Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umenkumbusha mbali mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.
Mzungu aliporejea,kazin akamuuliza 'what happened to my plate?
House girl akajbu: 'The dog wow wow friji paaa, mchuzi mwaaaa the vyombo pangalapangala the sahan ngelengenjee......the pasuka paaaaaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hadi saiz mzungu bado anasoma dictionary hajui lugha gani imetumika[emoji23]akili yangu naijua mwenyewe.
HZo mbavu zako km zanabana bas mkuu ujue zitakuwa zina hitilafu. Me mbona zangu hazina bana!?Tuhurumiane mkuu mbavu zinabana hapa[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji2]
Ha ha ha ha we akili zako unazijua mwenyewe.Teacher: toa mfano wa biashara kuyumba kutokana na usimamizi mbovu.
Mwanafunzi: changudoa kupata Mimba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Una mil7aise we unaroho kama mtu mmoja aliyeomba achorwe vzr na kipanya
ha hahahahaNimecheka hadi mbavu zimepandiana.
.....Eti kati ya mamba na kiboko nani kiboko Mkuu mimi nahisi mamba ni kiboko[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] humu kiboko