Kama una shida ni ngumu sana kupata msaada kwenye kanisa la KKKT kama hawakujui

Kama una shida ni ngumu sana kupata msaada kwenye kanisa la KKKT kama hawakujui

Ila waislam bwana, naona sijui ndo dini yao

Maeneo ya mjini wakiona jeneza linapita unasikia " ngoja tukapate dhawabu" apo anaunga tela
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekokoteza kushiriki katika kulisindikiza jeneza na kusema:

“Atayelishuhudia jeneza mpaka likaswaliwa, basi ana Qiraatw. Na yule atayelishuhudia mpaka likazikwa, ana Qiraatw mbili.” Kukasemwa: “Qiraatw mbili ni nini?” Akasema: “Ni mfano wa milima miwili mikubwa.”(YA THAWABU ) al-Bukhaariy (1325) na Muslim (945).
 
Msaada unapatikana kwa wepesi msikitini.

Mimi sio muislam na huwa naponda sana vitu vingi vya uislamu.

Ila kwenye mambo ya utu wa wa waumini wake hapa Tanzania uislamu unaongoza. Kwenye kukusikiliza shida yako na kukusaidia wapo vizuri sana.

Hata kama mgeni ana tatizo akienda msikitini rahisi kusikilizwa na kusaidiwa kuliko akienda kanisani.

Waislam ni wajamaa na wakristo ni mabepari.. hata huduma za kanisani wenye hela wanapata upendeleo kila sehemu

Kanisa halimsikilizi mtu lisiemjua.. hata kumzika tu mkristo mwenzao ishu wanatazama mahudhurio yake na utoaji wake wa sadaka
Unawaongelea hawa hawa ambao taasisi zao wamejaa kina ashura na mwaija tu au waislam wepi? Nenda pale jiite john uone kama utapewa hata mia. Unless kama huyu mwombaji alienda kuomba makanisa yote ya kkkt tanzania ila kwa hilo moja ndo unakuja kufungua uzi hapa una lako jambo
 
Kuna mwaka nilipitia msoto mkali nilikua mitaa ya ITV nikasema ngoja niende kanisa la lutheran lililopo karibu na ITV linaitwa usharika wa Mwenge.

Nikaingia pale ila sikumuona mlinzi nikamuona mmama upande wa kushoto nikamfuata kumbe kule ndo kuna ofisi za mchungaji nikamfuata akaniambia mchungaji.

Tukaongea wewe baada ya mazungumzo to be honest nilikua sina hata mia mfukoni akampigia mlinzi kwa pembeni akaongea nae baada ya muda akaniambia nimfuate mlinzi yaani yule nilimuomba tu nauli nilikua nimebanwa ila hakunisaidia japokua anafanya kazi kwenye ofisi ya mchungaji to be honest ana roho ngumu sana.

Nilipomfuata mlinzi akaanza nifokea nikamuomba samahani kwa kuingia bila kumjulisha eeh bwana akaendelea kunifokea tena kwa sauti nikamwambia hata kama nina shida usidhalilishe utu wangu nikaondoka.

Nilichojifunza ni ngumu sana kupata msaada kwenye kanisa la KKKT kama hawakujui yaani makanisa yao sio nyumba ya Mungu anymore.

Baraka za Mungu zipo katika maeneo madogo madogo na usiyoyatarajia mfano anaweza akaja mtu smart akakuambia hana hela ya kula wewe utambeza na hutampa ila ndo umesakosa baraka za Mungu hivyo
Sasa mjini mbona kuna matapeli wengi sana ukikutana na mmoja atakwambia sina nauli au sina hela ya kula, kumbe hana shughuli yoyote ya maana zaidi ya kulaghai watu.

Umeshawaza kabla yako kuna wangapi wamefanya huo utapeli hapo kanisani? Na hujasema umeongea na nini au huo msoto wako ni wa kivipi? Au unataka ukimwomba mtu yeyote hela basi akupe tu hata kama hajakuamini?

