Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Hhahaaaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kama acacia watalipa pesa zote tilion 108 kwa watanzania M. 50 kila mtu atapata mgawo wa M. 2 mim naomba kama mtu anapesa anipe M. 1 ili mda wa mgawo ukifika achukue na zangu zote!
 
Dah, yaani hapa nipo very frustrated kinoma[emoji34] [emoji34] hivi wale jamaa wa basi walikuwa wazembe kweli, bangi yote ile imekamatwa Inatia hasira
 
Hakuna mtu mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.
Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE, MJOMBA KULE MWISHO.
MA-MDOGO UNAENDA?,
NGOJA ASHUKE BIBI.
HAYA SHEMEJI UMEIKUTA YA KUWAH.
Babu njoo ukae!
Baba angu hapo tusogee kidogo,
Shangazi maliza ngazi,
Swaiba geukia mbele,
Kaka hapo shika upande wa pili,
Mdogo wangu mpishe Ma Mkwe akae.
Subiri Shemeji yako apande…
Duh… makonda noma…!!
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
```CHUKUA HII NA UIELEWE ZAIDI.
SISI MANCHESTER UNITED WATANI ZETU NI LIVERPOOL NA ARSENAL TU.
HAO WENGINE WANAWEZA KUTANIANA NA ASTON VILLA NA AKINA LEICESTER MAANA KAMA NI UBINGWA PIA WANAO.
HUWA NAFURAHI SANA TUKITANIWA NA LIVER NA ARSENAL SIO WENGINE.
KIFUPI WAACHE KUJIPENDEKEZA KULAZIMISHA UTANI NA SISI```?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sh*bo haututaki [emoji23]
 
*Nimepata sms kutoka kwa dem jirani very sexy.*
Hi, Venshady? "I nid ur dic 4 ma ass plz,"

*mie na kiherehere yangu nkajibu haraka,*
``hi 2 dear....... nkam na condoms?''

*Akareply,*
Gosh!! condoms za nn nmekwabia _``i need your dictionary for my assignment"_

*_Ata sjareply nakwaruzakwaruza kichwa tu hapa[emoji134]‍♂[emoji134]‍♂_*
 
Leo baada ya kutoka kufanya usafi KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo simu umenunua Bei gani?
Kwakuwa natoaga sadaka kidogo,na ZAKA ndo sijawahi kutoa,Nikamjibu nimenunua JANA,ELFU 50, akanipa LAKI MOJA,nikanunue mbili,yake na ya mke wake. Sa najaribu kumuuliza Mungu,kwanini kaamua kuniadhibu mbele ya mchungaji bila hata kunionya!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…