ozone layer
JF-Expert Member
- Oct 27, 2021
- 471
- 1,935
Soko la kenya lipo vizuri, wana viwanda vinahitaj mbuz za Tanzania ili wachinje wauze nje, changamoto iliyopo wakenya hawapend watanzania waifikie hiyo fursa,, ukienda kwao watakufanyia vitimbwi ikiwemo kukupokonya hela au watakulipa vzr awam ya kwanza, ya pili ya tatu na kuendelea boss anakutapeli mzigo anapoteaKuna wakenya nawaonaga wananunua mbuzi kwenye masoko hapa Arusha na wananunuaga Bei ghali sana. kiasi wakiwa sokoni wabongo husubiri mpaka wamalize kununua.je Kuna yeyote humu kwenye ufaham na solo la kenya?
I swear you won't regret!nilipitia pia kuuliza baadhi ya watu wanaopeleka mzigo wanawasifu jamaa sana wanasema hawana longolongo kuna mmoja alinambia yeye amepeleka last week mbuzi 15 akalipwa fastaa!hvyo fursa ni hyoo!!Bado Kondoa nilienda ntawapa mrejesho pia!
I think next week ntaenda inshallah!!!
Tupe mrejeshoWakuu jumapili nakwenda kondoa ntawapa mrejesho
Wabongo shida iko hapo hatak mwenzake nae afanikiwe yaan anataka akuone hapo ukiteseka toWatu wanatoa ushauri mzuri ukimfata pm mtu hajibu unamtumia namba basi akutafute upate maarifa napo mtu anabana.Kwa style hii hatufiki popote.
MkuuKaribu sana mkuu. Ni katika kutoa nasi tunapokea. Binafsi mawazo ya watu yamenisaidia sana kufika sehemu nilipo kwa sasa.
Watu wanatoa ushauri mzuri ukimfata pm mtu hajibu unamtumia namba basi akutafute upate maarifa napo mtu anabana.Kwa style hii hatufiki popote.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Simple, kama huwaamini unachukua mbuzi wako unaenda kupambana na madalali Vingunguti [emoji28] ndio ukaone vibweka sasa kama hujarudi mbio mbio hapo kiwandani!
Msomali ni janga ktk mbuzi ACHA kabisa Kuna mtu linnua mbuzi wa 35m akaja kupata faida 1.2m jus imagine!!!wakati hapo ukienda pugu mbuzi wa 10m kipindi ambacho sio Cha msimuWahakiki wa mizani ni wa muhimu sana kwenye biashara hii, kuna mizani ilikuwa inakata nusu kilo (1/2) kwa kila mbuzi
Wahuni sana kuweni makini.
Nguruwe kuruka hapana mkuu,Hivi hao mbuzi au nguruwe hawawezi ruka kutoka kwenye gari wakakimbia eh??
Sorry mkuu, naweza kupata mawasiliano yko, nijue kuhusu hii biashara ya mbuzi Kwa sasaMsomali ni janga ktk mbuzi ACHA kabisa Kuna mtu linnua mbuzi wa 35m akaja kupata faida 1.2m jus imagine!!!wakati hapo ukienda pugu mbuzi wa 10m kipindi ambacho sio Cha msimu