Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,120
- 24,667
- Thread starter
- #301
Kabisa..[emoji54][emoji54]Kweli wewe hupendagi ujinga[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ndiyo maana nimeamua kufuatilia hili suala kwa undani!!
Nimesoma amri 10 za Mungu kwenye Bibilia cha ajabu sijaona amri ya kumpa demu hela, Hivi hii amri ya kuwapa mademu hela wanaume tumeipata wapi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kufulia kubaya tunatafuta sababu.
By Bible