Kama una mpango wa kuoa, jifunze hapa

Kama una mpango wa kuoa, jifunze hapa

Siyo bure Shetani yumo nyuma ya hili jambo, unatumiwa kwa kujua au bila ya kujua,
Ndoa ni mpango wa Mungu aliye hai, katika familia tunajifunza jinsi ya kumtumikia na kumpenda Mungu, taifa lolote linaanzia ngazi ya familia, sasa unaposhawishi watu wakatae ndoa si bure kuna unayemtumikia wewe.
Yawezekana namtumikia Mungu kwa ukamilifu kuliko nyie mliooa na kuolewa.
Yesu Kristo hakuoa na aliifanya vema kazi iliyomleta Duniani. Mapadri na Watawa wa kikatoliki hawaoi wala kuolewa na ndo hao mnaowaamini na kuwapelekea migogoro ya ndoa zenu waitatue!
Yawezekana kutooa ndo mpango wa Mungu. Fungueni vichwa vyenu.
 
Umeandika vema, ndoa ni chaguo la mtu, Kila nmoja aamue kadiri aonavyo inafaa.
Mimi binafsi siwezi kuoa eti kisa namuona fulani anafurahia ndoa yake, kumbuka Haji Manara na wakeze walivyotuigizia hiyo furaha ya ndoa lkn mwisho wa siku maigizo yamewashinda na kila mmoja anamshukuru Mungu kumtoa jehanamu!
Dr. Mwaka na Queen wametuigizia sn pia ila mwisho wa siku tumeona kilichojiri so hata hiyo mifano ya ndugu zako haiwezi kuwa kishawishi tosha cha kukufanya uingie ndoani maana wengi wanatembea na maumivu na makovu ya ndoa moyoni japo kwa nje wanatabasamu!
#NDOANIUBATILI #KATAANDOA
Good na hyo ndo choice yako. Usioe kama hutaki. As for me sijaingia kwenye ndoa kisa nilichoona kwa ndugu zangu, nimeingia kwenye ndoa kwa sababu muda sahihi umefika na pia ni mapenzi ya Mungu yaliyoamua. So I cant judge your choice, have peace with mine. Tuache kufanya hizi convincing na maandamano ya kimtandao yasiyo na tija. Kila mtu anao uwezo wa kimaamuzi. Aamue atakaloona linafaa. Period!!
 
Naona unatukana tu, point yako iko wapi!? Kama una stress za ndoa uzi huu uangalie tu, haukufai. Walengwa ni wanaofikiria kuoa si nyie mnaohangaika na ndoa zenu.
Hiko ulichokiandika wewe hapo awali ni matusi zaidi hebu niambie juu ya Baba ako na nduguze wengine walio oa,ukiona mtoto wa kiume hataki kuoa basi yu mbioni kuolewa
 
Simpigii promo mtu yeyote kuoa ama kutokuoa. Mwisho wa siku si mimi niliemuumba au kumpa pesa za kuendesha maisha yake. Am just thinking out loud hapa;

Katika ndoa kumi ndani ya ukoo wetu, ni moja tu ndio iliovunjika kwa makosa ya wote wawili. Katika ndoa hizo tisa zilizobaki, pamoja na tofauti za hapa na pale nimeona baraka za Mungu zikiwemo namna watu wamefanikiwa kufanya miradi mikubwa, kumiliki mali kadhaa hata kama si nyingi, baraka za watoto wanaojielewa au wanaojitambua.

Sijawahi kuona vikao vya usuluhishi ama magomvi ndani ya ukoo namna ambavyo wanaume wanajielewa na kuna amani tele. Bila kusahau ushirikiano baina ya ndugu kwa kiasi chake huku kila mmoja akijitahidi kusimama katika majukumu yake.

So mimi nilichokiona kwenye ukoo kimeniconvince Ndoa is not as bad as its depicted here. Anyways kila mtu anayo choice anaweza fanya. Kama hutaki ndoa then dont maana haina msaada kwako. Kama unataka then go ahead maana ni maamuzi yako pia. Ifike mahali haya mabishano yaishe. Tuendelee na mambo mengine.
Ndoa ni nzuri kwa mwanamke , ila kwa kipindi hiki kwa mwanaume ndoa haina faida yoyote , yani hakuna mwanaume ananufaika na ndoa , Ronaldo ana mke ila hana ndoa , akifunga ndoa saiv itakua na faida kwa nan zaidi kutakapotokea changamoto?
 
Siyo bure Shetani yumo nyuma ya hili jambo, unatumiwa kwa kujua au bila ya kujua,
Ndoa ni mpango wa Mungu aliye hai, katika familia tunajifunza jinsi ya kumtumikia na kumpenda Mungu, taifa lolote linaanzia ngazi ya familia, sasa unaposhawishi watu wakatae ndoa si bure kuna unayemtumikia wewe.
Kama ni mpango wa Mungu mwache Mungu atete hyo taasisi yake inayovuruga akili ya mwanaume wakishashindwana na mke wake .
 
Kwa umri wangu huu (nimekula chumvi kiasi) nimeona na kujifunza mengi kuhusu mahusiano ya kimapenzi na ndoa. Nimeshuhudia vijana wengi waliokimbilia maisha ya ndoa wakipoteza muelekeo wa maisha muda mfupi tu baada ya kuianza hiyo safari ya ndoa!

Kutokana na mikasa na vitimbwi vya wanandoa wengi nilijipa muda wa kufanya utafiti mdogo usio rasmi kuhusu maisha ya ndoa na mwisho wa siku nikaibuka na majibu haya;-
1. Ndoa ni gereza la kiroho, kimwili na kiuchumi kwa mwanaume (ndomana inaitwa pingu za maisha)

2. Ndoa ni mtego wa wanawake kuwatawala wanaume.

3. Ndoa ni chanzo cha magonjwa mengi kwa wanandoa hasa wanaume yanayopelekea vifo vyao (tuna mifano mingi ya wanaume waliopoteza maisha au kupata magonjwa mazito muda mfupi baada ya kuoa)

Kutokana na utafiti wangu huo usio rasmi nimeona niwashauri vijana wenzangu na wanaume kwa ujumla, Hakuna maisha ya furaha na amani ndani ya ndoa kama mnavyohubiriwa.

Ukitaka furaha tafuta pesa ujipe furaha mwenyewe (ukiwa na pesa utapata kila utakacho ikiwa ni pamoja na huduma zipatikanazo ndani ya ndoa)

Achaneni na upuuzi wa ndoa, yaani umtolee mahari, umtunze, uwatunze watoto, umlinde asikusaliti, umridhishe kitandani na bado mkiachana abebe mali zako?

Wabobevu mniambie ndoa ina faida gani kwa mwanaume? Je ni ngono tu au kuna kipi special?
#KATAANDOA

Zaidi ya watoto hakuna kipya ndani ya ndoa trust me nilishwahi kuoa,sasa nipo singo naenjoy.
 
Unajua nyie mliooa ni watu wa ajabu sana haya n kipi kipo kwenye ndoa ambacho nikitaka ntakikosa? jibu honestly na usilete mihemko..
Atakujibu basi!!!? Hao watu wana stress na wanaumia sana kuona kilichowakimbizia kwenye ndoa tunakipata kirahisi sana huku mtaani na bado tuna uhuru wetu.
Mpaka sasa hakuna mwanandoa aliyekuja na madini ya kutushawishi tuingie kwenye hiyo taasisi yao ya kipuuzi.
 
