Kama una kipato kizuri tafuta mwanamke ambaye utaishi naye mfumo wa kifalme

Kama una kipato kizuri tafuta mwanamke ambaye utaishi naye mfumo wa kifalme

Mijadala lazima ihusu wao ndio maana ya mahusiano Kama jukwaa linavyosema, ni lazima iwe Kati ya mwanamke na mwanaume. Au unataka tuzungumzie mwanaume kwa mwanaume? Si uchoko huo sasa
Nachozungumzia mimi ni kwamba imekuwa wimbo kila siku hayo uliyoleta yakwako sijaandika sentensi ya namna hiyo!.
 
Uyo Ni MKE wangu kabisa mama G[emoji4]
Oy DeepPond unazingua jamaa, wewe si ulisema mkeo ni mcha Mungu Hana mambo mengi. Akitoka home ni kanisani Tena anapelekwa na vijana wako. Akitoka kanisani ni home. Na Sasa ametoka kujifungua hivi karibuni na mnalea kichanga.


Sasa hiyo kifalime as mtoa mada alivosema unaishi nae vipi au unazungumzia mchepuko wako mama J
 
Kama una pesa haifai uteseke na mapenzi fanya hivi tafuta MWanamke mdogo mdogo mwembamba mrefu ambaye kaishia elimu ya msingi tu au secondary asiye na kazi Tena wa kutokea kijijini ila hakikisha NI mrembo wa asili.

Ukimaliza taratibu za kwao ukamtolea barua usikimbilie kufanya harusi we kaa naye tu mtoe huko shamba njoo naye mjini. NOW mkiwa kwenye mahusiano style ya kuishi naye iwe hivi wewe utakuwa mfalme au boss yeye atakuwa kitengo Cha ubodyguard kila sehemu utakayokuwa unakwenda mchukue tena Kama una gari mfundishe kuendesha ukitaka kwenda bar ye ndo dereva anakuendesha

Unafika unampa dokezo la kiasi ambacho unataka kutumia kunywa na yeye analifanyia marekebisho kwa kukushauri kwamba kunywa bia kadhaa pekee unakubali kumbuka pesa yako ya kutumia ktk entertainment na chakula unamuachia yeye aishike.

Hapo unakuwa umemfanya awe mkuu wa kitengo Cha uhasibu katika penzi lenu, hakika MWanamke huyo hawezi kuja kuchepuka na lazima mfanikiwe..kingine ikiwa wewe ndo mfalme usimuachie maamuzi ya Nini Cha kupika afanye yeye wewe nunua nyama mwambie tengeneza roast pika na ugali na mchicha Basi inatosha yaani unampa maagizo as ni house girl wako kumbe NI mkeo.

Ikibidi unakuwa na simu mbili moja ya ofisini na kuperuzi jamiiforum nyingine ya marafiki wasio na faida Sana hio unampa akushikie mtu akipiga apokee then aseme mwenye simu Yuko busy ila Kama Kuna ujumbe unaweza kuacha na hakika nakwambia system ya kuishi na mkeo ya namna hii itakupunguzia mambo mengi na utakuwa salama na mtafanikiwa sana, kwanza pesa zitakuwa hazipotei halafu MWanamke atakuwa anakuheshimu mno halafu itakuwa unaonekana kwa nadra Sana mtaani.

Kwenye miradi yako unamtuma aisimamie na akienda hakuna kucheka anaenda Kama mtumishi na sio mpenzi then kazi yake NI kukupa mirejesho we umetulia zako TU sehemu hakuna mazoea mazoea na wabongo mazoea leta nao kwenye mitandao tu sio real life.

NB:1.mfumo huu NI applicable kwa watu wenye kushika pesa angalau kipato fulani halafu usiwe na mipango ya kuzaa naye halafu hakikisha unamvisha mikato ya kijanja yaani akishuka kwenye gari kuja kukufungulia milango linakufa jitu huko PC Kali ya maana unahakikisha anasuka dread za kwenda,jeans na t shirt katokelezea halafu mnafanya mambo yenu kimya kimya...

Jamani sio kwamba naota haya maisha au labda nimekuwa inspired by movies NI maisha yanayowezekana kbs kwa wale tunaopenda kuishi kifalme au kitajiri kumbe tuna hela TU za kawaida.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Usisahau kumwekeaaa na kuku wakufugaa hapo nyumban akiwaa mama wa nyumbanii.....
 
Huo mfumo aliuweza Gadafi tu😅 mwanamke wa kibongo ukishaingia kwenye mapenzi nae automatically anataka kuwa baby sitted!

Atataka apewe kila kitu na yeye awekewe msaidizi wa kazi zake awe yupo free tu kazi yake kukupa K tu😅
 
Oy DeepPond unazingua jamaa, wewe si ulisema mkeo ni mcha Mungu Hana mambo mengi. Akitoka home ni kanisani Tena anapelekwa na vijana wako. Akitoka kanisani ni home. Na Sasa ametoka kujifungua hivi karibuni na mnalea kichanga.


Sasa hiyo kifalime as mtoa mada alivosema unaishi nae vipi au unazungumzia mchepuko wako mama J
Msome vizur mtoa mada,
Kifalme kaongelea kuishi kwa kufuata miongozo yangu, na sio kusaidiana maisha[emoji4]
 
Huo mfumo aliuweza Gadafi tu[emoji28] mwanamke wa kibongo ukishaingia kwenye mapenzi nae automatically anataka kuwa baby sitted!

Atataka apewe kila kitu na yeye awekewe msaidizi wa kazi zake awe yupo free tu kazi yake kukupa K tu[emoji28]
Kinachofanyika NI una kuwa unamshughulisha kwenye shughuli zako(zenu)..una mkeep busy na hata ikiwezekana unakuwa unamlipa let's say 3000 kila siku kwenye account yake.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kama una pesa haifai uteseke na mapenzi fanya hivi tafuta MWanamke mdogo mdogo mwembamba mrefu ambaye kaishia elimu ya msingi tu au secondary asiye na kazi Tena wa kutokea kijijini ila hakikisha NI mrembo wa asili.
Akishafika mjini anakuwa mjanja kuliko mwenye PhD.

Kwani hawa wanaotusumbua unadhani hata kusoma wanajua vizuri basi
 
Back
Top Bottom