Mimi sio mKKKT lakini umeandika ujinga sana.
 
Ulikwenda kanisa moja, moja tu. Halafu umeandika unajumuisha KKKT kwa ujumla.

Tuache hayo, hujasema maneno uliyoanza nayo ili tujue tatizo ni wewe au wanaKKKT ulowaomba msaada?
 
Sasa mjini mbona kuna matapeli wengi sana ukikutana na mmoja atakwambia sina nauli au sina hela ya kula, kumbe hana shughuli yoyote ya maana zaidi ya kulaghai watu.

Umeshawaza kabla yako kuna wangapi wamefanya huo utapeli hapo kanisani? Na hujasema umeongea na nini au huo msoto wako ni wa kivipi? Au unataka ukimwomba mtu yeyote hela basi akupe tu hata kama hajakuamini?

Mimi sio mKKKT lakini umeandika ujinga sana.
Mtu kuomba msaada una haki ya kumnyima lakin usidhalilishe utu wake hio ndo point yangu

Walikua na haki ya kuninyima lakin sio kudhalilisha utu wangu wao kama taasisi
 
Note
Unahaki ya kumnyima mtu msaada sio dhambi au kosa ila usidhalilishe utu wake kama hauna nia au hutaki kumsaidia


Kuna mwaka nilipitia msoto mkali nilikua mitaa ya ITV nikasema ngoja niende kanisa la lutheran lililopo karibu na ITV linaitwa usharika wa Mwenge.

Nikaingia pale ila sikumuona mlinzi nikamuona mmama upande wa kushoto nikamfuata kumbe kule ndo kuna ofisi za mchungaji nikamfuata akaniambia mchungaji.

Tukaongea wewe baada ya mazungumzo to be honest nilikua sina hata mia mfukoni akampigia mlinzi kwa pembeni akaongea nae baada ya muda akaniambia nimfuate mlinzi yaani yule nilimuomba tu nauli nilikua nimebanwa ila hakunisaidia japokua anafanya kazi kwenye ofisi ya mchungaji to be honest ana roho ngumu sana.

Nilipomfuata mlinzi akaanza nifokea nikamuomba samahani kwa kuingia bila kumjulisha eeh bwana akaendelea kunifokea tena kwa sauti nikamwambia hata kama nina shida usidhalilishe utu wangu nikaondoka.

Nilichojifunza ni ngumu sana kupata msaada kwenye kanisa la KKKT kama hawakujui yaani makanisa yao sio nyumba ya Mungu anymore.

Baraka za Mungu zipo katika maeneo madogo madogo na usiyoyatarajia mfano anaweza akaja mtu smart akakuambia hana hela ya kula wewe utambeza na hutampa ila ndo umesakosa baraka za Mungu hivyo
Sasa huyo mtu wa kugawa hela kwa mtu asiyemjua kisa anafanyakazi kanisani utampata wapi wewe?
Ungeenda siku ya ibada ukawaomba wengi ungebahatisha kwa baadhi.
 
Ndo maana europe makanisa hayana watu sitakaa nimsahau yule mlinzi hivi unamfokeaje mtu mwenye shida
Nilijiuliza utu uko wapi

Tokea siku hiyo nikasema sitakaa nikanyage kanisani mpaka sahivi sina dini tena
Ambacho watu hamjui au sijui mumepigwa upofu ni kuwa hizo mnazoita nyumba za ibada sijui makanisa kwanza ni vitega uchumi vya watu wachache waliovianzisha.

Pili ni miongoni mwa taasisi za serikali. Zinatumika na serikali kuzima madukuduku yenye kuashiria hali yenye kusababisha uvunjifu wa amani. Ndio maana pamoja na mauchafu ya kuonekana wazi kabisa ya hao wanaojiita viongozi wa maeneo ya mnazoita ibada hakuna anaechukuliwa hatua za kisheria.

Tatu ni vichaka vya watu hasa waovu kukimbilia kule na kuficha uovu wao. Wachawi, wauwaji, matapeli, wazinzi nk wamefurika makanisani sio kwamba wanamuomba Mungu na kujutia makosa yao. Ni kwamba wanajisugar coat ili waendelee kuaminika mbele za watu.

Kwa hio ndugu usidanganyike kwamba kanisani ni sehemu salama ya kujijenga kiimani
 
Note
Unahaki ya kumnyima mtu msaada sio dhambi au kosa ila usidhalilishe utu wake kama hauna nia au hutaki kumsaidia


Kuna mwaka nilipitia msoto mkali nilikua mitaa ya ITV nikasema ngoja niende kanisa la lutheran lililopo karibu na ITV linaitwa usharika wa Mwenge.

Nikaingia pale ila sikumuona mlinzi nikamuona mmama upande wa kushoto nikamfuata kumbe kule ndo kuna ofisi za mchungaji nikamfuata akaniambia mchungaji.

Tukaongea wewe baada ya mazungumzo to be honest nilikua sina hata mia mfukoni akampigia mlinzi kwa pembeni akaongea nae baada ya muda akaniambia nimfuate mlinzi yaani yule nilimuomba tu nauli nilikua nimebanwa ila hakunisaidia japokua anafanya kazi kwenye ofisi ya mchungaji to be honest ana roho ngumu sana.

Nilipomfuata mlinzi akaanza nifokea nikamuomba samahani kwa kuingia bila kumjulisha eeh bwana akaendelea kunifokea tena kwa sauti nikamwambia hata kama nina shida usidhalilishe utu wangu nikaondoka.

Nilichojifunza ni ngumu sana kupata msaada kwenye kanisa la KKKT kama hawakujui yaani makanisa yao sio nyumba ya Mungu anymore.

Baraka za Mungu zipo katika maeneo madogo madogo na usiyoyatarajia mfano anaweza akaja mtu smart akakuambia hana hela ya kula wewe utambeza na hutampa ila ndo umesakosa baraka za Mungu hivyo
yaani umekosa msaada stand,hospital,shuleni,vijiwe vya bodaboda,unakwenda kanisani kwamba huwa zipo tu za kugawa!!!

kama huyo mama angeamua kukupa angekupa yeye,hakuna pesa ya kanisa inatoka kizembe hivyo kisa umeenda mdomo umenyauka.

ukiwa unamhukumu mlinzi,mama wa kanisa,na kanisa,na wenyewe wanakuhukumu kwa kuwa na afya nzuri halafu hujajikita kutafuta unaamua kuomba.
 
Msaada unapatikana kwa wepesi msikitini.

Mimi sio muislam na huwa naponda sana vitu vingi vya uislamu.

Ila kwenye mambo ya utu wa wa waumini wake hapa Tanzania uislamu unaongoza. Kwenye kukusikiliza shida yako na kukusaidia wapo vizuri sana.

Hata kama mgeni ana tatizo akienda msikitini rahisi kusikilizwa na kusaidiwa kuliko akienda kanisani.

Waislam ni wajamaa na wakristo ni mabepari.. hata huduma za kanisani wenye hela wanapata upendeleo kila sehemu

Kanisa halimsikilizi mtu lisiemjua.. hata kumzika tu mkristo mwenzao ishu wanatazama mahudhurio yake na utoaji wake wa sadaka


bado hujasema,endelea kujifunza.

siku moja utakuja kusema hapa watu wa dini wote ni wanafiki tu[emoji38][emoji38].
 
yaani umekosa msaada stand,hospital,shuleni,vijiwe vya bodaboda,unakwenda kanisani kwamba huwa zipo tu za kugawa!!!

kama huyo mama angeamua kukupa angekupa yeye,hakuna pesa ya kanisa inatoka kizembe hivyo kisa umeenda mdomo umenyauka.

