Kama una mpango wa kuja South, zingatia mambo haya sita kabla ya kuanza safari yako

🀣🀣🀣🀣
 
Wee bwana wee...nasikia huko totoz za ki xhosa ni mseleleko tuu mwendo wa kudinyana sana. Ni kweli hayo mzeya? Ticket ya ndege kuja huko bei gani mwanawane nataka nije nionje ladha ya wa xhosa na zulus. Wele coloureds nao vipi? Watamu?
 
Wee bwana wee...nasikia huko totoz za ki xhosa ni mseleleko tuu mwendo wa kudinyana sana. Ni kweli hayo mzeya? Ticket ya ndege kuja huko bei gani mwanawane nataka nije nionje ladha ya wa xhosa na zulus. Wele coloureds nao vipi? Watamu?
Mzee coloured umewashidwa kabisa wasinginda na mbulu,wa uko bondeni utaweza?
 
Mtoa mada umenena vyema kabisa, tena ukiambiwa laki 3 beba 6, na zifiche kwa kugawa makundi, tafuta kipensi cha jinsi shonea mifuko migumu kwa fundi cherehani wako then zigawe hela, pili epuka mazoea kisa tu umemsikia mtu anaongea kiswahili, wengi wao sio watu tena, wanafosi maisha so mswahili mwenzio kukuua ni chapu sana.
Epuka watu haswa waswahili wasijue mfumo wa maisha yako.

Kuhusu tax ama daladala hakunaga konda so jitahidi sana ukae siti za katikati kama bado hujapazoea. Uwe na uwezo mkubwa wa kukariri mazingira, hili ni muhimu sana.

Nimeingia south kupitia beitbridge, (Zimbabwe na south border, Kopfontein/Tlokweng, Botswana na south, Martin drift, Botswana na south, ktk boda hizo nashauri pitia za Botswana na south, Beitbridge ukiingia tu unaanza kukutana na usela mavi wa wasouth pale misina.

Kiufupi south kila mtu ana stress, anatamani maisha mazuri ya shortcut.

Usimuamini askari au polisi mia kwa mia nao no wezi wakubwa sana tu. South ya leo nenda kibiashara utoke sio pa ku hustle tena.

Mwaka mpya kuingia 23 saa 10 jioni nilipigwa visu vitatu mkononi na pajani kimoja kisa simu tu.

Kiufupi sio salama kabisa na napachukia sana, kama huendi kibiashara eti ni ku hustle aisee nashauri hustle hapahapa bongo.
 
Kwakweli hiyo nchi hapana
Niliwahi kuwa na demu wa kicoloured tulikutana nchi tofauti tukaliendekeza libeneke akataka nifie mazima, ikawa kila siku anataka twende kutembea kwao Bloemfontain, lakini akili zilikuwa hazikubali na hivi alikuwa ameacha boyfriend wake huko akisema wameshaachana, niliona naenda kupigwa shaba tu huko
 
Mungu alikukinga, usiache kuabudu kwa imani yako, shukuru sana. Kwanza wasauzi akili hawajawahi kumiliki, wao kila kitu ni rahisi tu. Yani anaweza kakukuta umesimama zako anakuomba rand 10 tu, ukimuambia sina anaanza zogo, mara ooh nyie wageni mnakuja kufaidi nchi yetu, ni wavivu sana haya majamaa, wakiona wamalawi wameenda wa kawaida baada ya miaka miwili anahamia apartment nzuri yanaanza wivu wakati wenzao hawachagui kazi.
 
Hapo mwishoni pamenifurahishaπŸ˜€πŸ˜€
 
Na yalitimia kwa kweli
Kuna wakati alieenda kwao likizo alivyorudi anipigia stori za huyo boyfriend yake kuwa alisema kama ningeenda nae angeenda kutafuta Desert Eagle
Kuja kugugo desert eagle ni nini nakutana hii kitu, roho ilipiga paa

 
Kila mtu anakusanya pesa mnampatia dreva? Sijaelewa mkuu
Mtu wa mwisho kabisa anatoa 5 rand anampa anaefata nae anaweka hela yake hapo hadi zinafika kwa mtu wa kwanza kule hiace (tax) huwa ni level seats kwa hiyo driver anajua kabisa kuwa kitakachomfikia yeye ni 100 rand anapokea na kuzihakiki Sasa kama hazijatimia usimpe kwanza inabidi uwahoji abiria wa nyuma nani hajatoa au katoa pungufu Sasa kama we ni mgeni na umepakiza wazulu utahoji vipi hapo ndio kuepusha mengi unakaa siti ya kati au mwisho mwisho
Kwenye usafiri ustaraabu wake ni WA juu sana
 
Kwa hii English yako ya kukariri darasani sidhani kama utatoboa kwa kaburu!
Anatoboa tena vizuri sana si Bora huyu hata anaweza kuweka sentence ikaeleweka Kuna wengi wanajua thank you na sorry na baada ya mda Wana master na maisha yanaendelea
SA kwa kingereza mtaani wana pidgin Yao ukiwa mwepesi ndani ya miezi 3 hakuna shida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…