Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Matapeli + wauaji wengi hutumia maeneo ya kanisa kufanya nia zao ovu.
Ulisikia yule mtu alimuua padri huko Karatu miezi kadhaa nyuma?
Unataka watumishi/wachungaji wacheke na kila mtu anayekuja kanisani wakiuliwa/kuibiwa nani alaumiwe?
Ulisikia yule mtu alimuua padri huko Karatu miezi kadhaa nyuma?
Unataka watumishi/wachungaji wacheke na kila mtu anayekuja kanisani wakiuliwa/kuibiwa nani alaumiwe?