Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

ujinga ni kujamba kwa sauti kwenye daladala wakati unasikiliza muziki kwa earphone ukidhani hausikiki....na ujinga zaidi ni kupunguza sauti ya radio ili usome sms...
 
*Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupeleke moja kwa moja had marekani" nikazima TV kwa haraka nikaenda kuvaa viatu. Hadi sasa bado nimekaa hapa seblen[emoji41][emoji41] nahisi bado wanaihangaikia Visa yangu*
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji125][emoji125][emoji125]

Sent from Calculator Phone vesion007
 
Bingwa wa rivas
Kamanda mkuu --KASHUSHE MLINGOTI KWENYE HIO BENDERA
[emoji3][emoji3]
 
Ulikosea kuzima tv maana wakawa hawakuoni kama umeshajiandaa kabisa.
Wameshakuacha wenzio.

latest edition
 
Watu waliowai kukimbia vita na tabia zao


Watu hawasiku wakija kwako na juzi wakaenda zao wanaweza kuula na kunywa pale manzese hivyo unaitajika mapema mama mgonjwa Helo elena lile beberu bora

BANA USINIPANGIE CHA KUPOSTI BANDO NIMENUNUA MWENYEWE USIJIPE MADARAKA.
 

Attachments

  • FB_IMG_15041131401769575.jpg
    263.6 KB · Views: 129
  • FB_IMG_15041131401769575.jpg
    263.6 KB · Views: 116
[emoji16] [emoji16] [emoji16]




hahhahahahahaha hatari sana


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…