Kama una miaka 30, tayari umetumia nusu yako nyepesi na sasa upo kwenye nusu nyingine isiyohitaji mizaha

Mwanasayansi Kalivubha

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2024
Posts
344
Reaction score
926
Kama una miaka 30 tayari umetumia nusu yako nyepesi sasa upo kwenye nusu nyingine isiyohitaji mizaha 😔

Watalaam husema miaka 30 unakuwa umeishi nusu ya maisha yako hivyo mkononi unakuwa tena na nusu nyingine ✍️

Nusu ya kwanza umeitumiaje?

Kwa asilimia kubwa hii nusu umetumia ukiwa shule ila kibaya zaidi ni kuwa hii nusu hasa kati ya 20-26 unakuwa umeitumia kupoteza muda na watu wasio sahihi.

Nusu iliyobaki (30+) usikubali tena kupoteza muda maana hii nusu ni ya lala salama na fupi pia imejaa majukumu mengi sana.

Mwanasayansi saul kalivubha

#fikia ndoto zako
 
Kuna wengine tuko nao above 30 lakini ndo kama kunekucha hawajali hawataki kuoa a.k.a wazee wa kataa ndoa 🤣🤣🤣Yaaan huwaambii kitu ujuaji mwingiii hata ka kiwanja hana.Wakisha kua na tv , sofa la mtu mmoja , kitanda cha chuma na sabufa wamemaliza kazi kweli kweli .....
 
Kuoa hainaga nusu boss. Unaoa unapokuwa tayari na unapopata mtu sahihi.
 
Wanakupa mawazo..?
 
daaah mkuu umenigusa
 
wanakupa mawazo..
 
Basi ulivyooa na kununua kakiwanja unaona maisha umeyapatia!
 
Unaweza kuwa na kiwanja ila kipo bondeni halafu cha 15 × 10.
 
Tuheshimiane tafadhali! Kwanini unanisema humu?😁
 


GOD is out of time, out of matters and out of space 👉 ACHA kuwaza NDANI ya muda utaishi vyema na UMUNGU utaonekana kwako b'se utaona Kama MUNGU anavyoona

Jitoe nje ya muda i.e think out of time, and you'll never negret your experience in this Earth

Ulikuwepo kabda ya kuubwa tumboni mwa mama yako na kifo ni muendelezo wa UHAI, sio MWISHO wa UHAI Kwaiyo achana na dhana ya kufikiri NDANI ya muda utakuwa ni mtu wa kujihukumu kila Leo na MAISHA yatakosa Radha 😁
 

😀 😀 Kwa hapa TZ hawa vijana wa miaka 30's ndio kamati ya kataa ndoa .Wnajifanya wanajitambua sana ila wengi ni mzigo kwa taifa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…