Kama una sifa hizi basi huwezi kutegemewa, sitisha hata kuwa na familia

Namna umeshtuka na kukubaliana na mleta mada hapo ndipo nilipoona kuna hoja ya kujibiwa.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Ndio mitabia yake hiyo halafu anajikuta saint shenzy zake
 
Majibu ya nguvu na magumu hujibiwa kwa wakati sahihi. The day will come....
When? I don't know
At what time? I don't know

BUT, get ready...!!
 
🀣🀣🀣🀣 Nimecheka sana.!!

Yesu nitie nguvu, nimalize mwendo salama.
Peke yangu siwezi baba, ohhh!! Aleluya!!
Zemanda umeniletea kazi ndugu yangu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…