AiSee nmegundua Kitu kwako baada ya uzi hapo juuu nmekuwa nikifatilia comment zako Na kugundua tayal usha fanya kitu juu ya uzi
Kuna sehem ulionesha tayal upo mnadan ukitafuta mbuzi
Na Tayal ushafaham msumu gan mzur wa kuchukua mbuzi
Na Mpaka sas una toa oda za mbuzi
Hakika umejitahd sana hongera kwa kuthubutu na hatua ulio Fikia naamin wewe n mwalimu mzur kweny hii field [emoji1376][emoji1376][emoji1376][emoji1376]
Ahsante mdogo mdogo tu kwa Sasa biashara Ina changamoto sio rahisi kihivyo yapaswa ujikatili sio kidogo brohh..
Km mtumishi wa serikali hutaweza kabisaa yaani kukata mtaji ni dkk sifuri tu nowdays (waliofanya miaka 2 nyuma wameinjoi Sana )
Kwanza mbuzi hakuna sio wengi Kama mwanzoni,mkikutana matajiri wengi ndo shida mbuzi zinapandaga balaa tupu.
Kwa wanaopeleka kwa msomali huko ndo majanga[emoji4][emoji16],wapo wanaofanikiwa Ila kukata Pesa nako kawaida tu,au kurudisha Pesa yako,faida pia ipo lakini kwa msomali wapo wanaopata pia.
Shida ya msomali Yule wa mwanzo na wasasa naona tofauti wa Sasa msanii Sana,wengi wamehama au wameacha maana wamekata Pesa,unless uwe Nawewe mjanja mjanja au mtata Kama wao.
Wengi walio kwa msomali ni wale wa muda mrefu ameanza nao kazi anawapa mpk 100m per month wananuna then wanamuuzia..
Bei za mbuziii kwa Sasa sio za zamani ukija huku usitarajie faida ya elf15 au elf10 per head,iwe tu bahati yako,kwa Sasa faida ya elf2,3 mpk tano is normal yaani..
Ukija huku pia minada uitoee maana waeza enda mnadani ukarudi na mbuzi wawili au watano au Mmoja[emoji4][emoji4][emoji4][emoji16] it depends na soko lako.
Mimi niliingia kwa lengo kuuza kwa msomali lakini wadau baadhi wakanambia niende Pugu so napeleka Pugu ingawa Pugu nako Kuna changamoto Ila at least kuliko kwa Msomali.
Shida ya msomali Bei zake hazieleweki afu Ana divide and rule ,Bei Ina weza kua 7700 kwa wale wanyonge afu wale malijendi 8000 au 8300 (wale anaowapa Pesa zake yaani)
So Kama Kuna anaetaka kuingia achoose wisely,then before sijasahau Kuna mhindi pia anachinja hapa Dom pia.
Ni hayo tu akili kichwani meako