Kwan hayo mambo mengne na watoto na kupata huduma za jamaii na uchumi lazima ufunge ndoa ili uyapate?Huo uchumi bila mambo mengine kama watoto na kupata huduma mbalimbali za kijamii una kazi gani
Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
Haki sawa imekuvuruga ,kiasili unafahamu baba anawapenda watoto wake wa kike kuliko wakiume ? Hakuna mtu anavita na nyie tunachopinga ni haki sawa imewapa nafasi msiheshimike tena kama zamani , mfumo dume uliwalinda mno.Actually wanawake ndio tunatakiwa tuonewe huruma kwa kuwa na wanaume design yenu
Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
Endelea kujipa moyo ni swala la muda tu ila hamtobaki salama.Huna unalojua mkuu bora unyamaze maana alikuwa anasema mwenyewe kabisa hawezi kuwahi kurudi nyumbani hata iweje, yani hata siku akiwa hayuko busy atapita hata bar anywe na marafiki zake hadi usiku mnene ndipo arudi na hata apigiwe simu mtoto anaumwa atamuambia mama amuwahishe hospitali yeye ataenda kumuona muda anaotaka msimpangie, uzuri hata yeye anajua alichokifanya ndio maana anajutia angejiona yuko sahihi asingejuta
Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
Sikiliza moyo na nafsi yako ila pia tunajifunza mengi sana kupitia wale waliopita ktk njia hiyo hivyo usipuuze wasemacho... fanya utafiti na fanya maamuzi sahihi baada ya critical thinking...Saw uko sahih mzee sisi bado hatuna maamuz ila
Kugusa gusa mademu weng kuna maliza pesa mno nabaki dilema tutaoa tu tutakua makini na tutakao funga nao pingu za maisha
Umemezeshwa sumu na bimkubwa wakoHuna unalojua mkuu bora unyamaze maana alikuwa anasema mwenyewe kabisa hawezi kuwahi kurudi nyumbani hata iweje, yani hata siku akiwa hayuko busy atapita hata bar anywe na marafiki zake hadi usiku mnene ndipo arudi na hata apigiwe simu mtoto anaumwa atamuambia mama amuwahishe hospitali yeye ataenda kumuona muda anaotaka msimpangie, uzuri hata yeye anajua alichokifanya ndio maana anajutia angejiona yuko sahihi asingejuta
Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
Mkuu hii kitu ndoa bora uachane nayo , kuna tofauti ya kuoa na kufunga ndoa , mwanaume na mwanamke wamekuwa maadui kwa sababu ya ndoa na sio kuoana.Na ili mwanamke ajitunze lazima na mwanaume naye ajitunze, sababu mnapotongoza watoto wa watu na kuwatoa hizo bikira bila ndoa msitegemee mkifika umri wa kuoa mtaumbiwa wengine wenye bikira bali mtawakuta hao hao mliosaidiana kuwachezea, huwezi kuelewa hili zaidi sana utaishia kuniambia eti mwanamke ndio anatakiwa ajitunze wakati huku ninyi ndio mnawatongoza
Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
Kwa nini asiweze kujitunza ata kama tunawatongoza?Na ili mwanamke ajitunze lazima na mwanaume naye ajitunze, sababu mnapotongoza watoto wa watu na kuwatoa hizo bikira bila ndoa msitegemee mkifika umri wa kuoa mtaumbiwa wengine wenye bikira bali mtawakuta hao hao mliosaidiana kuwachezea, huwezi kuelewa hili zaidi sana utaishia kuniambia eti mwanamke ndio anatakiwa ajitunze wakati huku ninyi ndio mnawatongoza
Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
Ukiwa unakula mke wa mtu akikisha una mafuta kabisa maana ikifika zamu yako ya kuliwa na wewe usipate tabuNa tutamla mkeo.
😂😂😂😂 unajua kwasababu nimekuambia hivyo. Kwasababu umemtumia kama mfano wa dhihaka katika mitandao ya kijamii. Wewe huoni shida, ila haujui kuwa umemdhihaki mtandaoni😂😂😂. 😂😂 pesa dah! Bado hujajua wazee hutaka nini uzeeni mwao, Dada yangu, acha tu. Hamna shida nakuacha. Ila emotional thinking clouds judgement very much. Haya naacha sista.Mkuu kwani shida iko wapi pesa si tunamtumia, wala hatumchukii tunampenda kama baba yetu tu, ila kama ulivyosema anything extra let it be extra au siyo mkuu
Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
Ukitoa uchumi wanaume ana ku offer y chromosomes kwa sababu x chromosome ata mwanaume anayo.Hoja ni kwamba hayo yote hayapatikani bila kuwa na mwanamke, nawapinga hao wanaosema ukitoa sex mwanamke hana cha kuoffer japo sex pia kwenu mmeifanya ya muhimu na hamuwezi kuishi bila hiyo, kuzaa watoto na kufanya majukumu ya nyumbani ambayo ninyi mnasingizia hamna muda wa kuyafanya yote hayo mwanamke anaoffer whether kwa ndoa au bila ndoa haya niambie mwanaume anaoffer nini kingine kwa mwanamke ukiacha pesa (ambazo nazo siku hizi wanawake wengi tu wanajua kuzitafuta)
Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
Kumsaliti kivip mkuu , mwanaume anaweza kumsaliti mke wake tu kwa kumlaza na njaa na kutompa chakula au kumpiga bila sababu za msingi.Mkuu wewe kumsaliti mkeo na kumrudia nyumbani usiku wa manane huku umelewa mara kwa mara na kutaka mwanamke avumilie ndio maana ya ndoa siyo
Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
Mnatumia nguvu sana kupinga ndoa, wewe kama umeaumua kutoa oa wewe kaa hivyo hivyoKwa umri wangu huu (nimekula chumvi kiasi) nimeona na kujifunza mengi kuhusu mahusiano ya kimapenzi na ndoa. Nimeshuhudia vijana wengi waliokimbilia maisha ya ndoa wakipoteza muelekeo wa maisha muda mfupi tu baada ya kuianza hiyo safari ya ndoa!
