Kama una shida ni ngumu sana kupata msaada kwenye kanisa la KKKT kama hawakujui

Kama una shida ni ngumu sana kupata msaada kwenye kanisa la KKKT kama hawakujui

Kuna mwaka nilipitia msoto mkali nilikua mitaa ya ITV nikasema ngoja niende kanisa la lutheran lililopo karibu na ITV linaitwa usharika wa Mwenge.

Nikaingia pale ila sikumuona mlinzi nikamuona mmama upande wa kushoto nikamfuata kumbe kule ndo kuna ofisi za mchungaji nikamfuata akaniambia mchungaji.

Tukaongea wewe baada ya mazungumzo to be honest nilikua sina hata mia mfukoni akampigia mlinzi kwa pembeni akaongea nae baada ya muda akaniambia nimfuate mlinzi yaani yule nilimuomba tu nauli nilikua nimebanwa ila hakunisaidia japokua anafanya kazi kwenye ofisi ya mchungaji to be honest ana roho ngumu sana.

Nilipomfuata mlinzi akaanza nifokea nikamuomba samahani kwa kuingia bila kumjulisha eeh bwana akaendelea kunifokea tena kwa sauti nikamwambia hata kama nina shida usidhalilishe utu wangu nikaondoka.

Nilichojifunza ni ngumu sana kupata msaada kwenye kanisa la KKKT kama hawakujui yaani makanisa yao sio nyumba ya Mungu anymore.

Baraka za Mungu zipo katika maeneo madogo madogo na usiyoyatarajia mfano anaweza akaja mtu smart akakuambia hana hela ya kula wewe utambeza na hutampa ila ndo umesakosa baraka za Mungu hivyo
Pole sana ila ni vizuri ungenda kkkt unaposalia sababu huko wanakujua zaidi sikuhz dunia imeharibika sana uwezi kuamini kila mtu anaekuja kuomba msaada wengi matapeli.
Pia umenda kanisa moja tu then unageneralize taasisi nzima ni wabaya!
 
Mimi ni KKKT nimebatizwa 2001 na kupata kipaimara 2009 ila binabsi naunga mkono hili kanisa ni kirusi wachungaji na viongozi wa kanisa hawana upendo wa Mungu wana roho mbaya na wapo kimaslahi.

Usharika tu wa hapa KKKT kinyerezi kumuona mchungaji utaratibu mwingi na masharti kibao kama unataka kumwona Rais wa nchi....

nimewaachia kanisa lao.
 
Mimi ni KKKT nimebatizwa 2001 na kupata kipaimara 2009 ila binabsi naunga mkono hili kanisa ni kirusi wachungaji na viongozi wa kanisa hawana upendo wa Mungu wana roho mbaya na wapo kimaslahi.

Usharika tu wa hapa KKKT kinyerezi kumuona mchungaji utaratibu mwingi na masharti kibao kama unataka kumwona Rais wa nchi....

nimewaachia kanisa lao.
Huo ndo ukweli
 
Msaada unapatikana kwa wepesi msikitini.

Mimi sio muislam na huwa naponda sana vitu vingi vya uislamu.

Ila kwenye mambo ya utu wa wa waumini wake hapa Tanzania uislamu unaongoza. Kwenye kukusikiliza shida yako na kukusaidia wapo vizuri sana.

Hata kama mgeni ana tatizo akienda msikitini rahisi kusikilizwa na kusaidiwa kuliko akienda kanisani.

Waislam ni wajamaa na wakristo ni mabepari.. hata huduma za kanisani wenye hela wanapata upendeleo kila sehemu

Kanisa halimsikilizi mtu lisiemjua.. hata kumzika tu mkristo mwenzao ishu wanatazama mahudhurio yake na utoaji wake wa sadaka
Uko sawa ila utajiitaje mkrosto na sio mshirika na mwanafunzi wa kristo. Pambana tu na hali Yako.
 
Ndo maana europe makanisa hayana watu sitakaa nimsahau yule mlinzi hivi unamfokeaje mtu mwenye shida
Nilijiuliza utu uko wapi
Tokea siku hiyo nikasema sitakaa nikanyage kanisani mpaka sahivi sina dini tena
We una matatizo Yako tu na kanisa. Una generalize mtazamo wako Kwa tukio moja ambalo inawezekana wewe pia ulizingua.
 
Mkuu pole sana kwa kudandia mtumbwi wa vibwengo.

Asilimia kubwa (yaweza kua wote) ya waumini wa hilo Kanisa wanatokea mkoa ambao watu wake wanaijua pesa sana hivo sio rahisi kusaidiwa.
 
Makanisa mengi ya wakristo kama huna hela na hawakujui utaonekana takataka tu
Usiende kanisani ili watu wakuone, nenda ukutane na Mungu wako . Hao unaowaona kanisani wana mizigo Yao mizito moyoni
 
Huo ndo ukweli
Umechelewa kulijua hili unajua kila kanisa lina vijana.....sasa kanisa kwenye mambo yao wanawatumia tu vijana watakavyo ila hao vijana wakipata changamoto za hapa na pale wakisema walikimbilie kanisa ambalo wanaamini ndio mkombozi wao kwa kuwa face viongozi wakiwemo mchungaji hapo ndipo utaona kivumbiiii.........

