Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

18645987_259700764436413_2773567593447948288_n.jpg
18580312_2280895402136057_8691804954198802432_n.jpg
 
Wavuta bangi watatu walivunja duka la dhahabu ili waibe.
Mmoja alichukua Dhahabu mwengine akachukua pesa wakatoroka yule wa mwisho akabaki ndani.
Mwenye duka akaja na polisi kuingia ndani wakamkuta jamaa amekaa mguu juu ya mguu
Akaulizwa:mbona hukutoroka kama wenzako?
Akajibu:mmoja amechukua dhahabu mwengine akachukua pesa nami nmechukua duka.
Hahahaha hii kali dahh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lile shuka unalovishwa na kinyozi wakati wa kunyolewa!!
Husaidia kujikuna sehemu za siri bila mtu yeyote kujua!!! mambo mengine hayahitaji form six aisee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimekaa tu nikawaza nikajua.

Bangi mimi na wewe milele
 
Baada ya Kufanya UCHUNGUZI WANGU WA SAYANSI YA WANYAMA kwa muda wa zaidi ya Miaka 10.

Nimegundua Jambo KUU 1..

Ukimchukua MWANAUME na MWANAMKE.. Ukimkata Mwanaume kichwa chake halafu ukakiweka kwenye Mwili wa Mwanamke.. Na mwanamke nae Ukamkata kichwa ukakiweka kwenye ule Mwili wa Mwanaume..
BAADA YA DAKIKA 5 utakua Umepata Maiti mbili zilizokatwa vichwa.

Bangi usikiege tu usijaribu kuvuta
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mungu alifikiri sana asee kuzaliwa kwetu binadam Kwa mfano ingekua mwanamke ataga mayai ndio tutotolewe tungekuwa wachache sana huku duniani vile wanaume tunavyo jipenda[emoji12][emoji117]ungeskia mke wang umetaga mangapi leo!![emoji12][emoji12]mke.[emoji117]ma4
Mume.[emoji117]nikarangiziee matatuu[emoji23][emoji23][emoji23]

No.[HASHTAG]#Love[/HASHTAG]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom