mwanaupepo
Member
- Apr 5, 2013
- 98
- 22
Panic attack(jazba..waswahili mtanisaidia)

Hii ni ile hali ya kuingiwa na hofu au uwoga ghafla ingawa kiuhalisia hakuna kitu chochote kibaya kinachotokea au kitacho tokea. Hofu hii inampelekea mtu huyu kupata mfazaiko (anxiety)
Hali hii hua inadalili zifuatazo kwa mgojwa;
kutokwa na jasho (sweating),
pumzi kupungua (shortage of breath),
mapigo ya moyo kwenda mbio,
kuhisi maumivu ndani ya kifua (chocking sensation),
kutetemeka kwa hofu (trembling),
Nazingine nyingi kwa walio wagonjwa wanazo.
Wagojwa wa tatizo hili mara nyingi wanakua waoga hata kujichanganya na kikundi cha watu pamoja kuogopa kabisa kufanya vitu vinavyo weza kupelekea hali yake ikajidhihilisha mbele za watu.
Naa kutokana na ( Anxiety and Depression Association of America),wanasema watu milion sita wanapatwa na tatizo hili kwa mwaka.
Kiuhalisia kuna nyingi, ila zote hizo tunaweza tukaziweka katika makundi manne kama ifuatavyo;
Usitumie dawa(medications) bila maelekezo ya dactari. Pia ifahamike kwamba hii pia inasababishwa na upungufu wa madini ya magnesium pamoja na thiamine(vitamin B1), kwahiyo dietary changes ni kutumia vyakula vyenye madini hayo kwa wingi kama nafaka za bila kukobolewa, mboga za majani,na matunda.
Haishauriwi kutumia aina moja ya tiba, ni vema zaidi ukatumia zaidi ya moja.
WENZETU WANA TATIZO HILI, PIA KUNA WENGINE HAWAFAHAMU KAMA WANA HILI TATIZO, EM TUWASAIDIE WENZETU KWA KUJADILI TATIZO HILI KWA KUONGEZA DALILI ZINGINE,TIBA, PIA HATA CHANZO CHA TATIZO, ILI NAO WAYAFURAHIE MAISHA!

Hii ni ile hali ya kuingiwa na hofu au uwoga ghafla ingawa kiuhalisia hakuna kitu chochote kibaya kinachotokea au kitacho tokea. Hofu hii inampelekea mtu huyu kupata mfazaiko (anxiety)
Hali hii hua inadalili zifuatazo kwa mgojwa;
kutokwa na jasho (sweating),
pumzi kupungua (shortage of breath),
mapigo ya moyo kwenda mbio,
kuhisi maumivu ndani ya kifua (chocking sensation),
kutetemeka kwa hofu (trembling),
Nazingine nyingi kwa walio wagonjwa wanazo.
Wagojwa wa tatizo hili mara nyingi wanakua waoga hata kujichanganya na kikundi cha watu pamoja kuogopa kabisa kufanya vitu vinavyo weza kupelekea hali yake ikajidhihilisha mbele za watu.
Naa kutokana na ( Anxiety and Depression Association of America),wanasema watu milion sita wanapatwa na tatizo hili kwa mwaka.
Kiuhalisia kuna nyingi, ila zote hizo tunaweza tukaziweka katika makundi manne kama ifuatavyo;
- Psychotherapy (ushauri/kisaikolojia)
- Medications (dawa)- Xanax, Valium, Klonopin, and Ativan
- Complementary Treatments-Relaxation Techniques,Exercise,Nutritional Supplements, Dietary Changes
- Lifestyle Changes(kubadili mfumo wa maisha)
Usitumie dawa(medications) bila maelekezo ya dactari. Pia ifahamike kwamba hii pia inasababishwa na upungufu wa madini ya magnesium pamoja na thiamine(vitamin B1), kwahiyo dietary changes ni kutumia vyakula vyenye madini hayo kwa wingi kama nafaka za bila kukobolewa, mboga za majani,na matunda.
Haishauriwi kutumia aina moja ya tiba, ni vema zaidi ukatumia zaidi ya moja.
WENZETU WANA TATIZO HILI, PIA KUNA WENGINE HAWAFAHAMU KAMA WANA HILI TATIZO, EM TUWASAIDIE WENZETU KWA KUJADILI TATIZO HILI KWA KUONGEZA DALILI ZINGINE,TIBA, PIA HATA CHANZO CHA TATIZO, ILI NAO WAYAFURAHIE MAISHA!