Sasa mkuu kutunga nyimbo ndo biashara ya graduates et.
Ni wazo la biashara creative ambayo msomi inaweza mpatia kipato kizuri.. maana mwenye elimu ni anajua vingi. Na kuandika mashairi shuleni inafundishwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mkuu kutunga nyimbo ndo biashara ya graduates et.
Kabsa mkuu sio kwa bongo hii[emoji23][emoji23][emoji23]
Na uko serious kabisa bro? Anyway labda anayekulimia na kusimamia ni malaika Gabriel.
nakataaBiashara zenye profit za kudumu mpaka wajukuu zinahitaji muda na utulivu tatizo sisi muda umeshafanyiwa figisu za kisiasa haupo, muda uliopo ni mdogo kama masaa sita hivyo Kila mtu inabidi afanye biashara za uchuuzi Ili kupata mauzo ya kipindi kifupi, imagine masaa sita unaweza kusuka blender, mashine yoyote ya kurahisisha kazi na ikaisha kitu ambacho hakiwezekani ndo maana hizo biashara zenye productin zinafanyika na watu wa nje ambao kwao mchana na usiku siyo kikwazo kwao na muda unalindwa sana na Kila mtu.
We nae Mpesa nayo ni biashara ya kumshauri mtu kufanya? Any way inawezekana wewe unafanya na unapiga mkwanja mrefu ebu twambie wewe unaingiza kias gan kwenye M-PESA ili nasi to be motivated.Mambo yale yale kila mtu anawaza BIASHARA nyepes always...lkn nawambia for long term profit invest in agriculture or money systems...eg m pesa though u must choose good location.
Chukua vijana hasa hasa graduates. Wape kila mtu milion 10 then waambie wafanye business ..utashangaa kilaa mtu anafungua stationary,duka la simu,nguo na utopolo mwngi..then after 6 months kila mtu chali.
TUNAWAZA BUSINESS NYEPES MUNOO ....ambazo kwa sku hata kulaza faida ya 20k ni mtiti...
Biashara kichaa hii. Real estate sio biashara ya kujibana kwa hela za jasho, ni biashara ya kuwekeza hela ambazo hukutarajia na hukuwa na plan nazo. Mfano mafisadi, wauza madini wakiotea, ukishinda tuzo, au ukiwa na biashara inalipa sana kwa mfumuko lakini unajua kuna siku itaanguka.Vipi ukajibana na kujidunduliza kisha uwekeze kwenye real estates wakuu hapa simanishi kuwa na malls au apartments lahasha.
Hapa namanisha unatafuta plots hata tatu kando kidogo ya mji unajenga nyumba au vyumba viwili, choo na sebule jitahidi kila mmoja ajitegemea umeme na maji pia fensi ya ukuta kwajili ya ulinzi.
Nawasilisha.
Wewe unaamini degree inaandika mashairi. Kile ni kipaji sio elimu, hakuna vyuo cha kufundisha kipaji bali cha kuinua vipaji. Mtu amegraduate na gamba la Logistics unamwambia aandike mashairi ya kina Kondeboy yale ya nataka kutooo...totoo... unahisi kuna elimu inamuelekeza ukoWabongo tunapenda sana uchuuzi..
Yaani kuuza mikoba sijui nguo. Hizo biashara za kika mtu..
Graduate unatakiwa ufanye biashara za kibabe. Yaani hata ukifa wateja wakumiss..
Mfano kuandika mashairi ya wimbo wa bongofleva ni kazi rahisi sana kuliko kufanya mtihani wa kiswahili wa form 4 ama wa form 6.
Why graduates usianzishe biashara ya kutunga nyimbo na kuwauzia wasanii.. kina ruby na nandy hawawezi kukunyima hela kama unaandika nyimbo nzuri wao wanaimba tu..
Ama unacheza na youtube. Content za kufa mtu.. mtaji wako camera tu.. maana mama samia ameshafuta tozo za leseni... yaani millard form 4 failure anaweza.. wewe graduates huwezi buni content za kukupa jina na pesa youtube kweli?
Umelima kwa simu? Mara mwezi wa 9 unaenda kuvuna hukuti shamba lenyewe[emoji848]Level MUST tunaanzia small scale kwa target [emoji457][emoji457][emoji457] wakuu mm nmelima vitunguu swaumu kwa SIMU ntawapa mrejesho though natumiwa FOTO ya kila stage navuna wa 9.. INSHALLAH
Time will tell and that's the meaning of the words RISK TAKERUmelima kwa simu? Mara mwezi wa 9 unaenda kuvuna hukuti shamba lenyewe[emoji848]
Nami nimeshangaa...VP forex ambayo mtu anaanza na $5 January,December anakuwa na $ 50000
Nilishawahi kunusurika kufa kwa presha Ruaha Mbuyuni baada ya kukuta shamba ninalojua tumelima likiwa vichaka tupu huku kwenye simu kuna ekari 5 za vitunguu.Isije kuwa photos zinapigwa kwenye shamba la mtu mwingine[emoji23][emoji23][emoji23]
BIG IQBiashara kichaa hii. Real estate sio biashara ya kujibana kwa hela za jasho, ni biashara ya kuwekeza hela ambazo hukutarajia na hukuwa na plan nazo. Mfano mafisadi, wauza madini wakiotea, ukishinda tuzo, au ukiwa na biashara inalipa sana kwa mfumuko lakini unajua kuna siku itaanguka.
Huwezi hangaika na mishahara kisa ukafanya real estate
Aliyekwambia stationery ni business nyepesi amekudanganya! Mm nafanya biashara ya stationery toka nimeanza haijavuka hata miaka miwili, kwa Sasa napata faida ya 300,000/= kwa mwezi, ambayo naigawa sehemu3.Mambo yale yale kila mtu anawaza BIASHARA nyepes always...lkn nawambia for long term profit invest in agriculture or money systems...eg m pesa though u must choose good location.
Chukua vijana hasa hasa graduates. Wape kila mtu milion 10 then waambie wafanye business ..utashangaa kilaa mtu anafungua stationary,duka la simu,nguo na utopolo mwngi..then after 6 months kila mtu chali.
TUNAWAZA BUSINESS NYEPES MUNOO ....ambazo kwa sku hata kulaza faida ya 20k ni mtiti...