stable woman
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 3,884
- 4,479
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi wale WASICHANA ambao UKIMTONGOZA ANAKUKATALIA...
Alafu akikuona Upo na MSICHINA MWINGINE ANAKASIRIKA..
Hilo Tatizo lao KITAALAMU linaitwaje?
Ulikosea kuzima tv maana wakawa hawakuoni kama umeshajiandaa kabisa.*Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupeleke moja kwa moja had marekani" nikazima TV kwa haraka nikaenda kuvaa viatu. Hadi sasa bado nimekaa hapa seblen[emoji41][emoji41] nahisi bado wanaihangaikia Visa yangu*
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji125][emoji125][emoji125]
Sent from Calculator Phone vesion007
Mshabiki yoyote wa arsenal mwenyewe kilo zaidi ya sabini huyo atakuwa mnafiki
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mshabiki yoyote wa arsenal mwenyewe kilo zaidi ya sabini huyo atakuwa mnafiki
.....Kiotomolea
Nmechek mpk mbavu zinauma aiseee*Sehemu Katika Mwili Wa Binadamu Iliyo Zungukwa Na Nywele Nyingi Laini Na Inaunyevu Unyevu Ikiguswa Guswa Taratibu Au Kwa Bahati Mbaya Utoa Majimaji Ni (JICHO)endelea kuwaza ujinga wako tu*
Watu waliowai kukimbia vita na tabia zaoKuna vijimisemo vifupi vimeibuka huku kwenye mitandao kwa sasa, yaani ni full burudani!
Ukivisomo mwisho lazima ubaki mdomo wazi au ucheke, baadhi ya niliyokutana nayo naweka hapa, pia karibuni kwa wenye zaidi tuburudike pamoja!
Leo kidogo nipigwe na MWANAMKE baada ya LIFTI kusimama...wakati tupo kwenye lift Nilikua nayaangalia MAZIWA yake akasema "Bonyeza Moja"[emoji196][emoji196] mi si nikalibonyeza?
Yaani had sasa
bado najiuliza nilipokosea.
Hivi Utajisikieje Utakaposikia Rafiki Yako wa Karibu Hajaja Kwenye Mazishi Yako ???!
Nadhani Mimi Sitamwongelesha Tena !!!! [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
I think nakaribia kupona
Nimenunua chips ili nile kwa bahat mbaya mtoto wa mama mwingine amekaa next to me akaanza kuzililia.
Imebidi nivae earphones. [emoji19]Napenda watoto, ila utoto ndio sipendi..
Jana nimepita njia ya mkato makaburini warembo wawili wakawa wananikimbilia wanatetemeka Eti tunaogopa kupita peke yetu na mm Nikawajibu hata mm nilivyokuwa hai nilikuwa naogopa sana . Wakazimia
Sipendagi kufatwa fatwa mm[emoji57][emoji57][emoji57]
Katika kitu alichoongea cha maana huyu Idris basi hicho. Yaani nawakutaga insta wanajiita models sasa sijui models wa kitu gani? na ni kweli wanaume wamegundua kuwa wanawake wanapenda mauzo na kujiona models basi ukiwa na camera tu unawateka kiuwepesi sana. 😀 Siku izi ukiwa na camera ya cannon au nikon basi ushakuwa photographer na mwanamke huitaji kupiga mistari, we toa tu camera na yeye ataanza kujihashua mwenyewe 😀 😀 😀
Katika kitu alichoongea cha maana huyu Idris basi hicho. Yaani nawakutaga insta wanajiita models sasa sijui models wa kitu gani? na ni kweli wanaume wamegundua kuwa wanawake wanapenda mauzo na kujiona models basi ukiwa na camera tu unawateka kiuwepesi sana. 😀 Siku izi ukiwa na camera ya cannon au nikon basi ushakuwa photographer na mwanamke huitaji kupiga mistari, we toa tu camera na yeye ataanza kujihashua mwenyewe 😀 😀 😀
hahhahahahahaha hatari sana
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] hatari sana