Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Haaahaaaa[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
1d5a043651a48a60591fab3867454a68.jpg
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nilipokuwa mdogo nilikuwa nakatazwa sana kuangalia Tv muda mrefu eti nitavimba macho, [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23]
Sasa hapa nipo Kariakoo nimepishana na Wachina Mimacho yao imevimba [emoji38] [emoji38] Itakuwa wanaangalia Tv sana wale [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]
 
Mchizi maskani baada ya kuvuta sana bangi na marafiki zake akaamua kuingia ndani kwake, kufika ndani kavua nguo zote na kujicheki kwenye kioo, akajiona kavaa bonge la suti[emoji38] [emoji38] akatoka hadi maskani na kuwauliza machizi wenzake "Oya wana vp hii suti imenikaaje?"
Mmoja akamjibu "mwana suti imekukaa kinoma, sema tai umefunga chini sana"
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hiyo bangi unayojifukiza sio ya nchi hii[emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom