stable woman
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 3,884
- 4,479
[emoji484] [emoji3]Upo Facebook baada ya kutoka. kazn Unalog in unakuta boss wako kaapload picha Nafamilia yake ukichek cm ipo Asilimia 3 kwakua n boss unataka Ucoment kapongez kidogo Kwa maneno ya kingereza Unaandika Cool pics Ila cm Ina Autocorect ikajtype [HASHTAG]#Cool[/HASHTAG] Pigs Ile kushtuka cm Imezma
Wala usihangaike broo Tafuta kaz nyngne [emoji23][emoji23]
Ahooo!! Mbona mtu atanyanyuka na kitanda*UMEMUAGA mkeo unaenda kazini, ukapita kwa mchepuko wako, wakati unajimwaya-mwaya na mchepuko, mume wa mchepuko akagonga mlango, ikabidi ufichwe uvunguni mwa kitanda. Wakati bado upo uvunguni ka mchepuko kakamuaga mume wake kwamba, kanaenda saloon, mume wa ka-mchepuko naye akaona ndo muda wa kuita mchepuko wake, akauita ukaja, wakajimwayamwaya kwa sana muda huo wee bado upo uvunguni. Mara mchepuko wako akarudi kutoka saloon, akagonga mlango, ikabidi mume wa mchepuko wako aufiche uvunguni mchepuko wake. Kucheki hivi kumbe mchepuko wenyewe ndo mke wako uliyemuaga unaenda kazini, kwa hiyo wewe na mke wako wote mkawa mmefichwa uvunguni...Ukisikia vita ya tatu ya dunia, ndo hii sasa.*
*Hivi mmenielewa kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]*
sent from my Brilliant Brain using JamiiForums Mobile app
hapo ndio mtu ukubali kua kufa ni faida[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ikiwa yapata nusu saa tokea kupaa kwake ndege moja iliyobeba abiria zaidi ya 200
..ikasikika sauti tokea kwa rubani ikisema "injini moja haifanyi kazi na iliyobaki haina nguvu kabisa ni wakati wa kufanya maombi kwani muda sio mrefu ndege hii inaanguka,tumieni nafasi hii kuombana msamaha ili mfike mbinguni salama."
Abiria wakaogopa sana na ukimya na hofu vikatawala.
David na Grace walikuwa miongoni mwa abiria wa ndege ile..
Grace: mume wangu nisamehe Aidan sio mwanao ni mtoto wa yule mlinzi,na hata kipindi umetekwa wakati umefuata pesa benki ilikuwa ni mpango wangu ili nipate pesa ya ada ya boyfriend wangu chuo kikuu.
David:wala usijali mamy,unisamehe pia kwa kuwa nishatembea na wadogo zako karibia wote kibaya zaidi yule mtoto wa mwisho wa mdogo wako Angel ni wangu japo mume wa Angel huwa anadhani anafanana na mwanenu Anita kwa sababu ni watoto wa Mama mkubwa na mdogo.
Basi watu wakawa bize kwelikweli kuombana msamaha na kusali. Ghafla ikasikika sauti ikisema
"Asante kwa maombi yenu hali ya ndege imetengamaa na tutafika salama"[emoji2][emoji2]
Watu wote "aaaaahhhh we rubani mjinga nini usitutanie sisi, we si umesema hii ndege inaanguka sasa iweje unageuza kauli ghafla?? tunasema ndege lazima ianguke hiii haiwezekani,kama imekushinda tunaiangusha wenyeweee[emoji35][emoji35][emoji35]
"Ideas are easy but Implementation is hard."
*stress ni pale unapokakuta kabwana mdogo ambacho hakajaenda hata shule kana maela mpaka anaumwa, halafu wewe na masters yako unapuyanga tu mwaka wa nne sasa*
*Stress zaidi ni pale unapokumbuka ulimwambiaga; dogo zingatia shule utakufa masikini*
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] eti tungo shtushi....HIZI NDIO AINA KUU ZA TUNGO
Mfano.
1.Mwanafunzi ana ngoma
-Tungo tata
2.Juma anakwenda Kibiti.
-Tungo hatarishi
3.Umepokea kiasi cha sh.1,000,000 kiwango chako cha Mpesa ni sh 1,500,000
-Tungo tamanishi
4.Msiba wa mkwe umenikuta na sh 1200 mfukoni
-Tungo huzunishi
5.Kawogo kaokota Dola elfu kumi Mtaa wa Kongo
-Tungo ndoto
6.Maisha ya nyumba ndogo yana raha kuliko ya nyumba kubwa
-Tungo mchepuko.
7. mwanafunzi unaetembea nae kukwambia hazioni siku zake[emoji42]
-Tungo shtushi
NI MFANO WA TUNGO TU HIZO ILA SIO KWELI[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Jamii Forums mobile app
Na Wala hawiki kizungu[emoji1]HADI LEO SIJAPATA JIBU
Kuku wa Kizungu Lakini
Haongei English[emoji1321]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]1. Mpige mtoto wa kitanzania
2. Mbembeleze kwa biskuti
3. Muulize nani kakupiga??
Atamtaja mtu mwingine...
Hii ndo jinsi rushwa ilivyoanza Tanzania..
[emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] u made my day![emoji23][emoji23][emoji23]
Jamani tuwe makini na vyakula vya njiani!!
Kuna jirani yangu hapa katoka kazini kafika Sinza mori akakuta pweza basi akala pweza wa buku na kachori za mia tano! Akaomba na supu ya pweza ya mia tatu akashushia!
Baadae kaelelekea nyumbani kwake kamkuta mkewe akamuomba maji ya kunywa alipopewa akayanywa kisha akavua viatu, mkewe akamtengea maji ya kuoga baada ya kuoga akawa anapitia madaftari ya wanae, alipomaliza akajumuika na familia kula Chakula cha usiku kisha wakalala huku wamefunga milango yote.
Asubuhi kaamka, baada ya kuoga kavaa vizuri tu kaenda kazini... kwa ujumla Yuko vizuri katika kazi na anapiga kazi kama kawaida.
Kama hujaipenda andika na wewe ya kwako!...
*Tupo kanisani mchungaji kasema anaetaka kuombewa biashara yake.apate wateja asimame.muuza mjeneza kasimama wa kwanza....ibada ikaakhirishwa*[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
sent from my Brilliant Brain using JamiiForums Mobile app