ukiwa unamhukumu mlinzi,mama wa kanisa,na kanisa,na wenyewe wanakuhukumu kwa kuwa na afya nzuri halafu hujajikita kutafuta unaamua kuomba.
Kuna point gani ya waumin kutoa sadaka kama mtu hata kanisa linashindwa mpa hata nauli

Ndo maana kutoa michango/sadaka nilishaachana nayo mda sana kwa mambo kama haya
 
Note
Unahaki ya kumnyima mtu msaada sio dhambi au kosa ila usidhalilishe utu wake kama hauna nia au hutaki kumsaidia


Kuna mwaka nilipitia msoto mkali nilikua mitaa ya ITV nikasema ngoja niende kanisa la lutheran lililopo karibu na ITV linaitwa usharika wa Mwenge.

Nikaingia pale ila sikumuona mlinzi nikamuona mmama upande wa kushoto nikamfuata kumbe kule ndo kuna ofisi za mchungaji nikamfuata akaniambia mchungaji.

Tukaongea wewe baada ya mazungumzo to be honest nilikua sina hata mia mfukoni akampigia mlinzi kwa pembeni akaongea nae baada ya muda akaniambia nimfuate mlinzi yaani yule nilimuomba tu nauli nilikua nimebanwa ila hakunisaidia japokua anafanya kazi kwenye ofisi ya mchungaji to be honest ana roho ngumu sana.

Nilipomfuata mlinzi akaanza nifokea nikamuomba samahani kwa kuingia bila kumjulisha eeh bwana akaendelea kunifokea tena kwa sauti nikamwambia hata kama nina shida usidhalilishe utu wangu nikaondoka.

Nilichojifunza ni ngumu sana kupata msaada kwenye kanisa la KKKT kama hawakujui yaani makanisa yao sio nyumba ya Mungu anymore.

Baraka za Mungu zipo katika maeneo madogo madogo na usiyoyatarajia mfano anaweza akaja mtu smart akakuambia hana hela ya kula wewe utambeza na hutampa ila ndo umesakosa baraka za Mungu hivyo
Mimi Zanzibar nililalaga msikitini hali ilikua tete sana miaka Ile, nililala nje baadae akaja bwana mmoja akanigusa nega kwa moyo wa Imani na huruma kisha akanipeleka kulala msikitini Kiembe samaki, Asubuhi nilipewa na nauli nikarejea Pemba kujipanga upya.
 
Ilo ni dhehebu

Madhehebu yameenda mbali sana na mungu
Yanajihusisha sana na mambo yasiyoya Mungu
Mpaka atapokuja atawakuta wamelala.
 
Note
Unahaki ya kumnyima mtu msaada sio dhambi au kosa ila usidhalilishe utu wake kama hauna nia au hutaki kumsaidia


Kuna mwaka nilipitia msoto mkali nilikua mitaa ya ITV nikasema ngoja niende kanisa la lutheran lililopo karibu na ITV linaitwa usharika wa Mwenge.

Nikaingia pale ila sikumuona mlinzi nikamuona mmama upande wa kushoto nikamfuata kumbe kule ndo kuna ofisi za mchungaji nikamfuata akaniambia mchungaji.

Tukaongea wewe baada ya mazungumzo to be honest nilikua sina hata mia mfukoni akampigia mlinzi kwa pembeni akaongea nae baada ya muda akaniambia nimfuate mlinzi yaani yule nilimuomba tu nauli nilikua nimebanwa ila hakunisaidia japokua anafanya kazi kwenye ofisi ya mchungaji to be honest ana roho ngumu sana.

Nilipomfuata mlinzi akaanza nifokea nikamuomba samahani kwa kuingia bila kumjulisha eeh bwana akaendelea kunifokea tena kwa sauti nikamwambia hata kama nina shida usidhalilishe utu wangu nikaondoka.

