Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Mwalimu: Taja wanyama kumi unaowafahamu
Mwanafunzi: Paka tisa na mbwa mmoja
Mwalimu: Pumbafuuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji56][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimelala Nikawa Naota... BILL GATE Ananiamsha.."Boss, Boss Amka Chakula Tayari"

....Eti Jaman Hii Sio Dalili Ya Malaria Kweli..??
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 

Attachments

  • mzg.jpg
    mzg.jpg
    27.6 KB · Views: 83
*bongo muvi bana,naangalia muvi ya yesu walioigiza wabongo*

maria:yosefu nina mimba..
yosefu:yesu wang mimba ya nan[emoji23][emoji23]?imebid nizime Main switch kabisa [emoji1]
Hiyo kali aisee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
592c64f5fcbe014004458f1dbda2559f.jpg

Kweli binadam tunazidiana WEHU
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji115] [emoji115] hao juu wamenizidi mimi kwa wehu
Yaani hapo dah
 
*bongo muvi bana,naangalia muvi ya yesu walioigiza wabongo*

maria:yosefu nina mimba..
yosefu:yesu wang mimba ya nan[emoji23][emoji23]?imebid nizime Main switch kabisa [emoji1]

hahahaha yosufu katisha lazima atakuwa mchaga huyo yosefu
 
Jamani humu kuna msichana mwenye chuchu saa sita?[emoji15] [emoji15]
Nataka anirekebishie saa yangu[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Jamani humu kuna msichana mwenye chuchu saa sita?[emoji15] [emoji15]
Nataka anirekebishie saa yangu[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Akurekebishie saa?kweli haya MAZIGANYANA! uwiiiiiiii[emoji16][emoji3][emoji23]
 
I decided to travel to US. At The Embassy For Visa Interview, this is what happened
Officer: Where to in the US?
Me: San Jose
Officer: It's pronounced as _San Hosey_. J is pronounced as H in the US.
Me: Oh, okay!
Officer: So how long do you plan to be in the US ?
Me: from Hanuary to Hune or Huly........[emoji23][emoji23][emoji23] naona file lang katupa kwenye ndo ya plastic...cjui ndo processing machine
 
Jamani humu kuna msichana mwenye chuchu saa sita?[emoji15] [emoji15]
Nataka anirekebishie saa yangu[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Numbisa anahitajika hapa[emoji23][emoji23]
 
Numbisa anahitajika hapa[emoji23][emoji23]
Nisije nikarekebishwa mimi[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Breaking news
Saida Karoli apewa ubalozi wa Cholera [Kolera] hiyo ni baada ya wimbo wake ule ndolera bakorobange, wazungu wamesikia kama anaimba cholera[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Waitu, msiniquote mi kihaya sikijui[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
*Wengi mlikua hamjui maana ya neno BANGI, Sasa leo ngoja niwape Elimu kidogo kuhusu hii kitu*.

*BANGI* ni jani la mgomba linalochanua kwenye mbuyu kupitia treni kabla hujaumwa kwenye mafuta ya samaki na kupokea injini ya baiskeli iliyopita angani na mvua ikawaka juu ya jua.
Asanteni kwa kunielewa..!!

Sasa hii ndo Bangi
 
Back
Top Bottom