Kama una mpango wa kuja South, zingatia mambo haya sita kabla ya kuanza safari yako

Hili la kukaa siti ya mbele kwenye daladala, limeniacha mdomo wazi. 😀😀😃😁
 
Kila mtu anakusanya pesa mnampatia dreva? Sijaelewa mkuu
Kuna usafiri wa aina tatu, metro train, town bus kama za Udart wanatumia card za wiki hadi mwezi na Tax ambazo Bongo tunaita vipanya au Hiace.

Sasa kipanya kinaeleweka kinabeba watu wangapi level seat, kwahiyo mkiwa njiani dreva anatanga mtowe nauli unaanza mstari wa nyuma, unakuja unaofuata hadi wa mwisho wewe uliyekaa siti ya mbele na dereva.

Lakini kwakuwa ni nchi ya kibabe hilo zoezi wala siyo gumu kila anayepanda anapanda na nauli kamili, mara chache sana mtu kuhitaji change.

Kwa mtu anayejielewa úsafiri wa metro bus ndio mzuri na salama kabisa unacheza na kadi tu, nadhani changamoto kubwa ni route za yale mabasi yanapita zaidi location za wazungu.
 
Hope ulitoa sadaka on arrival
 
Asante mkuu.
 
Yaani eti nikabidhiwe nauli kisa nimekaa karibu na davoo nimpe zisipungue hata kumi?
Navyoijua kichwa angu Kila siku kungetokea fujo
Njombe kuna mzee anauza Asali barabarani ukifika hapo hukuti mtu, unatowa pesa unachukuwa asali unaondoka, kama ni chenji unachenji hapohapo wala hakuna wa kukusimamia mbona haibiwi?

Kila sehemu kuna utaratibu wake wa maisha.
 
Vitoto vya miaka ya 2000 ni shida hamuambiliki, endelea kukaza fuvu Msangi yupo kuwasifirisha kwenye box, unakwenda mzima unarudi cargo Swissport.
Humu tunatumia IDs fake mdogo wangu kwahiyo usichukulie vitu serious utakufa mbwa wewe! Acha tuchangamshe genge siku ipite. Naona id yangu imekuchanganya mwenyewe!!
 
Hivi mkuu kuna kitu kuhusu passport huwa sijapata majibu kabisa... mtu mwenye passport ya nchi nyingine anawezaje kuitumia kama alishawahi kuwa na passport ya TZ? finger prints si zitaleta shida wakati wa kuvuka?
 
Humu tunatumia IDs fake mdogo wangu kwahiyo usichukulie vitu serious utakufa mbwa wewe! Acha tuchangamshe genge siku ipite. Naona id yangu imekuchanganya mwenyewe!!
Unajichanganya nakuonya, usidanganywe habari za namba, hayo ni mambo ya jela kwa Warden.

Kama una malengo ya kwenda kujaribi bahati yako la kwanza ni hili la namba achana nalo kabisa utapigwa risasi za kichwa bado mdogo na hakuna case.

Pili umri wako bado mdogo jifunze kwanza ujuzi, watu wengi wanaotaabika nje na hata Tanzania ni watu wasiokuwa na ujuzi, nenda veta kasome ndio uwaze kutoka.

Usipoweza kujifunza honestly hivi kupitia watu wenye experince kubwa ya maisha basi utajifunza kwa njia ngumu sana.

Sipendi kosa nililofanya mimi nione mtoto mdogo anataka kulifanya nisikuonye au kukushauri, majuto ni mjukuu kama huna macho ya kusoma ninachokiandika basi wala hamna shida, Dar mpaka Johannesburg ni kilommeters 5000 tu kwa bus go ahed, nauli laki 4 tu.
 
Kwa akili zako umeshusha waraka wa Hamani mrefu hivi unamuamini mtu aliye nyuma ya keyboard! Narudia tena kwenye maisha ukiyachukulia mambo serious hivi utakufa mdogo wangu. Huo ushauri wa makosa uliyoyafanya wewe SA kawape wadogo zako wanaotaka kwenda!. Yaani kabisa mishipa ya shingo imekutoka kisa 26! Watu mna hatari! We kama ulikuwa kindwara huko SA kimpango wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…