Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Mwalimu: Andikeni insha ukiwa kama mwanajeshi wa JKT vitani Somalia unapambana na Al Shabab, elezea mapambano hayo

Kayumba: (full mausingizi) [emoji42][emoji42][emoji42] fo fo fo

Mwalimu: Kayumba kwa nini Umelala wakati wenzako wanaendelea na kazi?[emoji34]

Kayumba: Yaani ile tunaanza tu vita nikafa[emoji25]

Mwalimu:[emoji35]
 
Pana jamaa alifariki katika mji mmoja sasa kutoka kwao mpaka mji alifariki pana umbali ikabidi watu waandae jeneza vizuri na wafiwa wakajitia penye pick up mpaka kijijini kwao baada ya mazishi lile jeneza wakawa bado zile shuka wameziacha vile vile kana kwamba pana mtu ndani.
Wafiwa wote walibaki msibani gari ikaondoka na tingo na dereva wake kufika mbele kuna jamaa akaomba lift wakamchukua ila wakamwambia asikhofu kuhusu jeneza wametoka kuzika so halina mtu ndani yake baada ya mwendo kidogo
mvua kubwa ikaanza kunyesha bwana yule akaona isiwe tabu akaingia penye jeneza na kutulia baadae kidogo mbele huko jamaa watatu wakaomba lift basi wakapanda vizuri na mvua ikaendelea kunyesha mpaka ikakatika sasa yule bwana ndani ya jeneza baada ya kuhisi kama mvua imekatika akapekenyua zile shuka huku akisema "ahh kumbe mvua imekatika "duh wale jamaa watatu walichupa toka ndani ya gari kama mkizi vile wakijua marehemu kafufuka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…