Kutokana na mikasa na vitimbwi vya wanandoa wengi nilijipa muda wa kufanya utafiti mdogo usio rasmi kuhusu maisha ya ndoa na mwisho wa siku nikaibuka na majibu haya;-
1. Ndoa ni gereza la kiroho, kimwili na kiuchumi kwa mwanaume (ndomana inaitwa pingu za maisha)
2. Ndoa ni mtego wa wanawake kuwatawala wanaume.
3. Ndoa ni chanzo cha magonjwa mengi kwa wanandoa hasa wanaume yanayopelekea vifo vyao (tuna mifano mingi ya wanaume waliopoteza maisha au kupata magonjwa mazito muda mfupi baada ya kuoa)
Kutokana na utafiti wangu huo usio rasmi nimeona niwashauri vijana wenzangu na wanaume kwa ujumla, Hakuna maisha ya furaha na amani ndani ya ndoa kama mnavyohubiriwa.
Ukitaka furaha tafuta pesa ujipe furaha mwenyewe (ukiwa na pesa utapata kila utakacho ikiwa ni pamoja na huduma zipatikanazo ndani ya ndoa)
Achaneni na upuuzi wa ndoa, yaani umtolee mahari, umtunze, uwatunze watoto, umlinde asikusaliti, umridhishe kitandani na bado mkiachana abebe mali zako?
Wabobevu mniambie ndoa ina faida gani kwa mwanaume? Je ni ngono tu au kuna kipi special?
#KATAANDOA
Ungejibu hili swali ungepata majibu yako yote , mda mwingne nakuuliza swali ili nikujibu swali lako kutokana na jibu lakoSi unaona sasa ndio yale yale niliyosema utakuja kuniambia, na kwanini muwatongoze kama mnataka wajitunze, mkiwatongoza maana yake hamtaki wajitunze hivyo msilalamike maana what goes around comes around
Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
Unawasaidia kufanya nini hasa?Kuwasaidia vijana
Sijifariji bali huo ndio ukweli wenyewe nenda kasome amri za Mungu then jiulize kwanini amri ya kuwaheshimu wazazi ni ya nne. Najua huwezi kuelewa ha hutokuja kuelewa ila ni swala mda tu hamtabaki salama.Hayo ni maneno yenu tu ya kujifariji sisi tunamtumia pesa na mambo yetu ndio kwanza yanazidi kutunyookea, kumbukeni muumba siyo wa wanaume tu bali ni wa wote na ameruhusu sheria ya karma ijiendeshe yenyewe, wewe ishi vizuri na mkeo na watoto wako uone kama watakuacha uzeeni ila ukijifanya wewe ndiyo kidume kichwa cha familia hakuna wa kukupangia karma itafanya kazi yake na uzeeni usije kutafuta mchawi nani
Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
Msimtenge baba, kuna mengi sana huenda hamyajui kati yenu, mama na baba yenu na hasa kati ya baba na mama yenu.Mzee wangu naye alikuwa kama wewe hivyo hivyo, bahati nzuri hakuna aliyewahi kumuuliza wala kumshauri chochote si mama wala sisi watoto wake, cha ajabu sasa hivi analalamika eti mkewe na watoto tumemtenga ndicho anachonishangaza
Kuoa tuna oa ila ndoa ndio watazisikia kwa gara b akizirembesha na harusiUnawasaidia kufanya nini hasa?
Kuoa au kuolewa nadhani ni swala binafsi sana, halihitaji mtu kuja kukushawishi au kukuhimiza uoe au usioe.
Wewe umeleta wazo lako ukiwa na malengo gani kwa ambao hawajaoa au kuoelwa?
Na ni kweli bila sex mwanamke wa nini sasa alafu mara nyingi watoto ni wamama.Sasa kama mnalijua hilo mbona ninyi mnasema mwanamke hana cha kuoffer zaidi ya sex kana kwamba hao watoto huwa mnawazaa wenyewe tu
Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
Kwamba mnaogopa makaratasi, ila mnataka "sogea tuishi"?Kuoa tuna oa ila ndoa ndio watazisikia kwa gara b akizirembesha na harusi