ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Kama una pesa haifai uteseke na mapenzi fanya hivi tafuta MWanamke mdogo mdogo mwembamba mrefu ambaye kaishia elimu ya msingi tu au secondary asiye na kazi Tena wa kutokea kijijini ila hakikisha NI mrembo wa asili.
Ukimaliza taratibu za kwao ukamtolea barua usikimbilie kufanya harusi we kaa naye tu mtoe huko shamba njoo naye mjini. NOW mkiwa kwenye mahusiano style ya kuishi naye iwe hivi wewe utakuwa mfalme au boss yeye atakuwa kitengo Cha ubodyguard kila sehemu utakayokuwa unakwenda mchukue tena Kama una gari mfundishe kuendesha ukitaka kwenda bar ye ndo dereva anakuendesha
Unafika unampa dokezo la kiasi ambacho unataka kutumia kunywa na yeye analifanyia marekebisho kwa kukushauri kwamba kunywa bia kadhaa pekee unakubali kumbuka pesa yako ya kutumia ktk entertainment na chakula unamuachia yeye aishike.
Hapo unakuwa umemfanya awe mkuu wa kitengo Cha uhasibu katika penzi lenu, hakika MWanamke huyo hawezi kuja kuchepuka na lazima mfanikiwe..kingine ikiwa wewe ndo mfalme usimuachie maamuzi ya Nini Cha kupika afanye yeye wewe nunua nyama mwambie tengeneza roast pika na ugali na mchicha Basi inatosha yaani unampa maagizo as ni house girl wako kumbe NI mkeo.
Ikibidi unakuwa na simu mbili moja ya ofisini na kuperuzi jamiiforum nyingine ya marafiki wasio na faida Sana hio unampa akushikie mtu akipiga apokee then aseme mwenye simu Yuko busy ila Kama Kuna ujumbe unaweza kuacha na hakika nakwambia system ya kuishi na mkeo ya namna hii itakupunguzia mambo mengi na utakuwa salama na mtafanikiwa sana, kwanza pesa zitakuwa hazipotei halafu MWanamke atakuwa anakuheshimu mno halafu itakuwa unaonekana kwa nadra Sana mtaani.
Kwenye miradi yako unamtuma aisimamie na akienda hakuna kucheka anaenda Kama mtumishi na sio mpenzi then kazi yake NI kukupa mirejesho we umetulia zako TU sehemu hakuna mazoea mazoea na wabongo mazoea leta nao kwenye mitandao tu sio real life.
NB:1.mfumo huu NI applicable kwa watu wenye kushika pesa angalau kipato fulani halafu usiwe na mipango ya kuzaa naye halafu hakikisha unamvisha mikato ya kijanja yaani akishuka kwenye gari kuja kukufungulia milango linakufa jitu huko PC Kali ya maana unahakikisha anasuka dread za kwenda,jeans na t shirt katokelezea halafu mnafanya mambo yenu kimya kimya...
Jamani sio kwamba naota haya maisha au labda nimekuwa inspired by movies NI maisha yanayowezekana kbs kwa wale tunaopenda kuishi kifalme au kitajiri kumbe tuna hela TU za kawaida.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ukimaliza taratibu za kwao ukamtolea barua usikimbilie kufanya harusi we kaa naye tu mtoe huko shamba njoo naye mjini. NOW mkiwa kwenye mahusiano style ya kuishi naye iwe hivi wewe utakuwa mfalme au boss yeye atakuwa kitengo Cha ubodyguard kila sehemu utakayokuwa unakwenda mchukue tena Kama una gari mfundishe kuendesha ukitaka kwenda bar ye ndo dereva anakuendesha
Unafika unampa dokezo la kiasi ambacho unataka kutumia kunywa na yeye analifanyia marekebisho kwa kukushauri kwamba kunywa bia kadhaa pekee unakubali kumbuka pesa yako ya kutumia ktk entertainment na chakula unamuachia yeye aishike.
Hapo unakuwa umemfanya awe mkuu wa kitengo Cha uhasibu katika penzi lenu, hakika MWanamke huyo hawezi kuja kuchepuka na lazima mfanikiwe..kingine ikiwa wewe ndo mfalme usimuachie maamuzi ya Nini Cha kupika afanye yeye wewe nunua nyama mwambie tengeneza roast pika na ugali na mchicha Basi inatosha yaani unampa maagizo as ni house girl wako kumbe NI mkeo.
Ikibidi unakuwa na simu mbili moja ya ofisini na kuperuzi jamiiforum nyingine ya marafiki wasio na faida Sana hio unampa akushikie mtu akipiga apokee then aseme mwenye simu Yuko busy ila Kama Kuna ujumbe unaweza kuacha na hakika nakwambia system ya kuishi na mkeo ya namna hii itakupunguzia mambo mengi na utakuwa salama na mtafanikiwa sana, kwanza pesa zitakuwa hazipotei halafu MWanamke atakuwa anakuheshimu mno halafu itakuwa unaonekana kwa nadra Sana mtaani.
Kwenye miradi yako unamtuma aisimamie na akienda hakuna kucheka anaenda Kama mtumishi na sio mpenzi then kazi yake NI kukupa mirejesho we umetulia zako TU sehemu hakuna mazoea mazoea na wabongo mazoea leta nao kwenye mitandao tu sio real life.
NB:1.mfumo huu NI applicable kwa watu wenye kushika pesa angalau kipato fulani halafu usiwe na mipango ya kuzaa naye halafu hakikisha unamvisha mikato ya kijanja yaani akishuka kwenye gari kuja kukufungulia milango linakufa jitu huko PC Kali ya maana unahakikisha anasuka dread za kwenda,jeans na t shirt katokelezea halafu mnafanya mambo yenu kimya kimya...
Jamani sio kwamba naota haya maisha au labda nimekuwa inspired by movies NI maisha yanayowezekana kbs kwa wale tunaopenda kuishi kifalme au kitajiri kumbe tuna hela TU za kawaida.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app