lokasa girl
Member
- Aug 9, 2017
- 24
- 55
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuh hapo kweli vita ya dunia*UMEMUAGA mkeo unaenda kazini, ukapita kwa mchepuko wako, wakati unajimwaya-mwaya na mchepuko, mume wa mchepuko akagonga mlango, ikabidi ufichwe uvunguni mwa kitanda. Wakati bado upo uvunguni ka mchepuko kakamuaga mume wake kwamba, kanaenda saloon, mume wa ka-mchepuko naye akaona ndo muda wa kuita mchepuko wake, akauita ukaja, wakajimwayamwaya kwa sana muda huo wee bado upo uvunguni. Mara mchepuko wako akarudi kutoka saloon, akagonga mlango, ikabidi mume wa mchepuko wako aufiche uvunguni mchepuko wake. Kucheki hivi kumbe mchepuko wenyewe ndo mke wako uliyemuaga unaenda kazini, kwa hiyo wewe na mke wako wote mkawa mmefichwa uvunguni...Ukisikia vita ya tatu ya dunia, ndo hii sasa.*
*Hivi mmenielewa kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]*
sent from my Brilliant Brain using JamiiForums Mobile app
Mwehu sana wewe[emoji3] nilishaipigia bajeti hiyo M1.6 yaani ilikua tayari imeshaisha![emoji3]TUME YA UCHAGUZI NCHINI KENYA IMEOMBA WASIMAMIZI 15000 KUTOKA TANZANIA SIFA
1. AWE ALISHAWAHI SIMAMIA UCHAGUZI TANZANIA JAPO MARA MOJA
2.UMRI USIOPUNGUA MIAKA 18
3.AWE NA AKILI TIMAMU
AWE ANAFAHAMU KUSOMA NA KUANDIKA
4.AWE HAJAWAHI KUWA NA KOSA LA JINAI
5.AAMBATANISHE NAKALA ZA VYETI VYA TAALUMA NA CHETI CHA KUZALIWA.
NAULI KWENDA NA KURUDI SELIKARI ITAGARAMIA
POSHO NI sh 30000 za Kenya kwa siku, siku 3=sh 90000 sawa na Tsh 1620000
GARAMA ZA KULA NA KULALA BURE
MAOMBI YATUMWE
TUME YA UCHAGUZI YA KENYA BOX 149 DARESALAAM.
ACHA MAWAZO MGANDO PAMBANA NA HALI YAKO TU TANGU LINI WEWE UKASIMAMIE KENYA? [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji23] [emoji23] bajeti ya salon ulipanga sh ngapi...[emoji3]Mwehu sana wewe[emoji3] nilishaipigia bajeti hiyo M1.6 yaani ilikua tayari imeshaisha![emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Salon haikuwemo! Hapa ni mwendo wa kukata tu[emoji3][emoji23] [emoji23] bajeti ya salon ulipanga sh ngapi...[emoji3]
Hahahahaha mm nilitaka nitangulie mnikute njianiMwehu sana wewe[emoji3] nilishaipigia bajeti hiyo M1.6 yaani ilikua tayari imeshaisha![emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
*****. Wewe ni nyoko!kuishi nyumba moja na wazazi huwa ni kazi kweli.....juzi nipo sittingroom na bro tunacheki mpira na faza alikua bedroom,kidogo tuh braza akajamba kwa sauti....
sauti iliyotoka bedroom "ehhhh jamba kabisa ukitaka kunya na ujiharishie mpuuzi wewe, nguvu ya kujamba unayo ila ya kuhama kuanza maisha yako Huna!
#Dah_home_nomasana
Ntahama tu lakini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hebu jiulize, umeshikwa na tumbo la kuhara mara chafaya paaaap!
Ndugu yangu hapo ndio utajua wahenga walimaanisha nini waliposema mshika mawili moja humponyoka...!![emoji48][emoji38][emoji38]