Kama una mpango wa kuoa, jifunze hapa

Kama una mpango wa kuoa, jifunze hapa

Familia yenye cheti cha ndoa ndio inapendeza zaidi. Hata kama baba akitangulia mbele ya haki familia bado itaishi kwa raha.
 
Nimejibu ulichoouliza . Ww umeuliza faida ya Cheti kwenye familia, na sio faida za ndoa. Faida za ndoa zipo nyingi kwa wenye akili kuliko mapungufu ya ubinadamu.
Faida za ndoa ni zipi hizo ambazo asiye na ndoa anazikosa!? Ukimaliza tuje kwenye hasara za waliooa na wasiooa.
 
Back
Top Bottom