Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hiyo bangi unayojifukiza sio ya nchi hii[emoji23] [emoji23]Mchizi maskani baada ya kuvuta sana bangi na marafiki zake akaamua kuingia ndani kwake, kufika ndani kavua nguo zote na kujicheki kwenye kioo, akajiona kavaa bonge la suti[emoji38] [emoji38] akatoka hadi maskani na kuwauliza machizi wenzake "Oya wana vp hii suti imenikaaje?"
Mmoja akamjibu "mwana suti imekukaa kinoma, sema tai umefunga chini sana"
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Cc: Kasie
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka peke Yangu hii postHuwezi amini miaka ijayo na sisi tutaitwa WAHENGA halafu vitukuu vyetu vitasema "wahenga walisema..JAZWA UJAZWE"