Naughty by nature
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 2,123
- 2,359
Saint Anno IIWaislam wanasaidiana Sana sisi wakristo ni wanafiki, Kila kitu Hela na visheria kibao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saint Anno IIWaislam wanasaidiana Sana sisi wakristo ni wanafiki, Kila kitu Hela na visheria kibao
Kuwa na adabu kijana na tumia lugha nzuri wote ni binadamu humu hakuna mbuzi.Waambie hawa mbuzi
Easy;Note
Unahaki ya kumnyima mtu msaada sio dhambi au kosa ila usidhalilishe utu wake kama hauna nia au hutaki kumsaidia
Kuna mwaka nilipitia msoto mkali nilikua mitaa ya ITV nikasema ngoja niende kanisa la lutheran lililopo karibu na ITV linaitwa usharika wa Mwenge.
Nikaingia pale ila sikumuona mlinzi nikamuona mmama upande wa kushoto nikamfuata kumbe kule ndo kuna ofisi za mchungaji nikamfuata akaniambia mchungaji.
Tukaongea wewe baada ya mazungumzo to be honest nilikua sina hata mia mfukoni akampigia mlinzi kwa pembeni akaongea nae baada ya muda akaniambia nimfuate mlinzi yaani yule nilimuomba tu nauli nilikua nimebanwa ila hakunisaidia japokua anafanya kazi kwenye ofisi ya mchungaji to be honest ana roho ngumu sana.
Nilipomfuata mlinzi akaanza nifokea nikamuomba samahani kwa kuingia bila kumjulisha eeh bwana akaendelea kunifokea tena kwa sauti nikamwambia hata kama nina shida usidhalilishe utu wangu nikaondoka.
Nilichojifunza ni ngumu sana kupata msaada kwenye kanisa la KKKT kama hawakujui yaani makanisa yao sio nyumba ya Mungu anymore.
Baraka za Mungu zipo katika maeneo madogo madogo na usiyoyatarajia mfano anaweza akaja mtu smart akakuambia hana hela ya kula wewe utambeza na hutampa ila ndo umesakosa baraka za Mungu hivyo
msiktini pia uwe na jina la kiislam mkuu...nakukumbusha tu
Msikitini hakuna kitu cha kuiba mule sana sana labda ung'oe feni au mikeka. Kanisani kuna vitu vya thamani kubwaIla twende mbele turudi nyuma, ndugu zetu wafilisti wana utu sana, unaweza kupata hifadhi ya kulala msikitini kuliko kanisani na huo ndo ukweli
Nimeshuhudia misikiti mingi watu wanalala asubuhi wanaenda kujitafuta ila sio makanisani
Well muislam anamsaidia muislam mwenzake hilo linajulikana wazi ila Mkristo anamsaidia yeyote bila kujali imani yake muhimu sababu za msaada ziwe za msingi kitu ambacho hata Muislam hamsaidii muislam mwenzake kama hana sababu za msingi na akili zenu mmeshazi-set tukienda kuomba msaada kwa asiye mwenzetu hatutasaidiwa so huu utafiti hauwezi kutoa majibu sahihi,nani ameenda kuomba msaada kwa jirani yake mkristo hakusaidiwa?siyo umfuate yeyote tu njiani eti sababu anazo signs za Ukristo umuombe msaada hata wewe na uislam wako unaojiona nao mzuri sana kwa njia hii hutatoa na hutoi msaada.
MImi nasema ima kubatizwa mtoto au mtu mzima hiyo ni kitu minor mno kwenye Imani!You said petty issue lakini nakuwekea andiko hapa uone how petty it is....
Ufunuo wa Yohana 22:18 - 19
Namshuhudia kila mtu ayasikiaye maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mtu ye yote akiyaongeza, Mungu atamwongezea hayo mapigo yaliyoandikwa katika kitabu hiki.
Na mtu ye yote akiondoa lo lote katika maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mungu atamwondolea sehemu yake katika ule mti wa uzima, na katika ule mji mtakatifu, ambao habari zake zimeandikwa katika kitabu hiki.
Halafu soma hili...
Marko 16:16
Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.
HayaMImi nasema ima kubatizwa mtoto au mtu mzima hiyo ni kitu minor mno kwenye Imani!
Pole sana ndugu, Samehe, songa mbele na mshukuru Mungu!Note
Unahaki ya kumnyima mtu msaada sio dhambi au kosa ila usidhalilishe utu wake kama hauna nia au hutaki kumsaidia
Kuna mwaka nilipitia msoto mkali nilikua mitaa ya ITV nikasema ngoja niende kanisa la lutheran lililopo karibu na ITV linaitwa usharika wa Mwenge.
Nikaingia pale ila sikumuona mlinzi nikamuona mmama upande wa kushoto nikamfuata kumbe kule ndo kuna ofisi za mchungaji nikamfuata akaniambia mchungaji.
Tukaongea wewe baada ya mazungumzo to be honest nilikua sina hata mia mfukoni akampigia mlinzi kwa pembeni akaongea nae baada ya muda akaniambia nimfuate mlinzi yaani yule nilimuomba tu nauli nilikua nimebanwa ila hakunisaidia japokua anafanya kazi kwenye ofisi ya mchungaji to be honest ana roho ngumu sana.
Nilipomfuata mlinzi akaanza nifokea nikamuomba samahani kwa kuingia bila kumjulisha eeh bwana akaendelea kunifokea tena kwa sauti nikamwambia hata kama nina shida usidhalilishe utu wangu nikaondoka.
Nilichojifunza ni ngumu sana kupata msaada kwenye kanisa la KKKT kama hawakujui yaani makanisa yao sio nyumba ya Mungu anymore.
Baraka za Mungu zipo katika maeneo madogo madogo na usiyoyatarajia mfano anaweza akaja mtu smart akakuambia hana hela ya kula wewe utambeza na hutampa ila ndo umesakosa baraka za Mungu hivyo
Bahati mbaya sana wapo watakaoamini maneno haya.Nishasaidiwa na waislamu lakini sio wakristo, na hawa KKKT,RC na madhehebu haya makubwa ndio usilogwe kwenda omba msaada.
Msaada ukipata shida heri uonde kwenye vile vikanisa vya mabati mabati wale watakusaidia mpka utashangaa.
Mojawapo ya wajibu wa Muislam kwa muislam mwenzie ni kumzika pale anapofariki. Hivyo unapomuona muislam anashiriki kwenye mazishi ya mtu asiyemjua basi ujue anatimiza wajibu wake kama muislamIla waislam bwana, naona sijui ndo dini yao
Maeneo ya mjini wakiona jeneza linapita unasikia " ngoja tukapate dhawabu" apo anaunga tela
Iko hivi ,sisi binadamu kabla ya kufunzwa chochote cha kidini tunazo nafsi ndani mwetu zenye huruma na zisizokuwa na huruma so kama mtu hana roho ya huruma hata kama akawa ni mchungaji sijui padre sheikh atheist etc ni hawezi kutoa msaada labda kama ana kitu ata-earn kutokana na msaada huo,umaarufu maslahi etc.Tuna kalili maandiko na kanuni za dini zet, lakini hatuna UTU