Atakujibu basi!!!? Hao watu wana stress na wanaumia sana kuona kilichowakimbizia kwenye ndoa tunakipata kirahisi sana huku mtaani na bado tuna uhuru wetu.
Mpaka sasa hakuna mwanandoa aliyekuja na madini ya kutushawishi tuingie kwenye hiyo taasisi yao ya kipuuzi.

nani aliekwambia tuna stress mkuu, ukiona mtu ana stress ujue kaoa kwa kigezo cha tako na sura au kaoa mwanamke ili amtombe tu
 
Simpigii promo mtu yeyote kuoa ama kutokuoa. Mwisho wa siku si mimi niliemuumba au kumpa pesa za kuendesha maisha yake. Am just thinking out loud hapa;

Katika ndoa kumi ndani ya ukoo wetu, ni moja tu ndio iliovunjika kwa makosa ya wote wawili. Katika ndoa hizo tisa zilizobaki, pamoja na tofauti za hapa na pale nimeona baraka za Mungu zikiwemo namna watu wamefanikiwa kufanya miradi mikubwa, kumiliki mali kadhaa hata kama si nyingi, baraka za watoto wanaojielewa au wanaojitambua.

Sijawahi kuona vikao vya usuluhishi ama magomvi ndani ya ukoo namna ambavyo wanaume wanajielewa na kuna amani tele. Bila kusahau ushirikiano baina ya ndugu kwa kiasi chake huku kila mmoja akijitahidi kusimama katika majukumu yake.

So mimi nilichokiona kwenye ukoo kimeniconvince Ndoa is not as bad as its depicted here. Anyways kila mtu anayo choice anaweza fanya. Kama hutaki ndoa then dont maana haina msaada kwako. Kama unataka then go ahead maana ni maamuzi yako pia. Ifike mahali haya mabishano yaishe. Tuendelee na mambo mengine.
Inawezekana ukoo wenu una nasaba nzuri..Ila huku kudumu kweny ndoa napo pia nasaba ya watu fulani inachangia ndo maana ni vizuri kuchunguza nasaba ya mwenza kabla ya kuoa

Kuna koo kama Zina laana hawakai ng'o kweny ndoa
 
Natamani kuandika sana kwenye hili!

MFUMO wa kidunia wa kutaka Mamlaka ya kiume yashuke I'll changamoto za kimahusiano ziwe nyingi watu wasioane na KUWA na familia na hata kama familia iwepo isiyo stable unafanikiwa kwa kasi Sana!!

Ndoa imeshambuliwa na mifumo ya kisheria ambayo inaegemea UPANDE wa kikristo ambao sio UKRISTO HALISI bali Bandia!!

Wakati wanawake wanaota mapesa na MAJUMBA TOKA kwa wanaume wanaowaoa wanaume tunahofu na hatma ya ndoa mwanamke anaposhiba baada ya malengo yake kukamilika,ikumbukwe uchumi ndio KIMBILIO la wanawake WENGI kwenye NDOA ili watatue kero zao upendo pekee sio SABABU ya mwanamke kuolewa bali uwezo wa Mwanamme kipesa na kazi!

Sasa je kama huyu mwanamke akiridhika na matunda ya ndoa yake atatulia aongozwe au atataka kujiongoza awe Huru pia kuamua Maisha yake!!?

Haya yanayotokea kwenye ndoa nyingi yanatupa picha mbaya hasa wanaume na ku retreaty kwenye maamuzi ya ajabu ajabu kama haya Eti kataa NDOA!!

Viongozi wa Dini,serikali washiriki kutatua matatizo ya kimfumo katika ndoa ili kunasua Huu mkwamo wa kihisia na kifamilia uliopo! kuendelea kukaa kimya ni kuharibu TAIFA!

Mungu ibariki TANZANIA!!
 
Ushauri kutoka kwa FAILURE! Watu wapo ndani ya ndoa miaka mingi wamemtanguliza Mungu, Wanaishi kwa amani na upendo na wanazikabili changamoto mbalimbali vyema, Wewe leo unawausia vijana waendelee kuishi uzinzi ili wakifa waende motoni?? Shetani shindwa!
 
Back
Top Bottom