Kama una mpango wa kuja South, zingatia mambo haya sita kabla ya kuanza safari yako

Nipe experince ya durban nitakuwa huko kwa miaka kama minne hv nafanya kazi professional na ni mmenda K kwa asili
 
Nyie watz mnakimbia sana nchi yenu, kisa maskini hakuna fursa za maisha hapa, watawala kazi yao kuijenga ccm na kudhifali simba na yanga, kushida zinatupigia kelele, tutasota sana huko kwa ujinga wetu sisi wananchi hapa tz. Kuzidi kuamini hiki chama?
 

Asante kwa ushauri.

Ila tangu waanze ubaguzi wao kwa waafrika wenzao, watu wengi wamewatoa maana. Wanawaona ni wajinga tu. Hamna mtu mwenye hamu ya kwenda huko
 
Kwa hakika Mungu alikuwa upande wako mkuu, inatakiwa amshukuru kila siku ya maisha yako.
 
Kuzishika hizo lugha lazima uwe hujui kiingereza wala kiswahili. Waburundi ndo huwa ni ma-master wa kujua lugha za watu. Wenyewe wanasema french ni lugha ya kimaskini.
Unajua kinachofanya washike mapema hizo lugha, ni kwa sababu hizi lugha za kibantu zinaingiliana sana. Japo kiswahili nacho kimechomekewa kibantu ndani yake lakin bado kinajitegemea kwa kiasi fulani. Ukikisikia kiyao cha mangochi nchini Malawi kina asilimia 98 ya kiyao cha tunduru mkoani Ruvuma nchini Tanzania.
 
Ni kweli mkuu. Hata watu wa Tunduma, Mbeya na Rukwa huwa wepesi sana kujua lugha za Zambia.
 
Huyu ni wale ambao wanasimuliwa na kujifanya wanajua kile walichosimuliwa. Wengine tushafanya kazi hadi katika maeneo ambayo mtu akihadisiwa anajiuliza uliwezaje wezaje kuipata kazi hiyo.

Kwa vile ndugu zetu wamekariri kuwa ili uishi hapa lazima uuze bangi, upige mchomoko au kuuza unga. Basi wenye akili tukipata mshtuo wa kazi za maana huwa tunapiga kimya kimya bila mbongo yoyote kujua.
 
Ni kweli bangi zinaruhusiwa?
 
Jamaa ni mshamba sana. Kuna wabongo hatari wapo hadi kwenye systems za nchi jirani wanakula na wakuu wa huko. Wengine hadi NIDA za huko wanazo hawasumbuliwi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…