Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Mwana unapatikana wapi nije tuvute wote?[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23], Inaonekana kitu cha Malawi [emoji377]
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125]

سوف اضطهادهم الذين يحبونك
 
hehehhee ni food chain tu except hapa wanakulana watu tu
 
Mchaga katisha
 
Kijana katisha
 
Umetisha
 
Umetisha
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] !!!! utanitoa roho!!![emoji3] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Jamani humu kuna msichana mwenye chuchu saa sita?[emoji15] [emoji15]
Nataka anirekebishie saa yangu[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Urekebishiwe au unataka kuuweka mshare mkubwa?
 
Dunia hii ina mambo mengi ya kushangaza....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Eti KISUKARI ni ugonjwa wakati KIPILIPILI ni Nywele [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Dem wangu alinipigia simu eti akaanza kunambia
Baby jana usiku nliota umeninunulia Cheni ya Dhahabu
Na mimi nikamjibu
Dia Rudi Usingizini ukaivae

Sipendagi ujinga mie
Yaani unamkoa kinyago!!
Nani ataeumia sasa[emoji1321]
 
siku ya valentine day hua napenda kutumia muda wangu kuwaangalia mademu wafupi waliovaa red dresses maana hua nawafananisha na kimtungi cha ORYX
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Hahahahahahahahahahah
Waaaaah! Nimekumbuka mbal alaf niakaangua kicheko mpaka tumbo linauma
 
Mwanzo wa mwisho
 
jamani kama mtu atasikia kuna gari aina ya Noah inauzwa Tsh. 5000000/= haina tatizo lolote, mwache tyu aiuze me sina hela saiz.[emoji32] [emoji32]
Sipendagi ujinga mm[emoji28] [emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…