Mkuu ninapenda kukupongeza sana na nimependa sana spirit yako!! Tangu huu mjadala umeanzishwa nimekuwa nikiufuatilia na nimeona una nia dhabiti na umeenda physically kiwandani na Ukaenda Kondoa pia, Big up!!! Nilichogundua watu wengi hasa wanaume hap JF ni lele mama wanapenda kutafuniwa hadi kumezeshwa imagine mchongo wameshapewa wanaingia kwenye simu zao na kuomba simu, hawa ndio hufuga na kulima kwa simu wakiwa kitandani (watoto wa mama, vijana walaini na nyororo, vijana wa kushinda mlimani city).
Njoo inbox tupange namna ya kushirikiana.