Kama una shida ni ngumu sana kupata msaada kwenye kanisa la KKKT kama hawakujui

Kwahiyo wewe unachukia kwasababu mtu kasema msikitini watu wanapata msaada kwa urahisi kuliko kanisani? Kwani hatuna makanisa na msikiti huku mitaani mpaka ukasirike? Nadhani utakua na tatizo la akili
 
Acha uongo wewe hao wapagani ulikutana nao wapi?
 
Paganism ndio dini gani?
 
Ila waislam bwana, naona sijui ndo dini yao

Maeneo ya mjini wakiona jeneza linapita unasikia " ngoja tukapate dhawabu" apo anaunga tela
[emoji1787] Miaka hiyo Nipo Mwanza naona wanapita hao na mwili wao sijui alitokea wapi yule Askari magereza naona nae kajichomeka na uniform zake akakamata mzigo wa katoto kabeba kama hatua 10 hivi akadaka mwingine tena
 
Ila waislam bwana, naona sijui ndo dini yao

Maeneo ya mjini wakiona jeneza linapita unasikia " ngoja tukapate dhawabu" apo anaunga tela
Kwann mtu asiishi maisha ya UHALISIA ?!!!

Life is simple my dear [emoji120]
 
Acha kulichafua kanisa wew unaingia Bila kuwasiliana na mlizi

By the way Huko unako peleka sadaka ndio ungewa endea wakupe sapoti


Mm Ni rc Ila sijapenda unavyo paka matope kanisa
 
Ndo maana europe makanisa hayana watu sitakaa nimsahau yule mlinzi hivi unamfokeaje mtu mwenye shida
Nilijiuliza utu uko wapi

Tokea siku hiyo nikasema sitakaa nikanyage kanisani mpaka sahivi sina dini tena
Sasa wee mlizi asiye kuwa na taaluma yoyote ndio akufanye usiende kanisani mbna una shida binafsi
 
Bas ungetoka pale ungenda Roma Catholic ndio uje kuandika hapa

Otherwise hi Ni rubbish kbsa umeleta hapa
 
Acha makasiriko wewe mvaa rozari, kitimoto ni Haramu na na najisi hata kama unapenda.Ubatili utabaki kuwa ubatili.
 
Ila twende mbele turudi nyuma, ndugu zetu wafilisti wana utu sana, unaweza kupata hifadhi ya kulala msikitini kuliko kanisani na huo ndo ukweli

Nimeshuhudia misikiti mingi watu wanalala asubuhi wanaenda kujitafuta ila sio makanisani
Sasa msikitini kuna nn cha kujisevia??? Hujui kuna makanisa wanatunza vyombo vya gharama vya kusevia madhabahu? Au Umewahi kusikia msikitini kumevunjwa na kuibiwa km ilivyo makanisani?? Je ukiacha watu walale kiholela unaziaminije nia na dhamira zao???
 
Ukristo siyo duni. Ni biashara.

Kuweni Waislam.
 
Kuna point gani ya waumin kutoa sadaka kama mtu hata kanisa linashindwa mpa hata nauli

Ndo maana kutoa michango/sadaka nilishaachana nayo mda sana kwa mambo kama haya
Sadaka sio kwa ajili ya wanaohitaji nauli mkuu.
 
Tasisi za makanisa sio kwa ajili ya kusaidia watu kama watu wanavyo aminishwa heti makani yanatoa huduma kwa jamii bali makanisa yako kibiashara ayajali mtu wala awaangalii suru huna hela hata kama umevaa msalaba tena mlefu shingoni unao fika magotini tena wenye kinyago cha yesu kama huna hela hata uwe unaumwa umekalibia kufa awakuangalii watamuangali muisilamu alie vaa kanzu na hela yake mkononi
 
Kuongezeka kwa uovu upendo wa wengi utapoa. Leo hii unamsaidia mtu kisha anakudhuru. Wengi wanaingia makanisani kuomba msaada ni matapeli. Kuna mmoja alijiita mchungaji kabisa akaomba msaada nikamsaidia nikampa namba za simu akifika huko aendako anijuze tumshukuru Mungu kumbe anapita anakusanya pesa tu kwa wapendwa.

Kuna huyu mwingine akaja anaomba makazi tukampa akawa na chupa fulani kumbe ina pombe siku anaondoka akamuomba mama akusanye gunia za kutosha kipindi kile yalikuwa magunia ya kamba za katani ili amtumie mkaa mpaka leo hii tunasubiria mkaa huo alichosahau ni Biblia yake tu ikabidi mama alipe gunia alizoazima.

Suala la msaada wapi uupate anza na maombi kwanza ili Mungu akuelekeze kwa mtu maalumu wa kukusaidia kwani msaada haupatikani popote tu ni pale Mungu anapokuelekeza so ikiwa ni mcha Mungu ataupata ila ikiwa ni wale wa kula kimasihara itakula kwako hata ukienda msikitini utafukuzwa tu.
 
Acha makasiriko wewe mvaa rozari, kitimoto ni Haramu na na najisi hata kama unapenda.Ubatili utabaki kuwa ubatili.
Wewe unayebinulia makalio wenzio wakati wa kuabudu ndio unishauri kuhusu kitimoto....mbn hukumshauri Mwamedi kuhusu uchi wa mtoto?

....

Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
 
Acha makasiriko wewe mvaa rozari, kitimoto ni Haramu na na najisi hata kama unapenda.Ubatili utabaki kuwa ubatili.
Uharamu ulianza na Marioo Muhammad wa maka
 
Ukihitaji msaada wa kiroho kanisani utaupata,ni upumbavu kwenda kanisani kuomba msaada wa kipesa.

Vipi misikitini mnatoa misaada ya hivi!!nionyeshe msikiti mmoja wa hivi nikuonyeshe waalimu wanaozurula kuomba michango ya kujenga msikiti na madrasa.[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…