Hahahaha nenda dukan then urud umwambie zimepanda beiLeo baada ya kutoka kufanya usafi KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo simu umenunua Bei gani?
Kwakuwa natoaga sadaka kidogo,na ZAKA ndo sijawahi kutoa,Nikamjibu nimenunua JANA,ELFU 50, akanipa LAKI MOJA,nikanunue mbili,yake na ya mke wake. Sa najaribu kumuuliza Mungu,kwanini kaamua kuniadhibu mbele ya mchungaji bila hata kunionya!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yeuwiiiMtoto wa kiume alikuwa anakoga na baba yake sasa mambo ya tiles haya na kitoto kitundu kinaruka ruka bafuni mara kikateleza sasa katika heka heka ya kujinusuru kisianguke kikajikuta kimeshika mpini wa baba yake so hakikuanguka basi mdingi kwa upole kakinyanyua na kukiambia "una bahati sana sijui ungekuwa unakoga na mama yako sijui ungeshika wapi?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Padri m1 alipotea mjini akamuuliza kijana m1 ;naomba unifahamishe wapi ilipo posta kijana akamfahamisha mpaka akakujua posta,padri akamjibu asante kwa kunionyesha njia ya na WEWE njoo kanisani nikuonyeshe njia ya peponi .Kijana akaguna akamjibu imekushinda ya posta sembuse ya peponi?
UmetishaNaombeni kuni nikachochee ugomvi
[Emoji23][emoji23]*Nimepata sms kutoka kwa dem jirani very sexy.*
Hi, Venshady? "I nid ur dic 4 ma ass plz,"
*mie na kiherehere yangu nkajibu haraka,*
``hi 2 dear....... nkam na condoms?''
*Akareply,*
Gosh!! condoms za nn nmekwabia _``i need your dictionary for my assignment"_
*_Ata sjareply nakwaruzakwaruza kichwa tu hapa[emoji134]♂[emoji134]♂_*
Hah haha ha,mkuu umeua
Wanakwaya wa AIC Makongorosi
[emoji16] [emoji16] [emoji16]```CHUKUA HII NA UIELEWE ZAIDI.
SISI MANCHESTER UNITED WATANI ZETU NI LIVERPOOL NA ARSENAL TU.
HAO WENGINE WANAWEZA KUTANIANA NA ASTON VILLA NA AKINA LEICESTER MAANA KAMA NI UBINGWA PIA WANAO.
HUWA NAFURAHI SANA TUKITANIWA NA LIVER NA ARSENAL SIO WENGINE.
KIFUPI WAACHE KUJIPENDEKEZA KULAZIMISHA UTANI NA SISI```?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sh*bo haututaki [emoji23]