Kama una lipa ada milioni moja na nusu hadi 3 Kwa mwaka, badala ya Dola elfu thelathini Basi jua unafanyiwa mchezo

Kama una lipa ada milioni moja na nusu hadi 3 Kwa mwaka, badala ya Dola elfu thelathini Basi jua unafanyiwa mchezo

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Vitu vya kupewa Bure wewe unavinunua Kwa hela , hela yenyewe ndogo. Wenzako wanauziwa Dola elfu 30 Kwa mwaka wewe unauziwa Dola elfu moja Kwa mwaka. Huoni kwamba unapigwa?

Unazidiwa na wale wanaochukua bure Kwa sababu wamejipima wameona gharama halisi ni Dola elfu thelathini Kwa mwaka, hii Dola elfu moja hapana ni ubabaishaji...

Baada ya watoto kuhitimu Chuo na kuja mtaani kupambana na uhalisia ndio utajua kwanini uliuziwa elimu Kwa Dola elfu moja Kwa mwaka badala ya Dola elfu thelathini Kwa mwaka.
 

Attachments

  • 1737743840260.jpg
    1737743840260.jpg
    202 KB · Views: 4
Kazi kweli kweli...

"Somesha mtoto shule... apate elimu eeee atafaidika kwa maisha yake..."
 
Dollar 30,000?
Mitaala ya Cambridge au NECTA!
Anyway soko ni huria kila mtu anajichagulia kinachomfaa.
 
Acha utapeli wewe

Yani ukaacha kusomesha mtoto english elementary ili u-save pesa ya kula malaya. Sasa ndio nini
Wewe Sio nzima kila Uzi una mtukana mwenzako hakujibu hujistu
Vitu vya kupewa Bure wewe unavinunua Kwa hela , hela yenyewe ndogo. Wenzako wanauziwa Dola elfu 30 Kwa mwaka wewe unauziwa Dola elfu moja Kwa mwaka. Huoni kwamba unapigwa?

Unazidiwa na wale wanaochukua bure Kwa sababu wamejipima wameona gharama halisi ni Dola elfu thelathini Kwa mwaka, hii Dola elfu moja hapana ni ubabaishaji...

Baada ya watoto kuhitimu Chuo na kuja mtaani kupambana na uhalisia ndio utajua kwanini uliuziwa elimu Kwa Dola elfu moja Kwa mwaka badala ya Dola elfu thelathini Kwa mwaka.
Huyu jamaa mwenye viatu Jumamosi na Jumapili lazima atakuwa msukuma
 
Acha utapeli wewe

Yani ukaacha kusomesha mtoto english elementary ili u-save pesa ya kula malaya. Sasa ndio nini
Wewe Sio nzima kila Uzi una mtukana mwenzako hakujibu hujistu
Vitu vya kupewa Bure wewe unavinunua Kwa hela , hela yenyewe ndogo. Wenzako wanauziwa Dola elfu 30 Kwa mwaka wewe unauziwa Dola elfu moja Kwa mwaka. Huoni kwamba unapigwa?

Unazidiwa na wale wanaochukua bure Kwa sababu wamejipima wameona gharama halisi ni Dola elfu thelathini Kwa mwaka, hii Dola elfu moja hapana ni ubabaishaji...

Baada ya watoto kuhitimu Chuo na kuja mtaani kupambana na uhalisia ndio utajua kwanini uliuziwa elimu Kwa Dola elfu moja Kwa mwaka badala ya Dola elfu thelathini Kwa mwaka.
Huyu jamaa mwenye viatu Jumamosi na Jumapili lazima atakuwa msukuma
 
Acha utapeli wewe

Yani ukaacha kusomesha mtoto english elementary ili u-save pesa ya kula malaya. Sasa ndio nini
Wewe Sio nzima kila Uzi una mtukana mwenzako hakujibu hujistu
Vitu vya kupewa Bure wewe unavinunua Kwa hela , hela yenyewe ndogo. Wenzako wanauziwa Dola elfu 30 Kwa mwaka wewe unauziwa Dola elfu moja Kwa mwaka. Huoni kwamba unapigwa?

Unazidiwa na wale wanaochukua bure Kwa sababu wamejipima wameona gharama halisi ni Dola elfu thelathini Kwa mwaka, hii Dola elfu moja hapana ni ubabaishaji...

Baada ya watoto kuhitimu Chuo na kuja mtaani kupambana na uhalisia ndio utajua kwanini uliuziwa elimu Kwa Dola elfu moja Kwa mwaka badala ya Dola elfu thelathini Kwa mwaka.
Huyu jamaa mwenye viatu Jumamosi na Jumapili lazima atakuwa msukuma
 
Vitu vya kupewa Bure wewe unavinunua Kwa hela , hela yenyewe ndogo. Wenzako wanauziwa Dola elfu 30 Kwa mwaka wewe unauziwa Dola elfu moja Kwa mwaka. Huoni kwamba unapigwa?

Unazidiwa na wale wanaochukua bure Kwa sababu wamejipima wameona gharama halisi ni Dola elfu thelathini Kwa mwaka, hii Dola elfu moja hapana ni ubabaishaji...

Baada ya watoto kuhitimu Chuo na kuja mtaani kupambana na uhalisia ndio utajua kwanini uliuziwa elimu Kwa Dola elfu moja Kwa mwaka badala ya Dola elfu thelathini Kwa mwaka.
🤣🤣🤣 huyu mwenye viatu lazima atakuwa msukuma
 
Likud Ada bin English medium
Hutakiwi kulipishwa ada Ems Kwa sababu zinatumia mtaala wa Necta. Wanao stahili kulipwa ada ni International Schools Kwa sababu Wana fundisha mtaala wa Cambridge
 
Kazi kweli kweli...

"Somesha mtoto shule... apate elimu eeee atafaidika kwa maisha yake..."
Yes Kayumba au International School mtaala wa Cambridge. No any other option
 
Hutakiwi kulipishwa ada Ems Kwa sababu zinatumia mtaala wa Necta. Wanao stahili kulipiwa ada ni International Schools Kwa sababu Wana fundisha mtaala wa Cambridge
Nimeipendaaa mwenyewe chaguo langu milelee na uvimbe upasukee 😁😁🥁🪘🎻🎸
 
Acha utapeli wewe

Yani ukaacha kusomesha mtoto english elementary ili u-save pesa ya kula malaya. Sasa ndio nini
Anapoelekea huyu hata st Likud a.k.a Kayumba atawatoa wanae aanze wabebesha masinia ya maandazi, karanga, vitumbua mihogo akidai anawafundisha ujasiriamali kumbe mfukoni apeche alolo
 
Back
Top Bottom