proskaeur
JF-Expert Member
- Mar 8, 2017
- 1,571
- 4,924
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]TBT kule primary:
Andika insha ukianzia na........
*Nilipofika nyumbani, nilipata mama
amepigwa na butwaa...... (endelea)*
....nikakimbia mpaka kwa akina
butwaa.Nikamuuliza "Butwaa,mbona umepiga mamangu?" Nikampiga butwaa
mpaka akatokwa na damu.Hapo ndipo
niligundua damu ni mzito kuliko maji!!! [Emoji23][emoji23][emoji23]wat was wrong with us