Nachozungumzia mimi ni kwamba imekuwa wimbo kila siku hayo uliyoleta yakwako sijaandika sentensi ya namna hiyo!.Mijadala lazima ihusu wao ndio maana ya mahusiano Kama jukwaa linavyosema, ni lazima iwe Kati ya mwanamke na mwanaume. Au unataka tuzungumzie mwanaume kwa mwanaume? Si uchoko huo sasa
Oy DeepPond unazingua jamaa, wewe si ulisema mkeo ni mcha Mungu Hana mambo mengi. Akitoka home ni kanisani Tena anapelekwa na vijana wako. Akitoka kanisani ni home. Na Sasa ametoka kujifungua hivi karibuni na mnalea kichanga.Uyo Ni MKE wangu kabisa mama G[emoji4]
Mbonaaa mama G analalamikaa gesi unamnuniliaaa mkuu na ten 10 lako unaloacha alikizi mahitajiiUyo Ni MKE wangu kabisa mama G[emoji4]
Usisahau kumwekeaaa na kuku wakufugaa hapo nyumban akiwaa mama wa nyumbanii.....Kama una pesa haifai uteseke na mapenzi fanya hivi tafuta MWanamke mdogo mdogo mwembamba mrefu ambaye kaishia elimu ya msingi tu au secondary asiye na kazi Tena wa kutokea kijijini ila hakikisha NI mrembo wa asili.
Ukimaliza taratibu za kwao ukamtolea barua usikimbilie kufanya harusi we kaa naye tu mtoe huko shamba njoo naye mjini. NOW mkiwa kwenye mahusiano style ya kuishi naye iwe hivi wewe utakuwa mfalme au boss yeye atakuwa kitengo Cha ubodyguard kila sehemu utakayokuwa unakwenda mchukue tena Kama una gari mfundishe kuendesha ukitaka kwenda bar ye ndo dereva anakuendesha
Unafika unampa dokezo la kiasi ambacho unataka kutumia kunywa na yeye analifanyia marekebisho kwa kukushauri kwamba kunywa bia kadhaa pekee unakubali kumbuka pesa yako ya kutumia ktk entertainment na chakula unamuachia yeye aishike.
Hapo unakuwa umemfanya awe mkuu wa kitengo Cha uhasibu katika penzi lenu, hakika MWanamke huyo hawezi kuja kuchepuka na lazima mfanikiwe..kingine ikiwa wewe ndo mfalme usimuachie maamuzi ya Nini Cha kupika afanye yeye wewe nunua nyama mwambie tengeneza roast pika na ugali na mchicha Basi inatosha yaani unampa maagizo as ni house girl wako kumbe NI mkeo.
Ikibidi unakuwa na simu mbili moja ya ofisini na kuperuzi jamiiforum nyingine ya marafiki wasio na faida Sana hio unampa akushikie mtu akipiga apokee then aseme mwenye simu Yuko busy ila Kama Kuna ujumbe unaweza kuacha na hakika nakwambia system ya kuishi na mkeo ya namna hii itakupunguzia mambo mengi na utakuwa salama na mtafanikiwa sana, kwanza pesa zitakuwa hazipotei halafu MWanamke atakuwa anakuheshimu mno halafu itakuwa unaonekana kwa nadra Sana mtaani.
Kwenye miradi yako unamtuma aisimamie na akienda hakuna kucheka anaenda Kama mtumishi na sio mpenzi then kazi yake NI kukupa mirejesho we umetulia zako TU sehemu hakuna mazoea mazoea na wabongo mazoea leta nao kwenye mitandao tu sio real life.
NB:1.mfumo huu NI applicable kwa watu wenye kushika pesa angalau kipato fulani halafu usiwe na mipango ya kuzaa naye halafu hakikisha unamvisha mikato ya kijanja yaani akishuka kwenye gari kuja kukufungulia milango linakufa jitu huko PC Kali ya maana unahakikisha anasuka dread za kwenda,jeans na t shirt katokelezea halafu mnafanya mambo yenu kimya kimya...
Jamani sio kwamba naota haya maisha au labda nimekuwa inspired by movies NI maisha yanayowezekana kbs kwa wale tunaopenda kuishi kifalme au kitajiri kumbe tuna hela TU za kawaida.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hkn cha pekee yk ,ukitakaa wa pekee yako kata mgombaa ulale naoo......Yes.asiwe busy na kazi za kusafiri sijui Mara kasafiri siku nne watamla ma boss zake..awe TU na yeye
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mama G tena mzee😅 aisee mkuu ni Pm number yako nikupigie chap kuna ishu nataka share na weweMikato ya kijanja ndo mavazi ya aina gan unazungumzia mkuu[emoji848]
Kama Ni tishet na jeans, kwa MKE hayafai
hapo Nakupinga[emoji4]
Tofautisha MamaG (my wife) na mamaJ (Mchepuko) [emoji4]Mbonaaa mama G analalamikaa gesi unamnuniliaaa mkuu na ten 10 lako unaloacha alikizi mahitajii
MamaG ale MKE nmepata.Kaka[emoji3]kumbe ndo zako
Msome vizur mtoa mada,Oy DeepPond unazingua jamaa, wewe si ulisema mkeo ni mcha Mungu Hana mambo mengi. Akitoka home ni kanisani Tena anapelekwa na vijana wako. Akitoka kanisani ni home. Na Sasa ametoka kujifungua hivi karibuni na mnalea kichanga.
Sasa hiyo kifalime as mtoa mada alivosema unaishi nae vipi au unazungumzia mchepuko wako mama J
Kinachofanyika NI una kuwa unamshughulisha kwenye shughuli zako(zenu)..una mkeep busy na hata ikiwezekana unakuwa unamlipa let's say 3000 kila siku kwenye account yake.Huo mfumo aliuweza Gadafi tu[emoji28] mwanamke wa kibongo ukishaingia kwenye mapenzi nae automatically anataka kuwa baby sitted!
Atataka apewe kila kitu na yeye awekewe msaidizi wa kazi zake awe yupo free tu kazi yake kukupa K tu[emoji28]
Pm chief[emoji4]Mama G tena mzee[emoji28] aisee mkuu ni Pm number yako nikupigie chap kuna ishu nataka share na wewe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sawà mkuuu,lkn c umejimilikishaa kwann usimuhudumiee vyoteeeTofautisha MamaG (my wife) na mamaJ (Mchepuko) [emoji4]
Akishafika mjini anakuwa mjanja kuliko mwenye PhD.Kama una pesa haifai uteseke na mapenzi fanya hivi tafuta MWanamke mdogo mdogo mwembamba mrefu ambaye kaishia elimu ya msingi tu au secondary asiye na kazi Tena wa kutokea kijijini ila hakikisha NI mrembo wa asili.
Nashangaaga wanaume wanapata wapi muda wa kupika?? Serious?Hiyo sio shida ila ukishaoa madaraka yote ya jikoni ni ya mwanamke. Na sisi tupo Tanzania hatupo naijeria
As long as you have money.Point ya msingi hapo, asiwe mfanyakazi.. kazi yake iwe kukuhudumia wewe.. and that's a fact [emoji106]