Nilichojifunza ni ngumu sana kupata msaada kwenye kanisa la KKKT kama hawakujui yaani makanisa yao sio nyumba ya Mungu anymore.

Baraka za Mungu zipo katika maeneo madogo madogo na usiyoyatarajia mfano anaweza akaja mtu smart akakuambia hana hela ya kula wewe utambeza na hutampa ila ndo umesakosa baraka za Mungu hivyo
Ungeenda na makanisa mengine ili upate hitimisho vizuri mkuu huwezi kwenda kanisa moja ukahitimisha pengine uliyemkuta ndio rohl yake ilivyo
 
Msaada unapatikana kwa wepesi msikitini.

Mimi sio muislam na huwa naponda sana vitu vingi vya uislamu.

Ila kwenye mambo ya utu wa wa waumini wake hapa Tanzania uislamu unaongoza. Kwenye kukusikiliza shida yako na kukusaidia wapo vizuri sana.

Hata kama mgeni ana tatizo akienda msikitini rahisi kusikilizwa na kusaidiwa kuliko akienda kanisani.

Waislam ni wajamaa na wakristo ni mabepari.. hata huduma za kanisani wenye hela wanapata upendeleo kila sehemu

Kanisa halimsikilizi mtu lisiemjua.. hata kumzika tu mkristo mwenzao ishu wanatazama mahudhurio yake na utoaji wake wa sadaka
🤔🤔🤔🤔🤔
 
Note
Unahaki ya kumnyima mtu msaada sio dhambi au kosa ila usidhalilishe utu wake kama hauna nia au hutaki kumsaidia


Kuna mwaka nilipitia msoto mkali nilikua mitaa ya ITV nikasema ngoja niende kanisa la lutheran lililopo karibu na ITV linaitwa usharika wa Mwenge.

Nikaingia pale ila sikumuona mlinzi nikamuona mmama upande wa kushoto nikamfuata kumbe kule ndo kuna ofisi za mchungaji nikamfuata akaniambia mchungaji.

Tukaongea wewe baada ya mazungumzo to be honest nilikua sina hata mia mfukoni akampigia mlinzi kwa pembeni akaongea nae baada ya muda akaniambia nimfuate mlinzi yaani yule nilimuomba tu nauli nilikua nimebanwa ila hakunisaidia japokua anafanya kazi kwenye ofisi ya mchungaji to be honest ana roho ngumu sana.

Nilipomfuata mlinzi akaanza nifokea nikamuomba samahani kwa kuingia bila kumjulisha eeh bwana akaendelea kunifokea tena kwa sauti nikamwambia hata kama nina shida usidhalilishe utu wangu nikaondoka.

Nilichojifunza ni ngumu sana kupata msaada kwenye kanisa la KKKT kama hawakujui yaani makanisa yao sio nyumba ya Mungu anymore.

Baraka za Mungu zipo katika maeneo madogo madogo na usiyoyatarajia mfano anaweza akaja mtu smart akakuambia hana hela ya kula wewe utambeza na hutampa ila ndo umesakosa baraka za Mungu hivyo
Underneath kuomba msaada unakosali wewe insparamia ti makanisa ya watu wasiokukujua tapeli mkubwa wewe

Kwa nini uombe usikosali ? Ungeombq unakosali hata kama uko mbali simu unayo.ungewapigia wakutumie pesa kwa simu

Acha kuchafua makanisa ya watu tapeli mkubwa wewe
Huna ndugu hata mmoja wa kukusaidia hadi uombe ombe tmakanisani?
 
Note
Unahaki ya kumnyima mtu msaada sio dhambi au kosa ila usidhalilishe utu wake kama hauna nia au hutaki kumsaidia


Kuna mwaka nilipitia msoto mkali nilikua mitaa ya ITV nikasema ngoja niende kanisa la lutheran lililopo karibu na ITV linaitwa usharika wa Mwenge.

Nikaingia pale ila sikumuona mlinzi nikamuona mmama upande wa kushoto nikamfuata kumbe kule ndo kuna ofisi za mchungaji nikamfuata akaniambia mchungaji.

Tukaongea wewe baada ya mazungumzo to be honest nilikua sina hata mia mfukoni akampigia mlinzi kwa pembeni akaongea nae baada ya muda akaniambia nimfuate mlinzi yaani yule nilimuomba tu nauli nilikua nimebanwa ila hakunisaidia japokua anafanya kazi kwenye ofisi ya mchungaji to be honest ana roho ngumu sana.

Nilipomfuata mlinzi akaanza nifokea nikamuomba samahani kwa kuingia bila kumjulisha eeh bwana akaendelea kunifokea tena kwa sauti nikamwambia hata kama nina shida usidhalilishe utu wangu nikaondoka.

Nilichojifunza ni ngumu sana kupata msaada kwenye kanisa la KKKT kama hawakujui yaani makanisa yao sio nyumba ya Mungu anymore.

Baraka za Mungu zipo katika maeneo madogo madogo na usiyoyatarajia mfano anaweza akaja mtu smart akakuambia hana hela ya kula wewe utambeza na hutampa ila ndo umesakosa baraka za Mungu hivyo
Ukishaona kanisa wanabatiza watoto ujue roho ya mpinga kristo imewafunika. Ambapo ni sawa na kanisa ambalo unalipa pesa kupata upako iwe mafuta, maji, keki hata kumuona mtumishi mkuu hapo ni toho ya ibilisi inaendesha huduma.hiyo

Hakuna Mungu hapo ndo maana wapo bize na miradi ya pesa.
 
Msaada unapatikana kwa wepesi msikitini.

Mimi sio muislam na huwa naponda sana vitu vingi vya uislamu.

Ila kwenye mambo ya utu wa wa waumini wake hapa Tanzania uislamu unaongoza. Kwenye kukusikiliza shida yako na kukusaidia wapo vizuri sana.

Hata kama mgeni ana tatizo akienda msikitini rahisi kusikilizwa na kusaidiwa kuliko akienda kanisani.

Waislam ni wajamaa na wakristo ni mabepari.. hata huduma za kanisani wenye hela wanapata upendeleo kila sehemu

Kanisa halimsikilizi mtu lisiemjua.. hata kumzika tu mkristo mwenzao ishu wanatazama mahudhurio yake na utoaji wake wa sadaka
Mnaanza kufunguka akili.

Muda sio mrefu mtaweza kutenganisha maziwa na tui la nazi.
 
Msaada unapatikana kwa wepesi msikitini.

Mimi sio muislam na huwa naponda sana vitu vingi vya uislamu.

Ila kwenye mambo ya utu wa wa waumini wake hapa Tanzania uislamu unaongoza. Kwenye kukusikiliza shida yako na kukusaidia wapo vizuri sana.

Hata kama mgeni ana tatizo akienda msikitini rahisi kusikilizwa na kusaidiwa kuliko akienda kanisani.

Waislam ni wajamaa na wakristo ni mabepari.. hata huduma za kanisani wenye hela wanapata upendeleo kila sehemu

Kanisa halimsikilizi mtu lisiemjua.. hata kumzika tu mkristo mwenzao ishu wanatazama mahudhurio yake na utoaji wake wa sadaka
Hapo huku omba msaada kanisa Bali mtu binafsi! Kanisa Lina mfumo wake wa menejimenti ya fedha watakupaje tu kiholela!
Usijumuishe masuala binafsi nà Taasisi! Yaani MATAPELI walvyo jaa mijini Itoe tu fedha kirahisi! Haya mm nilitaka kumsaidia mtu huwa najiuliza maswali mengi sana!
Ungetuletea ushahidi wa jinsi KKKT Kama Taasisi isivyoweza msadia mtu.
 
Back
Top Bottom