo yako, uliyoniacha kwayo.
22 Bwana atakupiga kwa kifua kikuu, na kwa homa, na kwa kuwashwa, na kwa hari ya moto, na kwa upanga, na kwa ukaufu, na kwa koga; navyo vitakufukuza hata uangamie.

23 Na mbingu zako zilizo juu ya kichwa chako zitakuwa shaba, na nchi iliyo chini yako itakuwa chuma.

24 Bwana atafanya mvua ya nchi yako iwe vumbi na mchanga; itakujilia juu yako kutoka mbinguni hata uangamie.

25 Bwana atakufanya upigwe mbele ya adui zako; utawatokea juu yao kwa njia moja, lakini utakimbia mbele yao kwa njia saba; nawe utatupwa huko na huko katika falme zote za duniani.

26 Na mzoga wako utakuwa chakula cha ndege wote wa angani, na wanyama wote wa duniani, pasiwe na mtu wa kuwafukuza.

27 Bwana atakupiga kwa majipu ya Misri, na kwa bawasiri, na kwa pele, na kwa kujikuna, ambayo hupati kupoa.

28 Bwana atakupiga kwa wazimu, na kwa upofu, na kwa bumbuazi la moyoni;

29 utakwenda kwa kupapasa-papasa mchana, kama apapasavyo kipofu gizani, wala hufanikiwi katika njia zako; nawe sikuzote utaonewa na kutekwa nyara, wala hapatakuwa na mtu wa kukuokoa.

30 Utaposa mke na mume mwingine atalala naye; utajenga nyumba usiikae; utapanda mizabibu usitumie matunda yake.

31 Ng'ombe wako atachinjwa mbele ya macho yako, usile nyama yake; utanyang'anywa punda wako mbele ya uso wako kwa jeuri, usirudishiwe; kondoo zako watapewa adui zako, usipate mtu wa kukuokoa.

32 Wanao na binti zako litapewa taifa lingine, na macho yako yataangalia, na kuzimia kwa kuwatamani mchana kutwa; wala hapatakuwa na kitu katika uwezo wa mkono wako.

33 Matunda ya nchi yako, na taabu yako yote, vitaliwa na taifa usilolijua; utaonewa tu, na kupondwa chini daima;

34 hata uwe mwenye wazimu kwa yaonwayo na macho yako, utakayoyaona.

35 Bwana atakupiga magoti na miguu kwa jipu lililo zito, usilopata kupozwa, tokea wayo wa mguu mpaka utosi wa kichwa.

38 Mbegu nyingi utazichukua nje shambani, lakini utavuna haba, kwa kuwa nzige watazila.

39 Utapanda mizabibu na kuitengeza, wala hutakunywa katika divai yake, wala kuichuma kwani italiwa na mabuu.

40 Utakuwa na mizeituni katika mipaka yako yote usijipake mafuta yake; kwa kuwa mzeituni wako utapukutika.

41 Utazaa wana na binti, lakini hawatakuwa wako wewe; kwa sababu watakwenda utumwani.

43 Mgeni aliye kati yako atazidi kupaa juu yako; nawe utazidi kushuka chini.
.....
Kumbukumbu la Torati 28:1-14
1 Itakuwa utakaposikia sauti ya Bwana, Mungu wako, kwa bidii, kutunza kuyafanya maagizo yake yote nikuagizayo leo, ndipo Bwana, Mungu wako, atakapokutukuza juu ya mataifa yote ya duniani;

2 na baraka hizi zote zitakujilia na kukupata usikiapo sauti ya Bwana, Mungu wako.

3 Utabarikiwa mjini, utabarikiwa na mashambani.

4 Utabarikiwa uzao wa tumbo lako, na uzao wa nchi yako, na uzao wa wanyama wako wa mifugo, maongeo ya ng'ombe wako, na wadogo wa kondoo zako.

5 Litabarikiwa kapu lako, na chombo chako cha kukandia unga.

6 Utabarikiwa uingiapo, utabarikiwa na utokapo.

7 Bwana atawafanya adui zako wainukao juu yako kupigwa mbele yako; watakutokea kwa njia moja, lakini watakimbia mbele yako kwa njia saba.

8 Bwana ataiamuru baraka ije juu yako katika ghala zako, na mambo yote utakayotia mkono wako; naye atakubarikia katika nchi akupayo Bwana, Mungu wako.

9 Bwana atakuweka uwe taifa takatifu kwake, kama alivyokuapia; utakaposhika maagizo ya Bwana, Mungu wako, na kutembea katika njia zake.

10 Na mataifa yote ya duniani watakuona umeitwa kwa jina la Bwana, nao watakuwa na hofu kwako.

11 Bwana atakufanya uwe na wingi wa uheri, katika uzao wa tumbo lako, na uzao wa wanyama wako wa mifugo, na uzao wa nchi yako, katika nchi Bwana aliyowaapia baba zako kwamba atakupa.

12 Atakufunulia Bwana hazina yake nzuri, nayo ni mbingu, kwa kutoa mvua ya nchi yako kwa wakati wake, na kwa kubarikia kazi yote ya mkono wako; nawe utakopesha mataifa mengi, wala hutakopa wewe.

13 Bwana atakufanya kuwa kichwa, wala si mkia; nawe utakuwa juu tu, wala huwi chini; utakapoyasikiza maagizo ya Bwana, Mungu wako, nikuagizayo hivi leo, kuyaangalia na kufanya;

14 msipokengeuka katika maneno niwaamuruyo leo kwa lo lote, kwenda mkono wa kuume wala wa kushoto, kwa kuifuata miungu mingine na kuitumikia.
 
Wewe naona una lengo la kuwatoa watu kwenye usahihi.

Vyote ulivyoandika hapo ni matokeo eidha ya kulogwa ama mtu kumilikiwa na mapepo sasa unaongea habari za laana kuwafanya watu wenye matatizo uliyoorodhesha wachanganyikiwe zaidi.
 
Wewe naona una lengo la kuwatoa watu kwenye usahihi.

Vyote ulivyoandika hapo ni matokeo eidha ya kulogwa ama mtu kumilikiwa na mapepo sasa unaongea habari za laana kuwafanya watu wenye matatizo wachanganyikiwe zaidi...
Wewe ndio umechanya zaidi kuliko hata huyo mtoa mada thibitisha unavyovisema.
 
Na wewe unajua jinsi laana inavyofanya kazi?

Na unajua laana inatokana na nini?

Nithibitishe nini?

Acheni kuokota maneno huko na huko na kuwajaza watu...
Hakuna laana

Hakuna uchawi
Hizo zote ni drama za kiimani kama vipo thibitisha hapa.
 
Hakuna laana

Hakuna uchawi
Hizo zote ni drama za kiimani kama vipo thibitisha hapa.
Nikuthibitishieje kitu ambacho huamini?

Kama wewe hauamini ni sawa, mimi nazungumza na wanaoamini, na kwa case ya mleta mada huo ni uchawi ni matokeo ya kulogwa.
 
Back
Top Bottom