Mwisho wa siku ukijua nao ni binadamu kama sisi na madhaifu yao kama roho mbaya na husda unapotezea na kuendelea na life lako huku ukiendelea kumuomba Mungu wako.

Sijakanyaga kanisani tangu 2019(at 23 yrs age) na sitegemei kukanyaga sehemu za watu wabinafsi tena kama kanisani.
 
Juzi nilinunuwa matairi Lumumba kuna mama anaomba pesa akasaidiwa, masaa mawili baadaye nikamuona tena Magomeni nilipokuwa nafix zile tajiri mpya kwenye filling station anaendelea kuomba pesa, kumbe ndio ofisi yake.

Siyo kila mtu ambaye hatoi msaada ukadhani ana roho Mbaya.

Think twice.
Kuna siku nilimsikia omba omba akiwa anaongea na mafundi kuhusu finishing ya nyumba yale Kigamboni. Na yupo kwenye wheelchair..

Mimi nategemea busara na upole wa mwenye nyumba mjini. Kutoka siku hiyo nikajiambia sitatoa hela kwa omba omba barabarani kamwe.
 
Dini zimetufanya Wabongo kuwa Mazumbukuku kama vile kuja nyuzi zimepwaya katika bongo zetu.

Kwanini usiseme utapata msaada mitaani kwenye Jamii inayokuzunguka bila kuhusisha dini yoyote?

Mbona kitaa tunasaidiwa hata na Wapagani?

Waafrika tulilogwa na nani kuhusu hizi dini?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Wewe dini ikitajwa na kuhusishwa Kinacho kuuma ni nini?
 
Pole mkuu! Wakristo wengi ni wanafkiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Jifunze kutoka kwa marais wetu wa kikristo hapa Tanzania, ulinganishe!
 
Kuna mwaka nilipitia msoto mkali nilikua mitaa ya ITV nikasema ngoja niende kanisa la lutheran lililopo karibu na ITV linaitwa usharika wa Mwenge.

Nikaingia pale ila sikumuona mlinzi nikamuona mmama upande wa kushoto nikamfuata kumbe kule ndo kuna ofisi za mchungaji nikamfuata akaniambia mchungaji.

Tukaongea wewe baada ya mazungumzo to be honest nilikua sina hata mia mfukoni akampigia mlinzi kwa pembeni akaongea nae baada ya muda akaniambia nimfuate mlinzi yaani yule nilimuomba tu nauli nilikua nimebanwa ila hakunisaidia japokua anafanya kazi kwenye ofisi ya mchungaji to be honest ana roho ngumu sana.

Nilipomfuata mlinzi akaanza nifokea nikamuomba samahani kwa kuingia bila kumjulisha eeh bwana akaendelea kunifokea tena kwa sauti nikamwambia hata kama nina shida usidhalilishe utu wangu nikaondoka.

Nilichojifunza ni ngumu sana kupata msaada kwenye kanisa la KKKT kama hawakujui yaani makanisa yao sio nyumba ya Mungu anymore.

Baraka za Mungu zipo katika maeneo madogo madogo na usiyoyatarajia mfano anaweza akaja mtu smart akakuambia hana hela ya kula wewe utambeza na hutampa ila ndo umesakosa baraka za Mungu hivyo
Wataalam watasema ni tangazo ila ndo ukweli
 
Kanisa lolote halitoi msaada kwa mtu wasiemjua
 
Shetan ndio mungu na mungu ndie shetani ukimuomb shetan fasta tu kakupa ila mwombe mungu hapo atapitia kwanza cv yako ulizin wap nanani? Kwanin? Had kuja kupata ushakata tamaa au ushapata
 
Kanisa lolote halitoi msaada kwa mtu wasiemjua
Me nilikuwa msharika na nafahamika na bahasha ya sadaka nilikuwa nayo hadi kwenye majumuiya yao ya mchongo naenda na yalikuwa yanaanza saa 12 kamili asubuhi jumamos you can imagine weekend unaamka saa 11 ili uende jumuiya

Na walinitosa washenz wale na kuniambia nifanye maombi wakati wao wakiwa na shida zao mbio kuchangisha washarika.

KKKT muamala mbele kama huna muamala kaa kushoto ndivyo yesu wao alivyowafundisha.
 
Ungeenda umevaa nguo za CHADEMA. Hilo kanisa ni tawi la chama. Hujaona majuzi wamemnunulia Askofu mstaafu gari za la zaidi ya 300m? Hilo kanisa usiende ukiwa choka mbaya.
 
Hapana mimi kwa experience nimewahi kuona mtu mkristo akipewa msaada msikitini jirani na napoishi.
Nadhani hukuwahi kupata habari za ajira zinavyotolewa NSSF ile ya Ramadhan Dau. Kama ungelisikia hata kidogo huku ukiwa na ndugu yako ambaye amehitimu na sifa zote za kuajiriwa pale, ungeifuta kauli yako
NB: Chukua sampuli chache za ajira za makampuni ya S.S. Bakhre

 
Back
Top Bottom