Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Freyzem itabidi uikubali miaka 30...si bado mwanafunzi huyo....Bibie ajue sasa kuwa serikali haisomeshi wazazi
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Aisee [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji38] [emoji38] [emoji38]

[emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]   [emoji100][emoji124][emoji125][emoji125][emoji125]
 
mganga ana dawa zote lakini dawa ya meno ananunua kwa chinga,
hapo ndio utajua kwanini muuza mkaa haogi mchana

[HASHTAG]#WapostPumba[/HASHTAG]​
 
Oya mnazingua mjue mboma hamchekeshi sasa

Jana nilimuita demu wangu kipenzi, alipofika gheto nilimuandaa vizuri na tukaingia kitandani kwa mara ya kwanza. Kwa vile niliona aibu asijekiona kibamia changu nikasisitiza tuzime taa. Chumba kikiwa giza demu akashika bamia yangu bwana, mara nikasikia kaguna, akasema "akhu bwana wee mie situmii sigara". Mara akatoka nje akaniacha ndani. Hadi sasa hivi namsubiri, nahisi bado anahangaika kutafuta lighter aje aniwashie sigara.
 
Looooh jamana nivyorecall size ya hvyo vibetri duu mbavu zangu hapa nacheka mpaka majiran hawanielewi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] kwiii kwiiiiii kwwii
 
TAHADHARI: ukiona choo ndotoni usikitumie

[HASHTAG]#WapostPumba[/HASHTAG]​
 
Kiingereza ndio pake hapa...[emoji13][emoji13]
 
Freyzem itabidi uikubali miaka 30...si bado mwanafunzi huyo....Bibie ajue sasa kuwa serikali haisomeshi wazazi
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
Nitakuwa naonewa, sihusiki kwa namba yoyote...wahusika wanajijua![emoji28] [emoji23] [emoji25] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…