Kama una hizi dalili fahamu tu kuwa umelaaniwa

Kama una hizi dalili fahamu tu kuwa umelaaniwa

Nikuthibitishieje kitu ambacho huamini?

Kama wewe hauamini ni sawa, mimi nazungumza na wanaoamini, na kwa case ya mleta mada huo ni uchawi ni matokeo ya kulogwa.
Hakuna uchawi wala kitu kinaitwa laana zaidi ya swaga za kiimani tu na kutishana , kwa sababu imani ni kuamini kitu usichokuwa na uhakika nacho upo sahihi .
 
Hakuna uchawi wala kitu kinaitwa laana zaidi ya swaga za kiimani tu na kutishana , kwa sababu imani ni kuamini kitu usichokuwa na uhakika nacho upo sahihi .
Na wewe mkuu usinipoteze, mimi nasemaje ndugu zangu mtakaokuwa na maswahibu aliyoainisha mleta mada tambueni kuwa mmelogwa na sio mmelaaniwa, hivyo jitibieni...
 
Back
Top Bottom